Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wapiganaji wa Kishia kuwaondoa IS?

Wanamgambo wanaoiunga mkono serikali ya Iraq wa kishia wametangaza kuanzisha mapambano ya kuwaondoa wanamgambo wa IS.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Jeshi la Nigeria labomoa madhabahu ya kishia

Vuguvugu la kiislamu nchini Nigeria (IMN) linadai kuwa mke wa kiongozi wa kishia nchini Nigeria Sheikh Ibrahim Zakzaky ameuawa na jeshi la taifa

 

9 years ago

BBCSwahili

Mhubiri wa Kishia anyongwa Saudi Arabia

Saudi Arabia imemuua mhubiri maarufu wa dhehebu la Kishia Sheikh Nimr al-Nimr, wizara ya masuala ya ndani imesema.

 

9 years ago

BBCSwahili

Iran yaitaka Nigeria kumwachilia kiongozi wa Kishia

Iran imeitaka Nigeria kumwachilia huru kiongozi wa Kishia Sheikh Ibrahim al Zakzaky aliyekamatwa baada ya vurugu kutokea kati ya wafuasi wa kundi lake na wanajeshi mwezi uliopita.

 

10 years ago

BBCSwahili

UN kushirikiana na DRC kuwaondoa FDLR

Umoja wa Mataifa umesema Rais Joseph Kabila ameahidi kuwa jeshi lake litaungana na la UN katika operesheni dhidi ya waasi wa FDLR.

 

10 years ago

Michuzi

NYALANDU: HATUNA MPANGO WA KUWAONDOA WAMASAI LOLIONDO

Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Lazaro Nyalandu, amesema habari zinazodai kuwa Serikali inataka kuwaondoa wakazi wa zaidi ya 40,000 katika eneo la Loliondo, Ngorongoro mkoani Arusha  hazina ukweli wowote.
Novemba mwaka huu, gazeti The Guardian la nchini Uingereza, liliandika habari kuwa serikali ina mpango wa kuwafukuza Wamasai wanaoishi eneo hilo.
Gazeti hilo lilidai kuwa, lengo ni kuwapatia eneo lenye kilometa za mraba 1,500, kampuni ya OBC ya Falme za Kiarabu.
Akizungumza na wananchi wa...

 

10 years ago

Vijimambo

GOLA KUWAONDOA WATOTO WA MITAANI JIJINI ARUSHA


Afisa ustawi wa jamii na Maendeleo ya jamii jijini Arusha Mwantumu Dossi akitembelea mradi wa shamba la mahindi unaoendeshwa na taasisi ya Gola Foundation jana katika kituo cha Kufikia watoto wa mitaani,katikati ni Mkurugenzi wa shirika hilo Elisha Maghembe

habari picha na libeneke la kaskazini blog

Mkurugenzi wa shirika lisilokua la kiserikali la Gola Foundation Elisha Maghembe amesema kuwa wameanza zoezi la kuwaondoa watoto wa mitaani walioko jijini Arusha na kuwafikisha kwenye vituo...

 

10 years ago

BBCSwahili

Malawi kuwaondoa raia wake Afrika Kusini

Malawi imeamua kuwaondoa raia wake kutoka Afrika Kusini kutokana na kukithiri kwa ghasia za kushambuliwa wageni

 

10 years ago

GPL

TANZANIA YANUIA KUWAONDOA RAIA WAKE WALIOKO AFRIKA KUSINI

Taswira za machafuko nchini Afrika Kusini, ambapo wenyeji wanawashambulia raia wa kigeni huku wakitakiwa wageni waondoke nchini humo. Wenyeji wakifanya vurugu na kuchoma moto mataili. Kufuatia kushamili siku hadi siku kwa mashambulizi dhidi ya raia wa kigeni nchini Afrika Kusini, Serikali ya Tanzania imetangaza kuwa, inapanga kuwaondoa raia wake nchini humo. Ubalozi wa Tanzania nchini Afrika Kusini umesema umeanza zoezi la...

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Marekani kuwaondoa raia wake katika meli ya Diamond Princess

Hatua hiyo inajiri huku idadi ya waliofariki kwa virusi vya corona ikizidi 1,500.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani