Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Je Unataka kwenda kuishi kufanya kazi Marekani? Nafasi ni Yako

Hauitajika kulipa hata senti tano ni buree! Jaribu bahati yako, muda uliobakia ni mchache sana. Mwisho wa kutuma maombi ni November 3, 2015.

Kila mwaka Serikali ya Marekani kupitia Ubalozi wa Marekani imekuwa ikitoa nafasi ya kutuma maombi ya watu kwenda kuishi Marekani kupitia mpango ujulikano kama “Diversity Visa program (DV-2017)”. Ni kama vile bahati nasibu na hapa  hautakiwi kutoa au kulipa chochote zaidi ya kuwa na picha yako ya digitali na kujaza maelezo machache kupitia mtandao wao...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

PICHA: Hakuna Mtu Anaweza Kuchukua Nafasi Yako Kama Upo Kwenye Nafasi Yako-Lulu

Hayo ni maneno ambayo mwigizaji Elizabeth Michael “Lulu” aliyaandika kwa lungha ya kingereza kabla ya kuzitupia picha hizo hapo juu.

“Cant Nobody Take Your Place If You're In Your Place...!”

Kiukweli, kama utaweka chuki zako pembeni, utakubaliana na mimi kuwa Lulu ni mwigizaji anaependa na kwenda na fasheni kuwashinda waigizaji wote wa hapa bongo.

Jionee picha hizo.

By Mzee wa Ubuyu

 

10 years ago

Vijimambo

NAFASI YA KAZI UBALOZI WA MAREKANI


EMPLOYMENT OPPORTUNITY

PROCUREMENT AGENT (RE-ADVERTISED)ALL ORDINARILY RESIDENT (OR) APPLICANTS MUST HAVE THE REQUIRED WORK AND/OR RESIDENCY PERMITS TO BE ELIGIBLE FOR CONSIDERATION.The US Embassy is seeking for an individual for the position of Procurement Agent in the General Services Section.BASIC FUNCTION OF POSITIONAs part of the Procurement Team, incumbent will be responsible for all acquisition requirements for Department of State – Dar es Salaam and other related government agencies....

 

10 years ago

BBCSwahili

Je unataka kuishi maisha marefu duniani ?

Utafiti wa miaka saba huko China unaonesha kuwa ukila vyakula hivi unajiongezea siku zako duniani,soma utafiti.

 

11 years ago

GPL

UNATAKA KUISHI KIMAPENZI? CHUKUA MUONGOZO HUU!- 2

Katika muongozo huu wa kuishi kimapenzi.Wiki iliyopita nilikutaka ujifunze kuweka maudhi ya pembeni kando unapokuwa na mwenzi wako. Unapovuka kizingiti cha mlango, hakikisha hasira zote unaziacha hapo ili unapoingia ndani kichwa chako kiwe chepesi kupokea yaliyomo ndani ya nyumba. Inahitaji hekima za hali ya juu kusahau maudhi ya nje haraka, kwani wengi wamekuwa shubiri kwa wapenzi wao. Anaingia ndani, mwenzake anampokea kwa...

 

11 years ago

GPL

UNATAKA KUISHI KIMAPENZI? CHUKUA MUONGOZO HUU!

Tupo kwenye msimu wa wapendanao, tunaelekea ile siku inayoitwa Valentine’s Day. Kuna mambo ni vizuri kuwekana sawa. Mapenzi sahihi ni yale yenye alama za kimapenzi na lazima uwe na muongozo unaofaa.
Saikolojia inafundisha kuwa muungwana ni yule anayejifunza kupunguza msongo wa mawazo, kuongeza furaha na kukuza umakini. Hii inamaana kwamba yule anayetumia muda mwingi kufikiria vitu hasi hana ufanisi mzuri kijamii na hata...

 

9 years ago

Global Publishers

Unataka kuishi kwa amani na furaha? Haya yanakuhusu!

Kuna watu huko mtaani hawajui mtaji wa kuishi maisha ya furaha. Wapo wanaodhani ukishakuwa na fedha basi maisha umeyapatia.

Tambua kwamba, wapo watu wana pesa nyingi, wameoa wake wazuri, wana uwezo wa kufanya kila wanalotaka lakini bado maisha yao hayana amani, kwa nini? Kwa sababu hawajui nguzo za kujijengea maisha ya furaha na amani.

Wiki hii nimeona nikupe mambo 10 ambayo kama utayatimiza, utaishi maisha mazuri hapa duniani na pia maisha mazuri baada ya kifo (kwa wale tunaoamini kwamba...

 

10 years ago

CloudsFM

WAZAZI IRINGA WAPIGWA MARUFUKU KUWARUHUSU WATOTO WAO KWENDA KUFANYA KAZI ZA ''HOUSE GIRL''

MBUNGE wa jimbo la Kalenga mkoani Iringa Godfrey Mgimwa amepiga marufuku wazazi wa wanafunzi waliofanya mtihani wa taifa wa darasa la saba 2014 kuwaruhusu watoto wao kwenda mijini kufanya kazi za ndani (uyaya) kwa madai kuwa kazi hiyo ni aibu kubwa kwa wakazi wa mkoa wa Iringa. Akizungumza katika mafahali ya darasa la saba katika shule ya msingi Kalenga na Kiponzelo jana mbunge Mgimwa alisema kuwa mkoa wa Iringa umekuwa ukisifika kwa kutoa wafanyakazi wa ndani jambo ambalo ni aibu na...

 

10 years ago

Bongo Movies

Wastara Apata Dili Kufanya Kazi Nchini Marekani

Staa wa Bongo Movie, Wastara Juma amepata shavu la kwenda kufanya kazi nchini marekani akiwa pamoja na mtengenezaji filamu  mahiri kabisa hapa Bongo, Timoth Conrad Kachumia.

Japo kuwa hakutaka kueleza ni lini  watakwenda nchini humo na kampuni iliyowapa chavu hilo, kupitia ukursasa wake mtandaoni  alibandika baadhi ya picha akiwa na watu ambao  ndio wame wapa dili hilo  na kuandika;

“Ukipata nafasi ya kufanya kazi kimataifa usiichezee,,one mistake hundred goal............kosa la defense ni...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani