Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Boko Haram yawaonya majeshi ya muungano

Kiongozi wa kundi la wapiganaji wa Boko Haram amewaonya wanajeshi kuwa watashindwa

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Majeshi yazima shambulizi la Boko Haram

Jeshi la Nigeria limezima mashambulizi ya wapiganaji wa kiislamu wa Boko Haram katika mji wa Maiduguri ulioko Kaskazini Mashariki mwa taifa hilo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mkuu wa Majeshi aapa kutokomeza Boko Haram

Mkuu wa majeshi nchini Nigeria Lt Generali Tukur Yusuf aapa kutokomeza kabisa kundi la Boko Haram kufikia mwisho wa mwaka huu

 

10 years ago

BBCSwahili

Majeshi ya muungano yashambulia Yemen

Ndege za majeshi ya muungano yakiongozwa na yale ya serikali ya Saudi Arabia, zinarusha makombora makali kuwalenga waasi wahouthi

 

10 years ago

BBCSwahili

Majeshi ya muungano yashambulia IS Syria

Ushirikiano unaoongozwa na Marekani, unasema kuwa umefanya mashambulio makubwa ya ndege dhidi ya shina la wapiganaji wa Islamic State, katika mji wa Raqqa, wa Syria.

 

10 years ago

Mtanzania

Sherehe za Muungano zafana, majeshi yawa kivutio

Pg 2Patricia Kimelemeta na Jonas Mushi, Dar es Salaam
RAIS Jakaya Kikwete jana aliongoza maelfu ya Watanzania kuadhimisha sherehe za miaka 51 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, huku vikosi vya majeshi ya ulinzi na usalama vikiwa kivutio kikubwa.
Tofauti na ilivyozoelekea miaka yote ambako vikosi vya ulinzi na usalama huwa vinakuwa kundi moja tu vikiwa vimevalia sare maalumu za sherehe, jana kulikuwa na makundi mawili tofauti yakiwa na zana nyingi na za kisasa zinazotumika katika utendaji wa...

 

11 years ago

BBC

How do you negotiate with Boko Haram?

Frank Gardner looks at how you negotiate with armed kidnappers

 

11 years ago

BBC

Exactly what does the phrase Boko Haram mean?

What does the Nigerian militant group's name really translate as?

 

10 years ago

BBC

Why is Boko Haram so strong?

How did Nigeria's Boko Haram become so strong?

 

11 years ago

BBCSwahili

Washirika wa Boko Haram

Genge moja huko Niger limezungumza na BBC, likisema limeshirikiana na kundi la wapiganaji wa Boko Haram na kwa kufanya hivyo wakapata pesa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani