Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Taliban yashambulia Kabul

Wapiganaji wa kundi la Taliban wametekeleza mashambulizi katika jumba la kukodisha ambalo hutumiwa sana na wageni.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Marekani yashambulia Taliban kwa makombora saa kadhaa baada ya mkataba

Hii inakuja siku moja baada ya rais Trump kuzungumza na kundi hilo kuhusu juhudi za kuimarisha mchakato wa amani.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wataliban walioshambulia Kabul wauawa

Wapiganaji wanne wa kundi la Taliban walioshambulia mgahawa ulio karibu na ubalozi wa Uhispania mjini Kabul wameuawa.

 

10 years ago

GPL

MLIPUKO WA BOMU WAUA WATATU KABUL

Mmoja wa majeruhi katika shambulio hilo akitolewa eneo la tukio. Baadhi ya magari yaliyoteketea kutokana na shambulio hilo. Mama huyu akitolewa eneo la mlipuko na kupelekwa sehemu salama. WATU watatu wameripotiwa kupoteza maisha huku wengine takribani 20 wakijeruhiwa baada ya mlipuko kutokea kwenye uwanja wa ndege wa…

 

10 years ago

BBCSwahili

2 wauawa katika shambulizi la bomu Kabul

Watu wawili wameripotiwa kufa na wengine wengi kujeruhiwa baada ya mlipuko kwenye mji mkuu wa Afganistan Kabul.

 

10 years ago

BBCSwahili

Hali ni tete Kabul mabomu yameua watu 41

Rais wa Afghanistan Ashraf Ghani anaongoza kikao maalum cha usalama baada ya mashambulizi kadha ya kujitolea muhanga kuua watu 41.

 

11 years ago

BBCSwahili

Bomu kwenye mkahawa wa Kabul lauwa wengi

Shambulio la kujitolea mhanga katika mji mkuu wa Afghhanistan, Kabul, umeuwa wageni wengi wa mashirika ya kimataifa

 

10 years ago

Vijimambo

MLIPUKO WA BOMO LA KUJITOA MHANGA JIJINI KABUL WAUWA WATU WATATU NA KUJERUHI 20

Watu wapatao watatu wamekufa kufuatia shambulio la bomu la kujitoa muhanga karibu na eneo la kuingilia uwanja wa ndege wa Kimataifa Jijini Kabul nchini Afghanistan.Shambulio hilo limefanywa karibu na eneo linalotumiwa kuegesha magari ya wanajeshi, na pia lililenga gari la mafunzo ya polisi la vikosi vya Ulaya.
Mtu mmoja aliyekuwa ndani ya gari alikufa pamoja na watoto wawili wa kike wa Afghan, ambapo pia watu wapatao 20 wamejeruhiwa. Kundi la Taliban limekiri kufanya shambulio hio.

 

5 years ago

Showbiz Cheat Sheet

'Homeland' Season 8 Episode 8 Recap: Carrie's Heart Breaks as Kabul Turns Into a Powder Keg

'Homeland' Season 8 Episode 8 Recap: Carrie's Heart Breaks as Kabul Turns Into a Powder Keg  Showbiz Cheat SheetHomeland recap: Season 8, episode 8: Threnody(s)  EW.comHomeland kills off two characters, setting the stage for the series endgame  The A.V. ClubHomeland Season 8 Episode 8 Review: Threnody(s)  Den of Geek UKNext on Episode 9 | Homeland | Season 8  Homeland on SHOWTIMEView Full coverage on Google News

 

11 years ago

BBCSwahili

Pakistan kuzungumza na Taliban

Kundi la waakilishi wa serikali nchini Pakistan linasafiri kuelekea katika eneo la wapiganaji wa Taliban Kaskazini Magharibi mwa taifa hilo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani