Taliban yashambulia Kabul
Wapiganaji wa kundi la Taliban wametekeleza mashambulizi katika jumba la kukodisha ambalo hutumiwa sana na wageni.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili04 Mar
Marekani yashambulia Taliban kwa makombora saa kadhaa baada ya mkataba
Hii inakuja siku moja baada ya rais Trump kuzungumza na kundi hilo kuhusu juhudi za kuimarisha mchakato wa amani.
9 years ago
BBCSwahili12 Dec
Wataliban walioshambulia Kabul wauawa
Wapiganaji wanne wa kundi la Taliban walioshambulia mgahawa ulio karibu na ubalozi wa Uhispania mjini Kabul wameuawa.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0gGC4ZQuxjM6uYhvG1OJd*3IaROWHnpKaNZ5y0pFepqhKbIw2PA-Sq7*UMbeRSfUtVUZ-4AMNfxSqXzyLFiuN9--1Wi39Mpr/2.jpg)
MLIPUKO WA BOMU WAUA WATATU KABUL
Mmoja wa majeruhi katika shambulio hilo akitolewa eneo la tukio. Baadhi ya magari yaliyoteketea kutokana na shambulio hilo. Mama huyu akitolewa eneo la mlipuko na kupelekwa sehemu salama. WATU watatu wameripotiwa kupoteza maisha huku wengine takribani 20 wakijeruhiwa baada ya mlipuko kutokea kwenye uwanja wa ndege wa…
10 years ago
BBCSwahili17 May
2 wauawa katika shambulizi la bomu Kabul
Watu wawili wameripotiwa kufa na wengine wengi kujeruhiwa baada ya mlipuko kwenye mji mkuu wa Afganistan Kabul.
10 years ago
BBCSwahili08 Aug
Hali ni tete Kabul mabomu yameua watu 41
Rais wa Afghanistan Ashraf Ghani anaongoza kikao maalum cha usalama baada ya mashambulizi kadha ya kujitolea muhanga kuua watu 41.
11 years ago
BBCSwahili18 Jan
Bomu kwenye mkahawa wa Kabul lauwa wengi
Shambulio la kujitolea mhanga katika mji mkuu wa Afghhanistan, Kabul, umeuwa wageni wengi wa mashirika ya kimataifa
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-w9gSqciqehQ/VVh-kUzpLpI/AAAAAAAA9e4/QB6hksMXsAc/s72-c/Ka.jpg)
MLIPUKO WA BOMO LA KUJITOA MHANGA JIJINI KABUL WAUWA WATU WATATU NA KUJERUHI 20
![](http://4.bp.blogspot.com/-w9gSqciqehQ/VVh-kUzpLpI/AAAAAAAA9e4/QB6hksMXsAc/s640/Ka.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-2gVC9staojs/VVh-lbFSLQI/AAAAAAAA9e8/mPSI4IBYKmU/s640/Ka1.jpg)
Mtu mmoja aliyekuwa ndani ya gari alikufa pamoja na watoto wawili wa kike wa Afghan, ambapo pia watu wapatao 20 wamejeruhiwa. Kundi la Taliban limekiri kufanya shambulio hio.
5 years ago
Showbiz Cheat Sheet30 Mar
'Homeland' Season 8 Episode 8 Recap: Carrie's Heart Breaks as Kabul Turns Into a Powder Keg
'Homeland' Season 8 Episode 8 Recap: Carrie's Heart Breaks as Kabul Turns Into a Powder Keg Showbiz Cheat SheetHomeland recap: Season 8, episode 8: Threnody(s) EW.comHomeland kills off two characters, setting the stage for the series endgame The A.V. ClubHomeland Season 8 Episode 8 Review: Threnody(s) Den of Geek UKNext on Episode 9 | Homeland | Season 8 Homeland on SHOWTIMEView Full coverage on Google News
11 years ago
BBCSwahili26 Mar
Pakistan kuzungumza na Taliban
Kundi la waakilishi wa serikali nchini Pakistan linasafiri kuelekea katika eneo la wapiganaji wa Taliban Kaskazini Magharibi mwa taifa hilo.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania