Wanawake Marekani sasa kwenda vitani
Waziri wa Ulinzi wa Marekani Ash Carter ametangaza kuwa nafasi zote za kazi za kijeshi za kivita sasa zitakuwa wazi pia kwa wanawake wa Marekani.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Raia Mwema23 Dec
Marekani: Tukichelewa, Burundi itaingia vitani
HIVI karibuni, Ezekiel Kamwaga, Mhariri wa Gazeti hili la Raia Mwema alifanya mahojiano na Mwakil
Mwandishi Wetu
11 years ago
BBCSwahili25 Jun
Marekani yaanza kuisaidia Iraq vitani
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/t3tIV4vY4Jo7owSqWvAMzJbUngmu2ewcyIcdaQDGJAKL8B7R55tP32xz-IPrHrVWHnm9redkXHuREYI96gs5gPFwN44bQXGj/jknalowassa.jpg?width=650)
KAMPENI ZA URAIS… JK, LOWASSA SASA VITANI RASMI
10 years ago
Bongo Movies18 Jun
Wema: Baba Aliniambia Niingie Kwenye Siasa, Haya Sasa Naingia Vitani, Sitakubali Kushindwa
Staa wa Bongo Movies, Wema Sepetu ambaye ametangaza nia kuwania ubunge wa Viti Maalum kupitia CCM ameandika hayo kwenye ukursa wake Instagram mara baada ya kuweka picha hiyo hapo juu ya zamani akiwa na mama yake pamoja na Marehemu baba yake.
"Naanza kwa kusema Alhamdulillah kwa kufikia hapa nilipo na nawashkuru sana wazazi wangu kwa kunileta duniani na kunilea katika maadili mazuri.
Nawashkuru pia kwa kunipa Elimu na kunipa chochote nilichokitaka but more over kwa kunipa support kubwa...
11 years ago
BBCSwahili13 Jun
Majeshi ya Marekani kwenda Iraq tena?
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-0XN1gWrpeBM/XmnsKbjMXDI/AAAAAAAC0wY/ogq6TEmLMHsFGX-4UudcjK78bxe9QNbNgCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
TRUMP AZUIA SAFARI KUTOKA ULAYA KWENDA MAREKANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-0XN1gWrpeBM/XmnsKbjMXDI/AAAAAAAC0wY/ogq6TEmLMHsFGX-4UudcjK78bxe9QNbNgCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Trump amesema, marufuku hayo yatatekelezwa kwa muda wa siku 30 zijazo kuazia siku ya Ijumaa lakini hatua hii haitaithiri Ireland na Uingereza, ambayo ina maambukizi 460.
"Ili kuzuia visa vipya maambukizi ya Covid-19 kuingia katika nchi yetu, nitazuia safari zote kutoka Ulaya hadi Marekani kwa siku 30 zijazo," amesema rais...
9 years ago
Dewji Blog29 Sep
Fastjet yaongeza safari zake kwenda Johannesburg sasa ni kila siku
Mkuu wa Biashara wa Fastjet Lan Petrie (kulia), akizungumza katika semina hiyo.
Meneja Mkuu wa Fastjet Afrika Mashariki, Jimmy Kibati (kulia), akizungumza katika semina ya siku moja ya waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi, iliyohusu kuongezeka kwa safari za ndege za shirika hilo kila siku kwenda Johannesburg nchini Afrika Kusini.
Ofisa Mtendaji wa Masuala ya Biashara wa Fastjet, David Chacha, akijibu maswali mbalimbali ya waandishi wa habari katika semina hiyo.
Ofisa...
9 years ago
Bongo Movies21 Oct
Je Unataka kwenda kuishi kufanya kazi Marekani? Nafasi ni Yako
Hauitajika kulipa hata senti tano ni buree! Jaribu bahati yako, muda uliobakia ni mchache sana. Mwisho wa kutuma maombi ni November 3, 2015.
Kila mwaka Serikali ya Marekani kupitia Ubalozi wa Marekani imekuwa ikitoa nafasi ya kutuma maombi ya watu kwenda kuishi Marekani kupitia mpango ujulikano kama “Diversity Visa program (DV-2017)”. Ni kama vile bahati nasibu na hapa hautakiwi kutoa au kulipa chochote zaidi ya kuwa na picha yako ya digitali na kujaza maelezo machache kupitia mtandao wao...
9 years ago
Bongo514 Nov
Mayunga kuondoka Jumatatu kwenda Marekani kurekodi wimbo na Akon
![yunga akon](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/yunga-akon-300x194.jpg)
Mwimbaji wa Tanzania, Mayunga Nalimi ambaye ni mshindi wa Airtel Trace Music Stars 2015 anatarajia kuondoka nchini Jumatatu (Nov. 16), kuelekea New York, Marekani kwajili ya kurekodi wimbo na mwimbaji mwenye asili ya Senegal, Akon.
Kupitia kipindi cha XXL cha Clouds Fm, Mayunga ametaja mambo matatu anayokwenda kufanya Marekani.
“…naenda kupata hiyo mentorship, kufanya wimbo, na vilevile kushoot video ya wimbo ambao nitaufanya” alisema Mayunga.
Ameongeza kuwa wimbo anaoenda kurekodi...