Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tanzania ‘yajifagilia’ kuwa na wanawake wasomi

Tatizo la wanafunzi wa kike kutochangamkia au kutoyapenda masomo ya Sayansi, Teknolojia, Uhandisi na Hisabati (STEM) ni tatizo linalozikumba nchini nyingi duniani zikiwamo zilizoendelea.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Wasomi watakiwa kuwa makini

VIJANA wasomi nchini wametakiwa kutokuwa chambo na kutumiwa na baadhi ya wanasiasa wenye uchu wa kutaka madaraka ya nchi bali wawaepuke hususani katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajia kufanyika mwezi Oktoba mwaka huu.

 

10 years ago

Vijimambo

WANAWAKE WASOMI WA SAYANSI WANAISHI KWA RAHA NA HAWAZEEKI

Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia cha Mbeya (Must), Scholastica Loppa anasema asilimia kubwa ya wanawake au wasichana wanaosoma sayansi ni wazuri na hawazeeki.
Akiwa ndani ya mavazi ya kawaida, mweupe kwa rangi ya mwili huku kichwa chake kikiwa kimesheheni nywele nyeusi za asili zisizo na hata chembe ya kemikali, Loppa alikuwa na mengi ya kuwaeleza watu.Masomo ya sayansi hayazeeshi si mnaniona mimi hapa? Napendeza, sipendezi? alihoji mhadhiri huyo mbele ya umati uliofika kwenye...

 

10 years ago

Michuzi

WASOMI SONGEA WAMTAJA ABATE LAMBERT KUWA MWANAHISTORIA WA KARNE YA 21


 Abate mstaafu wa Abasia ya Peramiho Jimbo kuu katoliki la Songea Lambert Doerr OSB katikati wa kati akipokea zawadi mbalimbali kutoka kwa Waumini wa Parokia ya Mbingamharule Wilayani Songea Mkoani Ruvuma,kama sehemu ya kumpongeza baada ya kutimiza miaka 50 ya Umisionari hapa Nchini.
Waumini wa Parokia ya Mbingamharule Jimbo kuu katoliki la Songea mkoani Ruvuma,wakifuatilia kwa makini adhimisho la misa Takatifu ya shukurani ya kutimiza miaka 50 ya Umisionari ya Abate mstaafu wa Abasia ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wasomi ni sehemu ya tatizo Tanzania

WASOMI vijana wanaozidi 10,000, juzi walijitokeza katika usaili ulioitishwa na Idara ya Uhamiaji iliyopo chini ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, kwa lengo la kuwania nafasi zipatazo 70,...

 

11 years ago

Mwananchi

Tanzania na wasomi wasiokuwa na maadili, wanaofilisi nchi

“..Tunatumia fedha nyingi sana zisizolingana na uwezo wetu kuwasomesha watu wachache, ili baadaye na wao walete faida kubwa kiasi hicho hicho katika nchi.

 

10 years ago

Dewji Blog

Wanawake wahimizwa kuwa nafasi za uongozi

MWENYEKITI wa UVCCM mkoa wa Iringa,  Tumaini Msowoya ametembelea wodi ya watoto 22

Mwenyekiti wa UVCCM mkoa wa Iringa, Tumaini Msowoya akimkabidhi msaada mmoja kati ya wagonjwa waliolazwa katika Wodi ya watoto kwenye Hospitali ya mkoa, wakati alipotembelea wodi ya watoto 22.

Na Fredy Mgunda, Iringa

JAMII imeaswa kuacha mitazamo dhaifu na yenye kejeri kwa wanawake wanaojitokeza kugombea nafasi mbalimbali za uongozi wa kisiasa.

Aidha wanawake wenyewe wameshauriwa kutolegea  na kuwa na misimamo pindi wanapotaka kuingia madarakani kwa kujiamini na kutokubali kutumiwa kama...

 

11 years ago

BBCSwahili

Wanawake sasa kuwa maaskofu - Anglikana

Baraza kuu la kanisa la Kianglikana Uingereza, The General Synod, limeidhinisha wanawake kuwa maaskofu.

 

10 years ago

Vijimambo

NI MAFANIKIO KUWA NA ASKARI WANAWAKE KATIKA ULINZI WA AMANI UN-MHE SIMBA

Mhe. Sophia Simba ( Mb) Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto akizungumza (alhamisi) katika majadiliano ya jumla katikamkutano wa Kamisheni 59 kuhusu Hadhi ya Wanawake. Mhe. Waziri anaongoza ujumbe wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakiwamo wajumbe kutoka Serikali ya Mapinduzi Zanzibar.Tanzania ni kati ya nchi 13 zinazoiwakilisha Afrika katika Kamisheni hii inayoundwa na nchi 45.Katika picha hii ya maktaba anaoneka Mhe. Asha-Rose Migiro ( Mb) wakati huo akiwa Naibu Katibu Mkuu wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani