Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Majeshi ya Marekani yashambulia Khorasan

Jeshi la Marekani limefanya mashambulio ya anga dhidi ya wapiganaji wa makundi ya kigaidi katika eneo linaloitwa Khorasan .

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Majeshi ya muungano yashambulia IS Syria

Ushirikiano unaoongozwa na Marekani, unasema kuwa umefanya mashambulio makubwa ya ndege dhidi ya shina la wapiganaji wa Islamic State, katika mji wa Raqqa, wa Syria.

 

10 years ago

BBCSwahili

Majeshi ya muungano yashambulia Yemen

Ndege za majeshi ya muungano yakiongozwa na yale ya serikali ya Saudi Arabia, zinarusha makombora makali kuwalenga waasi wahouthi

 

10 years ago

BBCSwahili

Majeshi ya DRC yashambulia ngome ya FDLR

Jeshi la Jamhuri ya Kidemkrasia ya Congo vimeanza kuwashambulia wapiganaji wa FDLR katika mkoa wa Kivu ya Kusini.

 

11 years ago

BBCSwahili

Marekani yashambulia Wanamgambo wa IS

Ndege za Marekani zimeshambulia wanamgambo wa kundi la Islamic state kaskazini mwa Iraq

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekani yashambulia wapiganaji wa Iraq

Ndege za kijeshi kutoka Marekani zimetekeleza mashambulizi tisa ya angani dhidi ya wanamgambo wa Islamic State kazkazini mwa Iraq

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekani yashambulia Tikrit nchini Iraq

Ndege za kijeshi za Marekani zimeanza kutekeleza mashambulizi makali, katika maeneo yenye wanamgambo wa Islamic State, huko Tikrit

 

5 years ago

BBCSwahili

Marekani yashambulia Taliban kwa makombora saa kadhaa baada ya mkataba

Hii inakuja siku moja baada ya rais Trump kuzungumza na kundi hilo kuhusu juhudi za kuimarisha mchakato wa amani.

 

9 years ago

BBCSwahili

Majeshi ya Marekani kubaki Afghanistan

Marekani imesema imeongeza muda kwa majeshi yake kubaki Afghanistan

 

11 years ago

BBCSwahili

Marekani kutuma majeshi Iraq

Marekani imetangaza kuwa inatuma wanajeshi 275 nchini Iraq kusaidia kulinda maafisa na Ubalozi wake mjini Bagdad.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani