Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SAIKOLOJIA : Kukosa amani ya akili huweza kufanya maisha yasiwe ya furaha

   Nilipowaza kuandika makala hii nilikuwa na wasiwasi kama wasomaji wangu wataelewa maana ya amani ya akili ni kitu gani hasa, kwa kuwa wamezoea kulitumia neno amani kuhusu jamii au taifa. Tumezoea kusikia watu wakisema nchi yetu ni ya amani.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

SAIKOLOJIA : Je, unajua maana ya akili?

Siku moja niliwakuta walimu watatu wakibishana kuhusu uwezo wa wanafunzi wao. Mmoja alisema John ana akili zaidi kuliko Ali.

 

10 years ago

GPL

MICHELLE OBAMA AONEKANA KUKOSA USO WA FURAHA SAUDIA

Michelle Obama (wa pili kushoto) anaonekana hana raha wakati akiwa Saudi Arabia na mumewe, Rais Obama, wakati walipokwenda kuomboleza msiba wa Mfalme Abdullah. Michelle akiwa na sura iliyokosa uchangamfu na tabasamu.…

 

9 years ago

Bongo5

Mitandao kijamii ni sababu ya watu kukosa furaha — Utafiti

Mid adult woman sitting on the bed and suffering from a headache

Facebook au Instagram inaweza kutufanya tuwe wapweke au wenye hasira kwasababu hujikuta tukijifananisha na watu wengine wanaonekana kuwa na maisha bora, utafiti mpya umebaini.

Mid adult woman sitting on the bed and suffering from a headache

Mitandao hiyo inadaiwa kuwapa watumiaji mtazamo usio sahihi kuwa watu wengine wana furaha zaidi kuliko wao, watafiti wamesema.

Utafiti huo ulifanywa na taasisi ya utafiti wa furaha ya Denmark na kuhusisha watu 1,095. Walifanya utafiti huo kwa kuwaambia nusu yao kutotumia Facebook kwa wiki na nusu nyingine kuendelea...

 

9 years ago

Mwananchi

SAIKOLOJIA : Je, una malengo katika maisha?

Je, leo unapofikiria maisha yako yaliyopita, unafurahi na kuridhika kuwa uliyaendesha vizuri au hauridhiki? Watu wengi husikitika hadi wakasema kama wengebahatika kupata nafasi kurudia maisha, wasingeishi kama walivyo sasa.

 

9 years ago

Mwananchi

SAIKOLOJIA: Unaweza kufanya watu wakuthamini?

Je unathaminiwa na watu katika jamii? Kama unathaminiwa ni mambo gani yanayokufanya uone kuwa unathaminiwa na kuhisi hivyo?

 

10 years ago

Mwananchi

SAIKOLOJIA : Jinsi ya kutumia propaganda katika maisha yako

Mmoja wa wasomaji wangu aliyesoma makala yangu niliyoitoa Septemba 2014 niliyoiita “Propaganda za Wafanyabiashara” ameniomba nieleze zaidi kuhusu propaganda. Hususan, nieleze kama propaganda hutumika katika biashara tu au hata katika shughuli nyingine na kama propaganda ni kitu kizuri au kibaya.

 

9 years ago

Mwananchi

SAIKOLOJIA : maamuzi na vitendo vyao vinaweza kukufanyia maajabu katika maisha

Je, kadri unavyokumbuka kuna jambo lolote ambalo uliamini ukilitenda lingeweza kukuletea maendeleo makubwa katika maisha yako, lakini hukulitenda na hujalitenda hadi leo? Kama wewe hujawahi kukabiliwa na tatizo kama hili, basi wewe ni mtu mwenye bahati katika maisha.

 

9 years ago

Michuzi

PINDA: NAMALIZA UONGOZI KWA AMANI, FURAHA

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI*Asihi viongozi, watumishi wa umma wasiache kumuomba Mungu
WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amesema anamshukuru Mungu kwa kumuwezesha kumaliza salama utumishi wake Serikalini kwenye ngazi za juu ambao umedumu kwa takriban miaka 15.
Akizungumza na waumini wa Kanisa Katoliki wakati wa Ibada ya Jumapili katika Parokia ya Mt. Anna iliyoko Hananasifu, Kinondoni leo mchana (Jumapili, Oktoba 18, 2015), Waziri Mkuu Pinda amesema anamshukuru Mungu kwa nafasi aliyopewa ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Eid el Fitr ni siku ya furaha, kufanya ibada

>Waislam dunia nzima wamekamilisha ibada muhimu ya kufunga Mwezi Mtukufu wa Ramadhan. Furaha zimetawala kila kona, si kwa sababu sasa wameachiwa huru bali kwa sababu wamefaulu kutekeleza amri ya kufunga.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani