Unataka kuishi kwa amani na furaha? Haya yanakuhusu!
Kuna watu huko mtaani hawajui mtaji wa kuishi maisha ya furaha. Wapo wanaodhani ukishakuwa na fedha basi maisha umeyapatia.
Tambua kwamba, wapo watu wana pesa nyingi, wameoa wake wazuri, wana uwezo wa kufanya kila wanalotaka lakini bado maisha yao hayana amani, kwa nini? Kwa sababu hawajui nguzo za kujijengea maisha ya furaha na amani.
Wiki hii nimeona nikupe mambo 10 ambayo kama utayatimiza, utaishi maisha mazuri hapa duniani na pia maisha mazuri baada ya kifo (kwa wale tunaoamini kwamba...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili05 Aug
Je unataka kuishi maisha marefu duniani ?
9 years ago
Michuzi18 Oct
PINDA: NAMALIZA UONGOZI KWA AMANI, FURAHA
WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amesema anamshukuru Mungu kwa kumuwezesha kumaliza salama utumishi wake Serikalini kwenye ngazi za juu ambao umedumu kwa takriban miaka 15.
Akizungumza na waumini wa Kanisa Katoliki wakati wa Ibada ya Jumapili katika Parokia ya Mt. Anna iliyoko Hananasifu, Kinondoni leo mchana (Jumapili, Oktoba 18, 2015), Waziri Mkuu Pinda amesema anamshukuru Mungu kwa nafasi aliyopewa ya...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/RnVdzGQ*fcKpEu76Aegtjq2b29AimP7uVPcIS81BZa00lMZprsTjtaRtgAulxeBlnWHGAjGCaxJSKbbe9yFheFLy6aCCRmNO/lv.jpg?width=650)
UNATAKA KUISHI KIMAPENZI? CHUKUA MUONGOZO HUU!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wxWEJX1q6dYjajCWodmiJbsq7eeXmqiyRikmqenCK3JIEJHgmBb6HUxST05ZnjczVdNqFvYCEeXdJ08amRGc7d-VADsOKcG5/lv.jpg?width=650)
UNATAKA KUISHI KIMAPENZI? CHUKUA MUONGOZO HUU!- 2
9 years ago
Bongo Movies21 Oct
Je Unataka kwenda kuishi kufanya kazi Marekani? Nafasi ni Yako
Hauitajika kulipa hata senti tano ni buree! Jaribu bahati yako, muda uliobakia ni mchache sana. Mwisho wa kutuma maombi ni November 3, 2015.
Kila mwaka Serikali ya Marekani kupitia Ubalozi wa Marekani imekuwa ikitoa nafasi ya kutuma maombi ya watu kwenda kuishi Marekani kupitia mpango ujulikano kama “Diversity Visa program (DV-2017)”. Ni kama vile bahati nasibu na hapa hautakiwi kutoa au kulipa chochote zaidi ya kuwa na picha yako ya digitali na kujaza maelezo machache kupitia mtandao wao...
10 years ago
Mwananchi16 Oct
Unataka kununua ardhi? Zingatia haya
10 years ago
Michuzi05 Jan
MAKALA YA SHERIA: UNATAKA NYUMBA/KIWANJA, HAKIKISHA HAYA KISHERIA USITAPELIWE
Kwa muda mrefu sasa kumekuwepo na migogoro ya mashamba, viwanja na nyumba hasa maeneo ya mijini. Kwa utafiti wa kawaida utagundua kwa haraka baadhi ya sababu ambazo husababisha hali hii.Uaminifu, tamaa, kutelekeza maeneo kwa muda mrefu, utendaji mbovu wa baadhi ya watumishi katika mamlaka za ardhi, uzembe na kutojali ni baadhi ya sababu ambazo huchangia kuwapo na kukua kwa tatizo hili.
Baada ya kuwapo tatizo hili wajibu mkubwa umebaki kwa watu wenyewe kuwa makini na...
9 years ago
Mwananchi27 Dec
SAIKOLOJIA : Kukosa amani ya akili huweza kufanya maisha yasiwe ya furaha