Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UN kushirikiana na DRC kuwaondoa FDLR

Umoja wa Mataifa umesema Rais Joseph Kabila ameahidi kuwa jeshi lake litaungana na la UN katika operesheni dhidi ya waasi wa FDLR.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Jeshi la DRC kuwakabili waasi wa FDLR

Serikali ya DRC inasema kuwa iko tayari kundesha oparesheni ya kijeshi dhidi ya waasi wa kihutu mashariki mwa nchi hiyo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Majeshi ya DRC yashambulia ngome ya FDLR

Jeshi la Jamhuri ya Kidemkrasia ya Congo vimeanza kuwashambulia wapiganaji wa FDLR katika mkoa wa Kivu ya Kusini.

 

10 years ago

Kikwete

Tanzanian troops ready to attack FDLR in DRC


StarAfrica.com
Tanzanian troops ready to attack FDLR in DRC - Kikwete
StarAfrica.com
The Tanzanian President Jakaya Kikwete has once more reassured the international community of the determination of his troops to participate in the operations aimed at disarming the Democratic Forces for the Liberation of Rwanda (FDLR), a rebel group ...
Dar Reaffirms Stand On DRC Peace MissionAllAfrica.com
Tanzanian president vows to fight negative forces in DRC under UN missionGbooza

all 7

 

10 years ago

BBCSwahili

Wapiganaji wa Kishia kuwaondoa IS?

Wanamgambo wanaoiunga mkono serikali ya Iraq wa kishia wametangaza kuanzisha mapambano ya kuwaondoa wanamgambo wa IS.

 

10 years ago

Michuzi

NYALANDU: HATUNA MPANGO WA KUWAONDOA WAMASAI LOLIONDO

Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Lazaro Nyalandu, amesema habari zinazodai kuwa Serikali inataka kuwaondoa wakazi wa zaidi ya 40,000 katika eneo la Loliondo, Ngorongoro mkoani Arusha  hazina ukweli wowote.
Novemba mwaka huu, gazeti The Guardian la nchini Uingereza, liliandika habari kuwa serikali ina mpango wa kuwafukuza Wamasai wanaoishi eneo hilo.
Gazeti hilo lilidai kuwa, lengo ni kuwapatia eneo lenye kilometa za mraba 1,500, kampuni ya OBC ya Falme za Kiarabu.
Akizungumza na wananchi wa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Malawi kuwaondoa raia wake Afrika Kusini

Malawi imeamua kuwaondoa raia wake kutoka Afrika Kusini kutokana na kukithiri kwa ghasia za kushambuliwa wageni

 

10 years ago

Vijimambo

GOLA KUWAONDOA WATOTO WA MITAANI JIJINI ARUSHA


Afisa ustawi wa jamii na Maendeleo ya jamii jijini Arusha Mwantumu Dossi akitembelea mradi wa shamba la mahindi unaoendeshwa na taasisi ya Gola Foundation jana katika kituo cha Kufikia watoto wa mitaani,katikati ni Mkurugenzi wa shirika hilo Elisha Maghembe

habari picha na libeneke la kaskazini blog

Mkurugenzi wa shirika lisilokua la kiserikali la Gola Foundation Elisha Maghembe amesema kuwa wameanza zoezi la kuwaondoa watoto wa mitaani walioko jijini Arusha na kuwafikisha kwenye vituo...

 

10 years ago

Strategy Page

Congo: Is This The End Of FDLR?


Just Jared
Congo: Is This The End Of FDLR?
Strategy Page
February 3, 2015: FDLR (Democratic Forces for the Liberation of Rwanda) rebels are in bad shape since UN (MONUSCO) peacekeepers and Congolese soldiers began an offensive against them during the last week of January. The government made an ...
DR Congo and Rwanda's FDLR rebels: Why Tanzania could end up eating ...Mail & Guardian Africa
DRC 4, Republic of Congo 2London Review of Books (subscription) (blog)
Carey Mulligan Forms Deep Connection...

 

11 years ago

BBCSwahili

UN yawaandama FDLR Congo

Kikosi cha Umoja wa Mataifa na cha DRC chaanza operesheni dhidi ya Wahutu wa kundi la FDLR kutoka Rwanda

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani