UNATAKA KUISHI KIMAPENZI? CHUKUA MUONGOZO HUU!- 2
![](http://api.ning.com:80/files/wxWEJX1q6dYjajCWodmiJbsq7eeXmqiyRikmqenCK3JIEJHgmBb6HUxST05ZnjczVdNqFvYCEeXdJ08amRGc7d-VADsOKcG5/lv.jpg?width=650)
Katika muongozo huu wa kuishi kimapenzi.Wiki iliyopita nilikutaka ujifunze kuweka maudhi ya pembeni kando unapokuwa na mwenzi wako. Unapovuka kizingiti cha mlango, hakikisha hasira zote unaziacha hapo ili unapoingia ndani kichwa chako kiwe chepesi kupokea yaliyomo ndani ya nyumba. Inahitaji hekima za hali ya juu kusahau maudhi ya nje haraka, kwani wengi wamekuwa shubiri kwa wapenzi wao. Anaingia ndani, mwenzake anampokea kwa...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/RnVdzGQ*fcKpEu76Aegtjq2b29AimP7uVPcIS81BZa00lMZprsTjtaRtgAulxeBlnWHGAjGCaxJSKbbe9yFheFLy6aCCRmNO/lv.jpg?width=650)
UNATAKA KUISHI KIMAPENZI? CHUKUA MUONGOZO HUU!
10 years ago
BBCSwahili05 Aug
Je unataka kuishi maisha marefu duniani ?
9 years ago
Global Publishers06 Jan
Unataka kuishi kwa amani na furaha? Haya yanakuhusu!
Kuna watu huko mtaani hawajui mtaji wa kuishi maisha ya furaha. Wapo wanaodhani ukishakuwa na fedha basi maisha umeyapatia.
Tambua kwamba, wapo watu wana pesa nyingi, wameoa wake wazuri, wana uwezo wa kufanya kila wanalotaka lakini bado maisha yao hayana amani, kwa nini? Kwa sababu hawajui nguzo za kujijengea maisha ya furaha na amani.
Wiki hii nimeona nikupe mambo 10 ambayo kama utayatimiza, utaishi maisha mazuri hapa duniani na pia maisha mazuri baada ya kifo (kwa wale tunaoamini kwamba...
9 years ago
Bongo Movies21 Oct
Je Unataka kwenda kuishi kufanya kazi Marekani? Nafasi ni Yako
Hauitajika kulipa hata senti tano ni buree! Jaribu bahati yako, muda uliobakia ni mchache sana. Mwisho wa kutuma maombi ni November 3, 2015.
Kila mwaka Serikali ya Marekani kupitia Ubalozi wa Marekani imekuwa ikitoa nafasi ya kutuma maombi ya watu kwenda kuishi Marekani kupitia mpango ujulikano kama “Diversity Visa program (DV-2017)”. Ni kama vile bahati nasibu na hapa hautakiwi kutoa au kulipa chochote zaidi ya kuwa na picha yako ya digitali na kujaza maelezo machache kupitia mtandao wao...
10 years ago
Vijimambo29 Apr
Wewe Ni Binti Mrembo Na Unajiamini? Basi Chukua Mchongo Huu
![](http://api.ning.com/files/NpAlVAvTs3Pwhwv1q52kRCqZBNkwB-rnxWQ0nD3NlG3ZPoTK-AY9MSoaeO92v14pGWwLVEWZ5ukuRz7KbphCAfVXBXSjX0OG/ADDSWAHIL.jpg?width=750)
Kuna watu ambao wanavipaji vya hali ya juu katika uigizaji lakini umekuwa ukijiuliza utaonyesha vipi kipaji chako ikiwa ni pamoja na kupata kipato chako kitakachoweza kukufanya uishi na kufanya mambo yako kwa hali nzuri.
Utapata nafasi ya kujulikna na mastaa wengine ambao wao tayari wameshafanikiwa, utaonekana kupitia TV Show hii.
Lakini bado upo kwenye Dilema lakiji huu ndio mchongo wa kuchangamkia kwa sasa!! Swali ni moja tu.....
Wewe ni binti mrembo na unajitambua? Basi tunakuhitaji uwe...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eoZ5qo4qa6pmofIU0X1syrZtoStJ9pO-hgDqQbgcyQw6xCn4yj2YZekSc7Jnuka7hhHS5P2DNWHduKIFDPvShdMyNV1-TLTB/10570231_500727066740183_808236221_n.jpg)
UNATAKA WACHEZE FILAMU YAKO? ANDAA MKWANJA HUU
10 years ago
Michuzi03 Feb
MAKALA YA SHERIA: WE NI MJASIRIAMALI, UNATAKA KUFUNGUA SHULE, UTARATIBU MWEPESI NI HUU.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-o_XNlmWrGZY/VOGCY0R-sdI/AAAAAAAHD5I/HzLPXtsupf4/s72-c/images.jpeg)
MAKALA YA SHERIA: UNATAKA KUFANYA TRANSFER (KUBADILI JINA) LA KIWANJA/NYUMBA, UTARATIBU WA HARAKA NI HUU
![](http://4.bp.blogspot.com/-o_XNlmWrGZY/VOGCY0R-sdI/AAAAAAAHD5I/HzLPXtsupf4/s1600/images.jpeg)
Watu wengi wamenunua viwanja/nyumba lakini mali hizo zimeendelea kubaki katika majina ya waliowauzia. Wapo ambao imepita hata miaka kumi tangu wanunue maeneo lakini bado hawajabadili jina kuingia jina lake. Zipo sababu nyingi zinazosababisha hali hiyo lakini moja ni watu kutokujua umuhimu wa kubadili jina kwa haraka.
Hapa sizungumzii tu kubadili jina isipokuwa nazungumzia kubadili jina kwa haraka. Kupitia makala haya napenda kuwaamsha...