Mitandao kijamii ni sababu ya watu kukosa furaha — Utafiti
Facebook au Instagram inaweza kutufanya tuwe wapweke au wenye hasira kwasababu hujikuta tukijifananisha na watu wengine wanaonekana kuwa na maisha bora, utafiti mpya umebaini.
Mitandao hiyo inadaiwa kuwapa watumiaji mtazamo usio sahihi kuwa watu wengine wana furaha zaidi kuliko wao, watafiti wamesema.
Utafiti huo ulifanywa na taasisi ya utafiti wa furaha ya Denmark na kuhusisha watu 1,095. Walifanya utafiti huo kwa kuwaambia nusu yao kutotumia Facebook kwa wiki na nusu nyingine kuendelea...
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLMICHELLE OBAMA AONEKANA KUKOSA USO WA FURAHA SAUDIA
9 years ago
Mwananchi27 Dec
SAIKOLOJIA : Kukosa amani ya akili huweza kufanya maisha yasiwe ya furaha
9 years ago
Mwananchi19 Sep
Kampeni zatawala mitandao ya kijamii
10 years ago
Habarileo05 Apr
Mitandao ya kijamii wapewa somo
WATUMIAJI wa mitandao ya kijamii nchini wametakiwa kujiandaa kutumia sheria mpya ya mawasiliano iliyopitishwa bungeni hivi karibuni.
11 years ago
Mwananchi20 Jun
Mitandao ya kijamii sasa kudhibitiwa
9 years ago
Mwananchi03 Jan
Mpinga ajivunia mitandao ya kijamii
11 years ago
BBCSwahili06 Aug
Gumzo kwenye mitandao ya kijamii
11 years ago
Tanzania Daima23 Jan
OMIS yaanzisha tuzo za mitandao ya kijamii
KAMPUNI ya ‘Opt Media Information Solutions (OMIS),’ kwa kushirikiana na wadau mbalimbali imeanzisha tuzo za mitandao ya kijamii inayofanya vizuri nchini. Akizungumza na Tanzania Daima jana, Meneja Mkuu wa kampuni...
10 years ago
Tanzania Daima09 Sep
TRCA: Msitumie vibaya mitandao ya kijamii
WATANZANIA wamehimizwa kuacha matumizi mabaya ya mitandao ya jamii ikiwemo kuweka picha za utupu, kusababisha ugomvi, kuwahimiza wengine kwa mambo yasiyo ya kweli, kupotosha jamii na kuvuruga maendeleo. Akizungumza, Meneja...