Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SAIKOLOJIA : Je, wewe huwa unajumuika katika vikundi?

Je, kuna kikundi au vikundi ambavyo wewe ni mmoja wapo wa washiriki wake? Kama jibu lako ni ndiyo hebu jiulize sababu iliyokufanya ujiunge na kikundi au vikundi hivyo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

SAIKOLOJIA : Je, una malengo katika maisha?

Je, leo unapofikiria maisha yako yaliyopita, unafurahi na kuridhika kuwa uliyaendesha vizuri au hauridhiki? Watu wengi husikitika hadi wakasema kama wengebahatika kupata nafasi kurudia maisha, wasingeishi kama walivyo sasa.

 

9 years ago

Mwananchi

SAIKOLOJIA : Je, unaweza kuepuka jazba katika ndoa?

Siku moja nilishuhudia tukio la kushangaza kwenye kituo cha daladala. Daladala moja ilisimama kituoni. Mara nikamuona mwanaume mmoja akitoka haraka kwenye daladala hiyo. Nyuma yake akatokea mwanamke aliyekuwa na hasira.

 

10 years ago

Mwananchi

SAIKOLOJIA : Jinsi ya kutumia propaganda katika maisha yako

Mmoja wa wasomaji wangu aliyesoma makala yangu niliyoitoa Septemba 2014 niliyoiita “Propaganda za Wafanyabiashara” ameniomba nieleze zaidi kuhusu propaganda. Hususan, nieleze kama propaganda hutumika katika biashara tu au hata katika shughuli nyingine na kama propaganda ni kitu kizuri au kibaya.

 

9 years ago

Mwananchi

SAIKOLOJIA : maamuzi na vitendo vyao vinaweza kukufanyia maajabu katika maisha

Je, kadri unavyokumbuka kuna jambo lolote ambalo uliamini ukilitenda lingeweza kukuletea maendeleo makubwa katika maisha yako, lakini hukulitenda na hujalitenda hadi leo? Kama wewe hujawahi kukabiliwa na tatizo kama hili, basi wewe ni mtu mwenye bahati katika maisha.

 

9 years ago

Michuzi

VIJANA WAOMBA KUUNGWA MKONO KATIKA VIKUNDI WANAVYOUNDA HAPA NCHINI

Mwanzilishi wa kikundi cha Tanzania Talents Organisation, Isaya  Msabila akizungumza na mwandishi wetu leo jijini Dar es Salaam katika eneo wanalofanyia mazoezi kata ya Kwembe jimbo la Kibamba. Kikundi hicho cha sanaa za maigizo na ngoma asilia hapa nchini ambapo wameungana vijana 26 ili kupunguza idadi ya vijana wasio na ajira wameona kujikusanya na kufanya maigizo na ngoma asilia ili kujikwamua kiuchumi.Vijana wa kikundi cha maigizo na ngoma asilia cha Tanzania Talents Organisation wakiwa...

 

10 years ago

Michuzi

NHC LAFANYA UHAKIKI WA VIKUNDI VYA VIJANA KATIKA MKOA WA LINDI NA MTWARA

Uhakiki wa vikundi vya vijana vilivyopewa msaada wa mashine na NHC ili kujiajiri na kusaidia wananchi kupata matofali ya kujengea nyumba bora umeanza katika Mikoa mbalimbali ukianzia na Mkoa wa Lindi na Mtwara. Katika hali isiyotarajiwa Mkoa wa Mtwara ambao kwa muda mrefu umekuwa ukililia kuletewa maendeleo umeshindwa kutumia fursa ya msaada wa mashine kwa vijana waliyopewa na NHC hali iliyolifanya Shirika kutwaa baadhi ya mashine ili zipewe vikundi vingine vinavyofanya vizuri Fuatilia...

 

9 years ago

GPL

HANA WIVU NA WEWE...HAKUFUATILII...MESEJI MPAKA UANZE WEWE... HUYO ANA MALENGO YAKE!

JAMANI pole na siasa. Naona zimepamba moto karibu kila kona ya nchi yetu ya Tanzania. Basi, wenye siasa zao tuwaachie, sisi tuendelee na mambo yetu.Wiki hii nina mada nzuri sana kwa wawili wanaopendana. Ningependa kila mmoja asome kwa umakini na ajue nini cha kufanya baada ya hapo. Mada inasema...hana wivu na wewe...hakufuatilii...meseji mpaka uanze wewe...Huyo ana malengo yake! Mpenzi wa hivi anaweza hata akawa anakulamba miguu...

 

10 years ago

Mwananchi

Sikiliza wasia unaokuhusu wewe na yule katika jamii

>Ni wakati mwingine wa Watanzania mijini na vijijini kuona au kusikiliza mipasho, vijembe, dhihaka na hata kejeli na hotuba zilizojaa maneno ambayo wakati mwingine unajiuliza kama kweli yanatoka kwa watu wazima au la.

 

5 years ago

Michuzi

KALIUA YATOA MKOPO WA MILIONI 345 KWA VIKUNDI 57 KATIKA KUSHEREKEA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI

NA TIGANYA VINCENT

HALMASHAURI ya Wilaya ya Kaliua imekabidhi mkopo wa shilingi milioni 345 kwa vikundi 57 ikiwa ni sehemu ya asilimia 10 ya mapato yake ya ndani katika mwaka wa fedha unaoendelea.

Taarifa hiyo imetolewa leo na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo Dkt. John Pima wakati wa maadhimisho ya siku ya wanawake duniani ambayo kimkoa yalifanyika jana Wilayani humo.

Alisema kati ya fedha hizo vikundi 28 vya wanawake vimepokea milioni 184, vikundi 19 vya vijana vimekopeshwa 133.5 na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani