SAIKOLOJIA : Kukosa amani ya akili huweza kufanya maisha yasiwe ya furaha
  Nilipowaza kuandika makala hii nilikuwa na wasiwasi kama wasomaji wangu wataelewa maana ya amani ya akili ni kitu gani hasa, kwa kuwa wamezoea kulitumia neno amani kuhusu jamii au taifa. Tumezoea kusikia watu wakisema nchi yetu ni ya amani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi06 Dec
SAIKOLOJIA : Je, unajua maana ya akili?
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OQUYcE3T7kaGoJZ5tF1LrWrqJVPIOYFAS-W-Nds41mcdxhIEB37aipget3i5yUAYVVAP-f-rIigeo53nwXObQK2hUwATA*Ne/MichelleObama7.jpg?width=650)
MICHELLE OBAMA AONEKANA KUKOSA USO WA FURAHA SAUDIA
9 years ago
Bongo511 Nov
Mitandao kijamii ni sababu ya watu kukosa furaha — Utafiti
![Mid adult woman sitting on the bed and suffering from a headache](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/black-women-300x194.jpg)
Facebook au Instagram inaweza kutufanya tuwe wapweke au wenye hasira kwasababu hujikuta tukijifananisha na watu wengine wanaonekana kuwa na maisha bora, utafiti mpya umebaini.
Mitandao hiyo inadaiwa kuwapa watumiaji mtazamo usio sahihi kuwa watu wengine wana furaha zaidi kuliko wao, watafiti wamesema.
Utafiti huo ulifanywa na taasisi ya utafiti wa furaha ya Denmark na kuhusisha watu 1,095. Walifanya utafiti huo kwa kuwaambia nusu yao kutotumia Facebook kwa wiki na nusu nyingine kuendelea...
9 years ago
Mwananchi06 Sep
SAIKOLOJIA : Je, una malengo katika maisha?
9 years ago
Mwananchi22 Nov
SAIKOLOJIA: Unaweza kufanya watu wakuthamini?
10 years ago
Mwananchi02 Aug
SAIKOLOJIA : Jinsi ya kutumia propaganda katika maisha yako
9 years ago
Mwananchi04 Oct
SAIKOLOJIA : maamuzi na vitendo vyao vinaweza kukufanyia maajabu katika maisha
9 years ago
Michuzi18 Oct
PINDA: NAMALIZA UONGOZI KWA AMANI, FURAHA
WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amesema anamshukuru Mungu kwa kumuwezesha kumaliza salama utumishi wake Serikalini kwenye ngazi za juu ambao umedumu kwa takriban miaka 15.
Akizungumza na waumini wa Kanisa Katoliki wakati wa Ibada ya Jumapili katika Parokia ya Mt. Anna iliyoko Hananasifu, Kinondoni leo mchana (Jumapili, Oktoba 18, 2015), Waziri Mkuu Pinda amesema anamshukuru Mungu kwa nafasi aliyopewa ya...
10 years ago
Mwananchi17 Jul
Eid el Fitr ni siku ya furaha, kufanya ibada