Majeshi ya Marekani kwenda Iraq tena?
Rais Barack Obama kuisaidia Iraq kukabiliana na wanamgambo wa kiislam wanaodhibiti eneo kubwa la kaskazini mwa Iraq .
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili17 Jun
Marekani kutuma majeshi Iraq
Marekani imetangaza kuwa inatuma wanajeshi 275 nchini Iraq kusaidia kulinda maafisa na Ubalozi wake mjini Bagdad.
10 years ago
BBCSwahili11 Mar
Majeshi ya Iraq yakomboa Tikrit
Maofisa wa serikali nchini Iraqi wamesema kwamba majeshi ya serikali yanayoungwa mkono na majeshia ya Shia yamefanikiwa kuyakomboa baadhi ya maeneo ya mji wa Tikrit kutoka katika himaya ya wanamgambo wa dola ya kiislam Islamic State .
10 years ago
BBCSwahili02 Mar
Majeshi ya Iraq mbioni kuikomboa Tikrit
Serikali ya Iraq inasema kuwa wanajeshi wake wameanza kampeini ya kuwafurusha wapiganaji wa Islamic State kutoka mji wa Tikrit
9 years ago
BBCSwahili14 Dec
Uturuki yaanza kuondoa majeshi Iraq
Uturuki imeanza kuondoa baadhi ya wanajeshi wake waliokuwa wameingia Iraq, kwa mujibu wa shirika la habari la serikali.
9 years ago
BBCSwahili05 Dec
Iraq yaitaka Uturuki iondoe majeshi Mosul
Serikali ya Iraq imeiamuru Uturuki iondoe wanajeshi wake katika eneo la mpakani karibu na mji wa Mosul ambalo linadhibitiwa na wapiganaji wa Islamic State.
10 years ago
BBCSwahili19 Aug
Rais Obama asifu majeshi ya Iraq na kurd
Rais wa Marekani Barack Obama ameahidi kuendelea kuyaunga mkono majeshi ya Iraq na kikurd
9 years ago
BBCSwahili16 Oct
Majeshi ya Marekani kubaki Afghanistan
Marekani imesema imeongeza muda kwa majeshi yake kubaki Afghanistan
11 years ago
BBCSwahili03 Jun
Marekani kuongeza majeshi Ulaya
Rais wa Marekani Barack Obama ametangaza mpango wa dola bilioni moja kufadhili nyongeza ya wanajeshi wake barani Ulaya huku mzozo wa Ukraine ukiendelea kutokota.
10 years ago
BBCSwahili07 Nov
Majeshi ya Marekani yashambulia Khorasan
Jeshi la Marekani limefanya mashambulio ya anga dhidi ya wapiganaji wa makundi ya kigaidi katika eneo linaloitwa Khorasan .
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania