SAIKOLOJIA : Je, unaweza kuepuka jazba katika ndoa?
Siku moja nilishuhudia tukio la kushangaza kwenye kituo cha daladala. Daladala moja ilisimama kituoni. Mara nikamuona mwanaume mmoja akitoka haraka kwenye daladala hiyo. Nyuma yake akatokea mwanamke aliyekuwa na hasira.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi23 Feb
Je unatambua jinsi ya kuepuka mifarakano katika ndoa?(2)
Wiki iliyopita tuliona sehemu ya kwanza ya maelezo haya, leo tunaendelea.
11 years ago
Mwananchi16 Feb
Je unatambua jinsi ya kuepuka mifarakano katika ndoa?(1)
Je, kuna dalili zozote zinazoashiria kutokea mfarakano katika ndoa yako? Kama hakuna, unafanya nini kudumisha maelewano mema baina yako na mwenzako. Kama kuna dalili za mfarakano, unafanya nini kuinusuru ndoa yako? Kwa hakika hakuna jibu rahisi la swali hili.
9 years ago
Mwananchi22 Nov
SAIKOLOJIA: Unaweza kufanya watu wakuthamini?
Je unathaminiwa na watu katika jamii? Kama unathaminiwa ni mambo gani yanayokufanya uone kuwa unathaminiwa na kuhisi hivyo?
11 years ago
Mwananchi24 Jan
SAIKOLOJIA&UTAFITI: Tatizo la wanaume dhaifu linavyohatarisha ndoa
>Ni vigumu kufahamu haya, lakini ndio ukweli kuwa kuna kasi ya kuongezeka kwa wanaume dhaifu nchini na ulimwengu kwa ujumla.
11 years ago
Mwananchi19 Mar
Jazba iepukwe katika kujadili Rasimu ya Katiba
>Hatimaye Rasimu ya Pili ya Katiba iliwasilishwa bungeni jana baada ya kutokea sintofahamu juzi na kusababisha kusitishwa kwa kikao cha Bunge Maalumu la Katiba pasipo Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba kuiwasilisha bungeni kama ilivyokuwa imepangwa.
5 years ago
BBCSwahili12 Apr
Virusi vya Corona: Maharusi wafunga ndoa mtandaoni kuepuka maambukizi
Maharusi Zoe Davies na Tom Jackson ni baadhi ya wanandoa ambao harusi zao hazikufanyika kufuatia janga la corona
9 years ago
Mwananchi06 Sep
SAIKOLOJIA : Je, una malengo katika maisha?
Je, leo unapofikiria maisha yako yaliyopita, unafurahi na kuridhika kuwa uliyaendesha vizuri au hauridhiki? Watu wengi husikitika hadi wakasema kama wengebahatika kupata nafasi kurudia maisha, wasingeishi kama walivyo sasa.
9 years ago
Mwananchi23 Aug
SAIKOLOJIA : Je, wewe huwa unajumuika katika vikundi?
Je, kuna kikundi au vikundi ambavyo wewe ni mmoja wapo wa washiriki wake? Kama jibu lako ni ndiyo hebu jiulize sababu iliyokufanya ujiunge na kikundi au vikundi hivyo.
10 years ago
Mwananchi02 Aug
SAIKOLOJIA : Jinsi ya kutumia propaganda katika maisha yako
Mmoja wa wasomaji wangu aliyesoma makala yangu niliyoitoa Septemba 2014 niliyoiita “Propaganda za Wafanyabiashara†ameniomba nieleze zaidi kuhusu propaganda. Hususan, nieleze kama propaganda hutumika katika biashara tu au hata katika shughuli nyingine na kama propaganda ni kitu kizuri au kibaya.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania