Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SAIKOLOJIA: Unaweza kufanya watu wakuthamini?

Je unathaminiwa na watu katika jamii? Kama unathaminiwa ni mambo gani yanayokufanya uone kuwa unathaminiwa na kuhisi hivyo?

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

SAIKOLOJIA : Je, unaweza kuepuka jazba katika ndoa?

Siku moja nilishuhudia tukio la kushangaza kwenye kituo cha daladala. Daladala moja ilisimama kituoni. Mara nikamuona mwanaume mmoja akitoka haraka kwenye daladala hiyo. Nyuma yake akatokea mwanamke aliyekuwa na hasira.

 

9 years ago

Mwananchi

SAIKOLOJIA : Kukosa amani ya akili huweza kufanya maisha yasiwe ya furaha

   Nilipowaza kuandika makala hii nilikuwa na wasiwasi kama wasomaji wangu wataelewa maana ya amani ya akili ni kitu gani hasa, kwa kuwa wamezoea kulitumia neno amani kuhusu jamii au taifa. Tumezoea kusikia watu wakisema nchi yetu ni ya amani.

 

9 years ago

Mwananchi

SAIKOLOJIA : Namna ya kujenga mawazo kuhusu watu wengine walivyo

Siku moja niliamua kwenda katika kijiji fulani ili kumtembelea rafiki yangu. Kwa kuwa ilikuwa siku ya Jumapili na sikutoa taarifa nilimkuta akiwa kwenye mkutano wa kijiji. Wala hukuweza kuja kunilaki kwa kuwa yeye alikuwa mwenyekiti wa kikao. Hivyo aliniashiria niketi kwenye kiti kilichokuwa wazi nyuma ya ukumbi.

 

9 years ago

Mwananchi

SAIKOLOJIA : Je, unao uwezo wa kushawishi watu wengine waafikiane na mawazo yako?

Nilipofikiria kuandika makala kuhusu uwezo wa kushawishi watu wengine wakubaliane na mawazo yetu niliingiwa na shaka kuwa huenda baadhi ya watu wasione umuhimu wa mtu kuwa na stadi kama hizo. Iwapo wewe ni miongoni mwa watu wenye fikra hizi, jiulize kama unaweza kuishi bila kuongea na watu, Je huwa haitokei ukamweleza mtu au watu mawazo ambayo ungependelea wayaelewe na kuafikiana na wewe.

 

9 years ago

Mwananchi

SAIKOLOJIA : Je, unajua namna ya kujenga mawazo sahihi kuhusu watu wengine walivyo?

Siku moja niliamua kwenda katika kijiji fulani ili kumtembelea rafiki yangu. Kwa kuwa ilikuwa siku ya Jumapili na sikutoa taarifa nilimkuta akiwa kwenye mkutano wa kijiji. Wala hukuweza kuja kunilaki kwa kuwa yeye alikuwa mwenyekiti wa kikao. Hivyo aliniashiria niketi kwenye kiti kilichokuwa wazi nyuma ya ukumbi.

 

9 years ago

Bongo5

Una kipaji cha kuimba? Unaweza kushinda zawadi kibao kutoka #TecnoOwnTheStage kwa kufanya hivi

12356592_764354003692580_994120953_n

Je una kipaji cha kuimba? Unahisi unaweza kuwafunika washiriki wa shindano la Tecno Own The Stage?

Basi una nafasi ya kushinda zawadi kibao kutoka Tecno.

Unachotakiwa kufanya ni kuupload video ya sekunde 15 ya wimbo alioimba mshiriki yeyote na kuipost kwenye ukurasa wa Facebook wa TECNO Own The Stage.

Video yako ikipata likes nyingi utashinda zawadi kila wiki.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose...

 

11 years ago

Habarileo

Sensa ya watu wenye uwezo wa kufanya kazi yaja

WANANCHi wa Mkoa wa Kusini Pemba wametakiwa kujitokeza kwa wingi kushiriki katika sensa ya kujua idadi ya watu wenye uwezo wa kufanya kazi nchini.

 

5 years ago

CCM Blog

CORONA: WATU WENGI WAKO MAJUMBANINA KUFANYA MTIKISIKO WA ARDHINI KUPUNGUA

Empty streets in ParisHaki miliki ya pichaGETTYImage captionMiji kote duniani haina watu kwasababu ya amri ya kusalia ndani kukabiliana na virusi vya coronaMabilioni ya watu kote duniani kwasasa wanasalia nyumbani kwasababu ya virusi vya Corona - jambo ambalo linabadilisha mwenendo wa dunia.Kwasababu ya amri ya kutotoka nje wanaokwenda kazini ama kutumia usafiri wa reli au wa barabara ni kidogo mno huku kampuni nyingi zikiwa zimefungwa.Ukweli ni kwamba, idadi kubwa ya watu wanafanyakazi kidogo tu kuliko vile...

 

11 years ago

Bongo5

Chege: Nitaendelea kufanya video na directors wa Bongo mpaka watu waelewe

Msanii wa muziki kutoka TMK, Chege Chingunda amesema ataendelea kufanya video na waongozaji wa ndani pamoja na watanzania kushindwa kuthamini video za wasanii zinazotengenezwa na waongozaji hao wa nyumbani. Chege ameiambia Bongo5 kuwa hata Nigeria ambao wanaonekana wapo juu barani Africa, walianza kujulikana ndani ya nchi yao baada ya wananchi wao kuwasupport ndipo walipopata fursa […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani