UN kushirikiana na DRC kuwaondoa FDLR
Umoja wa Mataifa umesema Rais Joseph Kabila ameahidi kuwa jeshi lake litaungana na la UN katika operesheni dhidi ya waasi wa FDLR.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili03 Jan
Jeshi la DRC kuwakabili waasi wa FDLR
Serikali ya DRC inasema kuwa iko tayari kundesha oparesheni ya kijeshi dhidi ya waasi wa kihutu mashariki mwa nchi hiyo.
10 years ago
BBCSwahili24 Feb
Majeshi ya DRC yashambulia ngome ya FDLR
Jeshi la Jamhuri ya Kidemkrasia ya Congo vimeanza kuwashambulia wapiganaji wa FDLR katika mkoa wa Kivu ya Kusini.
10 years ago
Kikwete14 Jan
Tanzanian troops ready to attack FDLR in DRC
StarAfrica.com
StarAfrica.com
The Tanzanian President Jakaya Kikwete has once more reassured the international community of the determination of his troops to participate in the operations aimed at disarming the Democratic Forces for the Liberation of Rwanda (FDLR), a rebel group ...
Dar Reaffirms Stand On DRC Peace MissionAllAfrica.com
Tanzanian president vows to fight negative forces in DRC under UN missionGbooza
all 7
10 years ago
BBCSwahili27 May
Wapiganaji wa Kishia kuwaondoa IS?
Wanamgambo wanaoiunga mkono serikali ya Iraq wa kishia wametangaza kuanzisha mapambano ya kuwaondoa wanamgambo wa IS.
10 years ago
MichuziNYALANDU: HATUNA MPANGO WA KUWAONDOA WAMASAI LOLIONDO
Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Lazaro Nyalandu, amesema habari zinazodai kuwa Serikali inataka kuwaondoa wakazi wa zaidi ya 40,000 katika eneo la Loliondo, Ngorongoro mkoani Arusha hazina ukweli wowote.
Novemba mwaka huu, gazeti The Guardian la nchini Uingereza, liliandika habari kuwa serikali ina mpango wa kuwafukuza Wamasai wanaoishi eneo hilo.
Gazeti hilo lilidai kuwa, lengo ni kuwapatia eneo lenye kilometa za mraba 1,500, kampuni ya OBC ya Falme za Kiarabu.
Akizungumza na wananchi wa...
Novemba mwaka huu, gazeti The Guardian la nchini Uingereza, liliandika habari kuwa serikali ina mpango wa kuwafukuza Wamasai wanaoishi eneo hilo.
Gazeti hilo lilidai kuwa, lengo ni kuwapatia eneo lenye kilometa za mraba 1,500, kampuni ya OBC ya Falme za Kiarabu.
Akizungumza na wananchi wa...
10 years ago
BBCSwahili16 Apr
Malawi kuwaondoa raia wake Afrika Kusini
Malawi imeamua kuwaondoa raia wake kutoka Afrika Kusini kutokana na kukithiri kwa ghasia za kushambuliwa wageni
10 years ago
VijimamboGOLA KUWAONDOA WATOTO WA MITAANI JIJINI ARUSHA
Afisa ustawi wa jamii na Maendeleo ya jamii jijini Arusha Mwantumu Dossi akitembelea mradi wa shamba la mahindi unaoendeshwa na taasisi ya Gola Foundation jana katika kituo cha Kufikia watoto wa mitaani,katikati ni Mkurugenzi wa shirika hilo Elisha Maghembe
habari picha na libeneke la kaskazini blog
Mkurugenzi wa shirika lisilokua la kiserikali la Gola Foundation Elisha Maghembe amesema kuwa wameanza zoezi la kuwaondoa watoto wa mitaani walioko jijini Arusha na kuwafikisha kwenye vituo...
10 years ago
Strategy Page03 Feb
Congo: Is This The End Of FDLR?
Just Jared
Strategy Page
February 3, 2015: FDLR (Democratic Forces for the Liberation of Rwanda) rebels are in bad shape since UN (MONUSCO) peacekeepers and Congolese soldiers began an offensive against them during the last week of January. The government made an ...
DR Congo and Rwanda's FDLR rebels: Why Tanzania could end up eating ...Mail & Guardian Africa
DRC 4, Republic of Congo 2London Review of Books (subscription) (blog)
Carey Mulligan Forms Deep Connection...
11 years ago
BBCSwahili09 Mar
UN yawaandama FDLR Congo
Kikosi cha Umoja wa Mataifa na cha DRC chaanza operesheni dhidi ya Wahutu wa kundi la FDLR kutoka Rwanda
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania