Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Majeshi ya DRC yashambulia ngome ya FDLR

Jeshi la Jamhuri ya Kidemkrasia ya Congo vimeanza kuwashambulia wapiganaji wa FDLR katika mkoa wa Kivu ya Kusini.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Syria yashambulia ngome za waasi

Maelfu ya watu wameuawa upande wa kaskazini-magharibi mwa Syria katika mfululizo wa mashambulizi ya anga.

 

9 years ago

GPL

UFARANSA YASHAMBULIA NGOME YA IS, SYRIA

Mabomu yakiripuka. Moja kati ya Ndege za Kivita za Ufaransa zilizoshambulia Raqqa, Syria. Eneo la Mji wa Raqqa lililoshambuliwa na Ufaransa. Raqqa, Syria NDEGE za Kijesahi za Ufaransa zimefanya shambulio zito kwenye Mji wa Raqqa nchini Syria kuwalenga wapiganaji wa ISIS usiku wa kaamkia leo.…

 

10 years ago

BBCSwahili

Majeshi ya Marekani yashambulia Khorasan

Jeshi la Marekani limefanya mashambulio ya anga dhidi ya wapiganaji wa makundi ya kigaidi katika eneo linaloitwa Khorasan .

 

10 years ago

BBCSwahili

Majeshi ya muungano yashambulia Yemen

Ndege za majeshi ya muungano yakiongozwa na yale ya serikali ya Saudi Arabia, zinarusha makombora makali kuwalenga waasi wahouthi

 

10 years ago

BBCSwahili

Majeshi ya muungano yashambulia IS Syria

Ushirikiano unaoongozwa na Marekani, unasema kuwa umefanya mashambulio makubwa ya ndege dhidi ya shina la wapiganaji wa Islamic State, katika mji wa Raqqa, wa Syria.

 

10 years ago

BBCSwahili

UN kushirikiana na DRC kuwaondoa FDLR

Umoja wa Mataifa umesema Rais Joseph Kabila ameahidi kuwa jeshi lake litaungana na la UN katika operesheni dhidi ya waasi wa FDLR.

 

10 years ago

BBCSwahili

Jeshi la DRC kuwakabili waasi wa FDLR

Serikali ya DRC inasema kuwa iko tayari kundesha oparesheni ya kijeshi dhidi ya waasi wa kihutu mashariki mwa nchi hiyo.

 

10 years ago

Kikwete

Tanzanian troops ready to attack FDLR in DRC


StarAfrica.com
Tanzanian troops ready to attack FDLR in DRC - Kikwete
StarAfrica.com
The Tanzanian President Jakaya Kikwete has once more reassured the international community of the determination of his troops to participate in the operations aimed at disarming the Democratic Forces for the Liberation of Rwanda (FDLR), a rebel group ...
Dar Reaffirms Stand On DRC Peace MissionAllAfrica.com
Tanzanian president vows to fight negative forces in DRC under UN missionGbooza

all 7

 

11 years ago

BBCSwahili

Majeshi ya DRC na Rwanda yakabiliana

Maafisa wa serikali ya DRC wanasema majeshi yao yamekabiliana na majeshi ya Rwanda Mashariki mwa Congo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani