Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Majeshi ya Marekani kwenda Iraq tena?

Rais Barack Obama kuisaidia Iraq kukabiliana na wanamgambo wa kiislam wanaodhibiti eneo kubwa la kaskazini mwa Iraq .

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Marekani kutuma majeshi Iraq

Marekani imetangaza kuwa inatuma wanajeshi 275 nchini Iraq kusaidia kulinda maafisa na Ubalozi wake mjini Bagdad.

 

10 years ago

BBCSwahili

Majeshi ya Iraq yakomboa Tikrit

Maofisa wa serikali nchini Iraqi wamesema kwamba majeshi ya serikali yanayoungwa mkono na majeshia ya Shia yamefanikiwa kuyakomboa baadhi ya maeneo ya mji wa Tikrit kutoka katika himaya ya wanamgambo wa dola ya kiislam Islamic State .

 

10 years ago

BBCSwahili

Majeshi ya Iraq mbioni kuikomboa Tikrit

Serikali ya Iraq inasema kuwa wanajeshi wake wameanza kampeini ya kuwafurusha wapiganaji wa Islamic State kutoka mji wa Tikrit

 

9 years ago

BBCSwahili

Uturuki yaanza kuondoa majeshi Iraq

Uturuki imeanza kuondoa baadhi ya wanajeshi wake waliokuwa wameingia Iraq, kwa mujibu wa shirika la habari la serikali.

 

9 years ago

BBCSwahili

Iraq yaitaka Uturuki iondoe majeshi Mosul

Serikali ya Iraq imeiamuru Uturuki iondoe wanajeshi wake katika eneo la mpakani karibu na mji wa Mosul ambalo linadhibitiwa na wapiganaji wa Islamic State.

 

10 years ago

BBCSwahili

Rais Obama asifu majeshi ya Iraq na kurd

Rais wa Marekani Barack Obama ameahidi kuendelea kuyaunga mkono majeshi ya Iraq na kikurd

 

9 years ago

BBCSwahili

Majeshi ya Marekani kubaki Afghanistan

Marekani imesema imeongeza muda kwa majeshi yake kubaki Afghanistan

 

11 years ago

BBCSwahili

Marekani kuongeza majeshi Ulaya

Rais wa Marekani Barack Obama ametangaza mpango wa dola bilioni moja kufadhili nyongeza ya wanajeshi wake barani Ulaya huku mzozo wa Ukraine ukiendelea kutokota.

 

10 years ago

BBCSwahili

Majeshi ya Marekani yashambulia Khorasan

Jeshi la Marekani limefanya mashambulio ya anga dhidi ya wapiganaji wa makundi ya kigaidi katika eneo linaloitwa Khorasan .

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani