Wanawake sasa kuwa maaskofu - Anglikana
Baraza kuu la kanisa la Kianglikana Uingereza, The General Synod, limeidhinisha wanawake kuwa maaskofu.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-tLFXYkEnNII/XnNsMLuTSeI/AAAAAAAAIuI/Mig0d_5vPFES_1ibKIGMbq0Kej_kQBe1QCEwYBhgL/s72-c/IMG_20200319_123004_219_1584612935576.jpg)
MAASKOFU ANGLIKANA WAITAKA JAMII KUUNGANA NA JUHUDI ZA SERIKALI KUKABILIANA NA COVD_19
![](https://1.bp.blogspot.com/-tLFXYkEnNII/XnNsMLuTSeI/AAAAAAAAIuI/Mig0d_5vPFES_1ibKIGMbq0Kej_kQBe1QCEwYBhgL/s640/IMG_20200319_123004_219_1584612935576.jpg)
Askofu wa Kanisa la Anglikana nchini Dkt.Mahimbo Mndolwa akiongea na waandishi wa habari jijini Arusha leo picha na Ahmed Mahmoud Arusha
Na Ahmed Mahmoud Arusha
Katika kukabiliana na ugonjwa wa corona nchini ,kanisa la Anglikana limetangaza kuongeza ibada zake katika makanisa yake yote ili kuondoa msongamano ambao ungeweza kusababisha maambukizi zaidi ya ugonjwa huo.
Akitoa tamko hilo jijini Arusha mbele ya maskofu 28 wa dayosisi za kanisa hilo, Askofu Mkuu wa kanisa hilo nchini...
10 years ago
BBCSwahili10 Jun
Maaskofu wanyanyasaji sasa mashakani
Papa Francis ameidhinisha kuundwa kwa idara mpya itakayokuwa na mamlaka ya kuwawajibisha maaskofu wa kanisa katoliki wanaotuhumiwa kuwanyanyasa watoto kingono .
11 years ago
BBCSwahili15 Jul
Wanawake maaskofu? Tanzania yajibu
Kanisa la Anglikana Tanzania limesema bado kuna mawazo tofauti ya kithiolojia kuhusiana na wanawake kuwa maaskofu
10 years ago
BBCSwahili17 Nov
Maaskofu wanawake kutawazwa Uingereza
Kanisa la England linatarajiwa kupititsha rasmi sheria itakayo waruhusu maaskofu wa kike kuteuliwa kwanzia mwaka ujao.
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-E62kWUZPBkA/Vm3iG9cfDhI/AAAAAAADDiI/9ifa5YOHb_4/s72-c/tanzania-bishop-malasusa.jpg)
Maaskofu wafurahishwa Makamu wa Rais kukubali kuwa mgeni rasmi Tamasha la Krismasi
![](http://4.bp.blogspot.com/-E62kWUZPBkA/Vm3iG9cfDhI/AAAAAAADDiI/9ifa5YOHb_4/s320/tanzania-bishop-malasusa.jpg)
Tamasha hilo linalokwenda sambamba na Shukrani kwa Mungu baada ya uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 25 kwa amani na utulivu, uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Askofu wa Kanisa la KKKT, Dk Alex Malasusa anasema ni jambo jema kumshukuru Mungu...
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Papa Francis atofautiana na Maaskofu juu ya kuruhusiwa kwa waliooa kuwa mapadre
Amepinga kura iliyopigwa mwaka jana na maaskofu wa kanisa hilo waliounga mkono kuwatawaza mapadri wanaume waliooa katika kanda yenye misitu wa mvua la Amazon
11 years ago
Mwananchi09 Aug
‘Wanawake sasa hatarini Arusha’
>Wanawake wanaoendesha magari katika Jiji la Arusha, wamekumbwa na hofu kutokana na kuibuka watu wasiojukikana ambao wanawashambulia kwa risasi.
11 years ago
Mwananchi02 Mar
ULINGO sasa kuwakutanisha wanawake
 Ikiwa zimebakia siku saba kabla ya maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, tayari makundi kadhaa ya wanawake yameanza kujipanga kwa ajili ya maadhimisho hayo.
9 years ago
BBCSwahili03 Dec
Wanawake Marekani sasa kwenda vitani
Waziri wa Ulinzi wa Marekani Ash Carter ametangaza kuwa nafasi zote za kazi za kijeshi za kivita sasa zitakuwa wazi pia kwa wanawake wa Marekani.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania