Maaskofu wafurahishwa Makamu wa Rais kukubali kuwa mgeni rasmi Tamasha la Krismasi
![](http://4.bp.blogspot.com/-E62kWUZPBkA/Vm3iG9cfDhI/AAAAAAADDiI/9ifa5YOHb_4/s72-c/tanzania-bishop-malasusa.jpg)
MAASKOFU wa madhehebu mbalimbali wa Makanisa hapa Tanzania wamempongeza Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan kukubali kuwa mgeni rasmi katika Tamasha la Krismasi linalotarajia kufanyika Desemba 25 kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam.
Tamasha hilo linalokwenda sambamba na Shukrani kwa Mungu baada ya uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 25 kwa amani na utulivu, uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Askofu wa Kanisa la KKKT, Dk Alex Malasusa anasema ni jambo jema kumshukuru Mungu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi10 Dec
MAKAMU WA RAIS MGENI RASMI TAMASHA LA AMANI
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/msa1.jpg)
Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion Bw. Alex Msama akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake Kinondoni wakati alipomtangaza Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Mh. Samia Hassan Suluhu kuwa mgeni rasmi wa Tamasha la Kushukuru kufuatia kufanyika kwa uchaguzi wa amani na utulivu tarehe 25 mwezi Oktoba mwaka huu nchini kote huku nchi ikiendelea kuwa na utulivu na amani ya hali ya juu. Kushoto ni Mratibu Tamasja la Kushukuru masuala ya usalama Bw. Hamisi Pembe.
9 years ago
Dewji Blog11 Dec
Makamu wa Rais mgeni rasmi Tamasha la Amani
Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion Bw. Alex Msama akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake Kinondoni wakati alipomtangaza Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Mh. Samia Hassan Suluhu kuwa mgeni rasmi wa Tamasha la Kushukuru kufuatia kufanyika kwa uchaguzi wa amani na utulivu tarehe 25 mwezi Oktoba mwaka huu nchini kote huku nchi ikiendelea kuwa na utulivu na amani ya hali ya juu. Kushoto ni Mratibu Tamasja la Kushukuru masuala ya usalama Bw. Hamisi Pembe
9 years ago
Habarileo22 Dec
Nape mgeni rasmi tamasha la Krismasi
WAZIRI wa Habari,Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye anatarajiwa kumwakilisha Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kwenye Tamasha la Krismasi litakalofanyika Desemba 25 kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee ,Dar es Salaam.
10 years ago
MichuziMwakalebela mgeni rasmi Tamasha la Krismasi Iringa
Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya tamasha hilo, Alex Msama Mwakalebela anatarajia pia kuwaongoza waumini mbalimbali mkoani humo kwa lengo la kumtukuza Mungu kupitia waimbaji mbalimbali hapa nchini.
Msama alisema Mwakalebela atafanikisha lengo la kusaidia wenye uhitaji maalum kama Yatima, Wajane na walemavu...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-kxy1YyVrkYk/VQ1nxeIqANI/AAAAAAADdAQ/yCEBQ-ZnEH8/s72-c/Ali_Hassan_Mwinyi.jpg)
MHESHIMIWA ALHAJ ALI HASSAN MWINYI, RAIS MSTAAFU WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA KUWA MGENI RASMI KWENYE TAMASHA LA CHAUKIDU APRIL 23
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2Fapi.ning.com%2Ffiles%2FebhDxq3vSqjYFAE7ALRDjqlG6buY47wYiglzHj0palxIn1Kzu*mk5fwYtuNfsA7ODuIYKOuimnMgTmBayAtcodIb1CT7ki6G%2F1.gif&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](http://4.bp.blogspot.com/-kxy1YyVrkYk/VQ1nxeIqANI/AAAAAAADdAQ/yCEBQ-ZnEH8/s1600/Ali_Hassan_Mwinyi.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-DaP7jSFixbM/VQ1nyR4J9zI/AAAAAAADdAY/aRBoUKNMo2Y/s1600/Chaukidu_Flyer%5B1%5D.bmp)
Nunua tiketi yako mapema kwa kutembelea Tovuti ya CHAUKIDU <www.chaukidu.org>, au piga simu namba 301-433-3411(Tumaini), 301-793-2833 (Asha) na 202-830-6555 (Dr. Magembe) kununua tiketi moja kwa...
10 years ago
MichuziMH. MEMBE KUWA MGENI RASMI TAMASHA LA PASAKA
Na Mwandishi Wetu
WAZIRI wa Mambo ya Nje na...
10 years ago
Dewji Blog19 May
Waziri Bernard Membe kuwa mgeni rasmi tamasha la Qaswida Mei 25
Jumanne Ali Ligopora Mkurugenzi wa Taasisi ya Ulamaa Qaswida Promotion Centre akizungumza na waandishi wa habari kwenye hoteli ya Traveltine Magomeni jijini Dar es salaam wakati akizungumzia mashindano ya kuimba Qaswida yatakayofanyika kwenye viwanja vya shule ya Sekondari ya Benjamin Mkapa mgeni rasmi akiwa Waziri wa mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mh. Bernald Membe.Tamasha hilo litafanyikaMei 25 kuanzia saa saba mchana, Kulia ni Sheikh Muharami Pembe na kushoto ni Ustaadhi...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-bq5JhOrR73c/VnehA73GRjI/AAAAAAADD8s/o06P1VVIeio/s72-c/napezzzz.jpg)
Waziri Nape kumwakilisha Makamu wa Rais Samia Suluhu Tamasha la Krismasi
![](http://3.bp.blogspot.com/-bq5JhOrR73c/VnehA73GRjI/AAAAAAADD8s/o06P1VVIeio/s320/napezzzz.jpg)
Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Kamati ya maandalizi ya tamasha hilo, Alex Msama, Makamu huyo wa rais alitarajiwa kuwa mgeni rasmi katika tamasha hilo lakini kutokana na majukumu mengine ya kikazi, hivyo tunaendelea na...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-SQG-HzBgaIo/VdywdZX6vuI/AAAAAAAHz-o/ex_-HWIFmh0/s72-c/bb%2B1.jpg)
MKUU WA MKOA WA ARUSHA FELIX NTIBENDA KUWA MGENI RASMI KATIKA TAMASHA LA 10 LA VYOMBO VYA HABARI
Mkuu wa mkoa wa Arusha, Felix Ntibenda,anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika tamasha la 10 la vyombo vya habari vya mkoa wa Arusha. ambalo litafanyika Agosti 29 katika uwanja wa sheikh Amri Abeid.
Akizungumza na waandishi wa habari Palace hoteli jana mwenyekiti wa TASWA mkoa wa Arusha, Jamila Omar na Katibu wa TASWA Arusha, Mussa Juma walisema maandalizi yote muhimu yamekamilika ikiwepo ujio wa timu ya TASWA kutoka jijini Dar es Salaam.
Omar alisema Kauli mbiu ya Mwaka...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10