Uongozi mkoa wa Shinyanga, wadau wakutana kujadili suala la amani.
Uongozi wa mkoa wa Shinyanga umekutana na wadau mbalimbali pamoja na kamati ya ulinzi na usalama mkoa kujadili ushirikiano wa kudumisha amani katika kipindi hiki cha uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika jumapili hii Oktoba 25.
Ajenda kuu ya kikao hiki ni ulinzi na usalama katika kipindi cha uchaguzi mkuu hususani ulinzi wa mtoto.
Kamati ya ulinzi na usalama chini ya mkuu wa mkoa kwa kushirikiana na shirika la kutetea haki za watoto la Save the children imeandaa kikao maalum kwa lengo la...
StarTV
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziWADAU WA AMANI MKOA WA SHINYANGA WAKUTANA KUJADILI JINSI YA KUDUMISHA AMANI KIPINDI CHA UCHAGUZI
Mambo kadha wa kadha yamejadiliwa ikiwemo kuhakikisha ulinzi na usalama wa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-TwJ7N0njOcE/VX3bvGNRceI/AAAAAAAHfX0/-EjfuASaM4g/s72-c/unnamed%2B%252850%2529.jpg)
Wanazuoni wakutana kujadili suala la 'Msimamo Mkali katika Dini' Maana, Matukio, Sababu na Suluhisho
![](http://1.bp.blogspot.com/-TwJ7N0njOcE/VX3bvGNRceI/AAAAAAAHfX0/-EjfuASaM4g/s640/unnamed%2B%252850%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-daHPZ3PhZU4/VaUmR0OYOVI/AAAAAAAC8iA/T57lcJ6fZyw/s72-c/DSC_0998.jpg)
WADAU WAKUTANA KUJADILI MIKAKATI YA OFISI YA CAG
![](http://3.bp.blogspot.com/-daHPZ3PhZU4/VaUmR0OYOVI/AAAAAAAC8iA/T57lcJ6fZyw/s640/DSC_0998.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-iLMIa5XtLeg/VaUnNc43FqI/AAAAAAAC8iM/UfLajgD_Nn4/s640/DSC_0002.jpg)
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/DSC_0005.jpg)
WADAU WAKUTANA KUJADILI RIPOTI YA MABADILIKO YA TABIANCHI
Mwenyekiti wa bodi ya Forum CC, Euster Kibona akifungua semina ya kujadili ripoti ya matumizi ya fedha za misaada hasa kwenye mabadiliko ya tabianchi iliyofanyika leo  jijini Dar  Mratibu wa Forum CC, Rebecca Muna akitoa maelezo kuhusu Forum CC kwenye semina na wadau wa mazingira waliofika kujadili changamoto za bajeti ya mabadiliko ya tabianchi ambayo imewashirikisha baadhi ya wadau wa mazingira...
9 years ago
VijimamboWADAU WAKUTANA KUJADILI RIPOTI YA FEDHA ZA MISAADA YA MABADILIKO YA TABIANCHI
11 years ago
MichuziWADAU WA AFYA WAKUTANA MOSHI KUJADILI SARATANI YA SHINGO YA KIZAZI
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-gijckUCkeZE/U_8EJYgAHhI/AAAAAAAGKMw/AdNDJ35v-MA/s72-c/unnamed%2B(22).jpg)
Viongozi wa vyama vya Siasa wakutana kujadili ushiriki wa makundi maalum katika uongozi
Tanzania Center for Democracy (TCD) iliwakutanisha viongozi wa vyama vya Siasa wanachama wa TCD ili kupokea taarifa ya Utafiti wa ushiriki wa makundi maalum katika nafasi za uongozi wa nchi, makundi yaliyojadiliwa ni Wanawake, Vijana na Walemavu ... Mapendekezo na maazimio ya mkutano huo yanafanyiwa kazi na TCD na baadae yatapelewa kwenye vyama kwa ajili ya kutumia Matokeo ya Utafiti huo ili kuongeza ushiriki wa makundi hayo katika uongozi ndani ya vyama na Taifa kwa ujumla!
Kutoka kushoto ni...
![](http://2.bp.blogspot.com/-gijckUCkeZE/U_8EJYgAHhI/AAAAAAAGKMw/AdNDJ35v-MA/s1600/unnamed%2B(22).jpg)
9 years ago
MichuziWadau wakutana Dar kujadili Mkataba Mpya wa Mabadiliko ya Tabianchi ‘Paris Agreement’
Ikiwa ni siku chache baada ya kumalizika kwa Mkutano wa Mabadiliko ya Tabianchi wa Nchi Wanachama COP21 uliokuwa ukifanyika Paris, Ufaransa, ambao ulimalizika kwa kupitisha mkataba mpya wa mabadiliko ya tabianchi (Paris Agreement), wadau mbalimbali wamekutana kujadili matokeo ya mkutano huo.
Mkutano huo wa wadau umeandaliwa na ForumCC kwa kushirikiana na Rosa Luxemburg Stiftung (RLS) kwa lengo la kuangalia mazidi na mapungufu ya mkataba huo ambao umeweka historia mpya ya kuelekea juhudi za...
Mkutano huo wa wadau umeandaliwa na ForumCC kwa kushirikiana na Rosa Luxemburg Stiftung (RLS) kwa lengo la kuangalia mazidi na mapungufu ya mkataba huo ambao umeweka historia mpya ya kuelekea juhudi za...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-TrJPtFXusHo/Xn0PMs7QJAI/AAAAAAALlQQ/xUpa4yi6yRshKNc2Mm9FA88wsWkfINj9gCLcBGAsYHQ/s72-c/101425d5-6950-4eb6-85e1-64a1c06a1dce.jpg)
UONGOZI WA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII WAKUTANA NA BARAZA LA WAFUGAJI NGORONGORO KUJADILI FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELEO.
Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Hamisi Kigwangalla, leo amekutana na viongozi wa Wilaya ya Ngorongoro, Viongozi wa Baraza la Wafugaji Ngorongoro na Uongozi wa Mamlaka ya Hifadhi ya Eneo la Ngorongoro, kujadili utaratibu wa usimamizi wa fedha zinazotolewa na Mamlaka ya Hifadhi ya Eneo la Ngorongoro kwa ajili ya Baraza la Wafugajji na miradi inayotekelezwa katika Tarafa ya Ngorongoro .
Fedha hizo sasa zitapelekwa kwenye Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro kutekeleza shughuli zilezile...
Fedha hizo sasa zitapelekwa kwenye Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro kutekeleza shughuli zilezile...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania