Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


PINDA: NAMALIZA UONGOZI KWA AMANI, FURAHA

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI*Asihi viongozi, watumishi wa umma wasiache kumuomba Mungu
WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amesema anamshukuru Mungu kwa kumuwezesha kumaliza salama utumishi wake Serikalini kwenye ngazi za juu ambao umedumu kwa takriban miaka 15.
Akizungumza na waumini wa Kanisa Katoliki wakati wa Ibada ya Jumapili katika Parokia ya Mt. Anna iliyoko Hananasifu, Kinondoni leo mchana (Jumapili, Oktoba 18, 2015), Waziri Mkuu Pinda amesema anamshukuru Mungu kwa nafasi aliyopewa ya...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Pinda: Namaliza utumishi wangu salama

PM-PINDANA MWANDISHI WETU

WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda, amesema anamshukuru Mungu kwa kumwezesha kumaliza salama utumishi wake serikalini.

Akizungumza na waumini wa Kanisa Katoliki wakati wa Ibada ya Jumapili katika Parokia ya Mt. Anna iliyoko Hananasifu, Kinondoni Dar es Salaam jana, Waziri Mkuu Pinda alisema anamshukuru Mungu kwa kuwa amelitumikia Taifa kwa miaka 15 akiwa katika nafasi za juu serikalini.

“Namshukuru Mungu kwa kuniwezesha kulitumikia Taifa nikiwa Waziri Mkuu kwa miaka minane na miezi...

 

9 years ago

Global Publishers

Unataka kuishi kwa amani na furaha? Haya yanakuhusu!

Kuna watu huko mtaani hawajui mtaji wa kuishi maisha ya furaha. Wapo wanaodhani ukishakuwa na fedha basi maisha umeyapatia.

Tambua kwamba, wapo watu wana pesa nyingi, wameoa wake wazuri, wana uwezo wa kufanya kila wanalotaka lakini bado maisha yao hayana amani, kwa nini? Kwa sababu hawajui nguzo za kujijengea maisha ya furaha na amani.

Wiki hii nimeona nikupe mambo 10 ambayo kama utayatimiza, utaishi maisha mazuri hapa duniani na pia maisha mazuri baada ya kifo (kwa wale tunaoamini kwamba...

 

11 years ago

Habarileo

Pinda akemea uongozi kwa fedha

MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mizengo Pinda ameungana na uongozi wa juu wa chama hicho kukemea matumizi ya fedha katika kusaka uongozi.

 

11 years ago

Habarileo

Pinda: Kataeni wanaotaka uongozi kwa kutoa rushwa

Waziri Mkuu, Mizengo PindaWAZIRI Mkuu Mizengo Pinda, ameonya Watanzania kuwa makini na watu wanaotumia rushwa, ili kupata nafasi za uongozi na hasa kwenye Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba, 2015.

 

9 years ago

Mwananchi

SAIKOLOJIA : Kukosa amani ya akili huweza kufanya maisha yasiwe ya furaha

   Nilipowaza kuandika makala hii nilikuwa na wasiwasi kama wasomaji wangu wataelewa maana ya amani ya akili ni kitu gani hasa, kwa kuwa wamezoea kulitumia neno amani kuhusu jamii au taifa. Tumezoea kusikia watu wakisema nchi yetu ni ya amani.

 

9 years ago

StarTV

Uongozi mkoa wa Shinyanga, wadau wakutana kujadili suala la amani.

Uongozi wa mkoa wa Shinyanga umekutana na wadau mbalimbali pamoja na kamati ya ulinzi na usalama mkoa kujadili ushirikiano wa kudumisha amani katika kipindi hiki cha uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika jumapili hii Oktoba 25.

Ajenda kuu ya kikao hiki ni ulinzi na usalama katika kipindi cha uchaguzi mkuu hususani ulinzi wa mtoto.

Kamati ya ulinzi na usalama chini ya mkuu wa mkoa kwa kushirikiana na shirika la kutetea haki za watoto la Save the children imeandaa kikao maalum kwa lengo la...

 

10 years ago

Dewji Blog

Pinda akutana na uongozi wa kampuni ya China Merchant Group

PG4A7353

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akimwonyesha Mwenyekiti wa Kampuni ya China Merchants, Group, Bw. Li Xiaopeng jarida linaloonyesha fursa za uwekezaji nchi lililotolewa na Kituo cha Uwekezaji Tanzania katika mazungumzo yao yaliyofanyika Ofisini kwa Wazri Mkuu jijini Dar es salaam Machi  2015. Kampuni hiyo Inatarajiwa kuanza ujenzi wa bandari ya Bagamoyo hivi karibuni. (Picha bna Ofisi ya Waziri Mkuu).

PG4A7297

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Rais wa Burundi Pierr Nkurunzinza katika chakula cha...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Pinda: Amani si Meya Bukoba

WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda amefuta ndoto za aliyekuwa Meya wa Manispaa ya Bukoba, Dk. Anatory Amani akisema kuwa, Serikali inatambua kuwa alijiuzulu tangu Januari mwaka huu, ilipowasilishwa ripoti ya Mdhibiti...

 

9 years ago

Michuzi

Kukamilika kwa daraja la Mbweni JKT ni furaha kwa wananchi

Daraja lililokuwa linawasumbua mno wakazi na wananchi wa Mbweni JKT, sasa linaelekea mwishoni, hali iliyoanza kuwafurahisha wananchi hao waliokuwa wakisumbuka kuvuka eneo hilo lililokuwa linajaa maji mara kwa mara yanayotoka baharini.

Katika pita pita ya mitandaoni, tuliona picha hizi ambazo tayari zimeshapokewa kwa shangwe kutokana na wananchi hao kuanza kulitumia. Ikumbukwe kwamba kutokuwapo kwa daraja hili kulileta usumbufu mkubwa kwa wananchi. Kabla ya uwapo wa daraja hili, magari...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani