Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Majeshi ya muungano yashambulia Yemen

Ndege za majeshi ya muungano yakiongozwa na yale ya serikali ya Saudi Arabia, zinarusha makombora makali kuwalenga waasi wahouthi

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Majeshi ya muungano yashambulia IS Syria

Ushirikiano unaoongozwa na Marekani, unasema kuwa umefanya mashambulio makubwa ya ndege dhidi ya shina la wapiganaji wa Islamic State, katika mji wa Raqqa, wa Syria.

 

10 years ago

BBCSwahili

Majeshi ya Marekani yashambulia Khorasan

Jeshi la Marekani limefanya mashambulio ya anga dhidi ya wapiganaji wa makundi ya kigaidi katika eneo linaloitwa Khorasan .

 

10 years ago

BBCSwahili

Majeshi ya DRC yashambulia ngome ya FDLR

Jeshi la Jamhuri ya Kidemkrasia ya Congo vimeanza kuwashambulia wapiganaji wa FDLR katika mkoa wa Kivu ya Kusini.

 

10 years ago

BBCSwahili

Boko Haram yawaonya majeshi ya muungano

Kiongozi wa kundi la wapiganaji wa Boko Haram amewaonya wanajeshi kuwa watashindwa

 

10 years ago

Mtanzania

Sherehe za Muungano zafana, majeshi yawa kivutio

Pg 2Patricia Kimelemeta na Jonas Mushi, Dar es Salaam
RAIS Jakaya Kikwete jana aliongoza maelfu ya Watanzania kuadhimisha sherehe za miaka 51 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, huku vikosi vya majeshi ya ulinzi na usalama vikiwa kivutio kikubwa.
Tofauti na ilivyozoelekea miaka yote ambako vikosi vya ulinzi na usalama huwa vinakuwa kundi moja tu vikiwa vimevalia sare maalumu za sherehe, jana kulikuwa na makundi mawili tofauti yakiwa na zana nyingi na za kisasa zinazotumika katika utendaji wa...

 

9 years ago

BBCSwahili

Ufaransa yashambulia IS Syria

Ufaransa imefanya mashambulizi ya angani dhidi ya wapiganaji wa kiislamu wa Islamic State nchini Syria.

 

10 years ago

BBCSwahili

IS yashambulia polisi Misri

Duru za usalama zinasema misururu ya mashambulio imewaua watu 50

 

11 years ago

BBCSwahili

Marekani yashambulia Wanamgambo wa IS

Ndege za Marekani zimeshambulia wanamgambo wa kundi la Islamic state kaskazini mwa Iraq

 

11 years ago

BBCSwahili

Taliban yashambulia Kabul

Wapiganaji wa kundi la Taliban wametekeleza mashambulizi katika jumba la kukodisha ambalo hutumiwa sana na wageni.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani