VIJANA WAOMBA KUUNGWA MKONO KATIKA VIKUNDI WANAVYOUNDA HAPA NCHINI
![](http://4.bp.blogspot.com/-jB6s3VO_Tsk/VoFn2KWqtSI/AAAAAAAIPEI/vFJwCX59xIQ/s72-c/IMG_9567.jpg)
Mwanzilishi wa kikundi cha Tanzania Talents Organisation, Isaya Msabila akizungumza na mwandishi wetu leo jijini Dar es Salaam katika eneo wanalofanyia mazoezi kata ya Kwembe jimbo la Kibamba. Kikundi hicho cha sanaa za maigizo na ngoma asilia hapa nchini ambapo wameungana vijana 26 ili kupunguza idadi ya vijana wasio na ajira wameona kujikusanya na kufanya maigizo na ngoma asilia ili kujikwamua kiuchumi.
Vijana wa kikundi cha maigizo na ngoma asilia cha Tanzania Talents Organisation wakiwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima26 Jul
Kausta waomba kuungwa mkono shule za kata
UMOJA wa wanafunzi wa vyuo vikuu Tanzania kutoka mkoani Kagera (Kausta), umewaomba wadau wa sekta mbalimbali kujitokeza kuwaunga mkono ili waweze kwenda kujitolea katika shule za kata. Ombi hilo lilitolewa...
10 years ago
Tanzania Daima09 Dec
Klabu za Ukimwi zaomba kuungwa mkono
SERIKALI imetakiwa kuvisaidia vikundi mbalimbali vinavyojitolea katika mapambano dhidi ya maambukizi ya virusi vya Ukimwi (VVU), ili viweze kutoa elimu katika jamii dhidi ya ugonjwa huo. Akizungumza jijini Dar es...
11 years ago
Mwananchi18 May
Ukawa wataka kuungwa mkono Katiba Mpya
10 years ago
Michuzi23 Jun
NHC LAFANYA UHAKIKI WA VIKUNDI VYA VIJANA KATIKA MKOA WA LINDI NA MTWARA
9 years ago
Michuzi01 Oct
MCHAKAMCHAKA WA MWIGULU NCHEMBA WATUA SIMANJIRO,KONDOA NA KITETO,CCM YAENDELEA KUUNGWA MKONO KWA KISHINDO
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/GCcvaTolaqIgrW6QBasUokum2FiXVM3tFDLpPFjyqpqpmPWXTYJmoqv_1xzgCeuoN-4mJuJuj5wutefzkUjbuhMyGmak5c_pWVDvW4J-2kYBH-iWZ8eq6Rx1nQXR-rzNnmZP6l0DlmSfd2aGK4YtXc7QeWKbuH53oUjV1UCppA_tKLp_26fO8cfoHLrqnnqRoV4pztN39nOSYbrzIWc0sD1KhfLM0yiCsP5U3XO9qe_nerBE=s0-d-e1-ft#https://scontent-lhr3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xft1/v/t1.0-9/12036905_430927110442856_6921933778456533235_n.jpg?oh=680c0b5019224d69291c98acd21f1707&oe=5690F77A)
![](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/bRuoHVWpKePw3GSE7bIE80rUm-che47mr6XL2BYXpobeUNLpJopxUix8ui-4va4umQhnFg9Dh-07qYyEK_X9G2ZnJDgNRW6q7S0XepuJrSIMwyuU4IdS9V6SRePzWACHbheoD2qEhIbHiUiJWjCCmKfCGdkpJH5juC8xaDl5j9fqJkRZRg6c66pPeqUmUh7hRAjwUc3C7tWvaV3-ACY4l0sEDlCtX9tq8L-SHMC7f5l7uChe=s0-d-e1-ft#https://scontent-lhr3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xpt1/v/t1.0-9/11059903_430927090442858_6669654298054949432_n.jpg?oh=4a5c0f7f536b69af1107c0f3fb9a26c7&oe=56A609E0)
![](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/CTLJ88GQ9AluC1_pidvphHF5KbQepah8mhPXT0-Oar3ExQNixwGJD0wPV9OERTxZ2L9je0T3j7Ea0ouLwG3eZ2sg8OS6YtiRcF7nSrSZqXSBgnjUY0JHp-yMM5Hu9hFnpbOHd7XL9bBxQ2zDuyMoo64nc9krfTQQLiPz3Iyz4cwkkB-ZMO-8gIIA4ClCUMpJYSrPE6XEsD62fVRRg1rUk4IZQMERe0SAOqxEZZwVm98jbgc3=s0-d-e1-ft#https://scontent-lhr3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xtp1/v/t1.0-9/12074830_430927220442845_5827432687429168397_n.jpg?oh=8502241df820530365c813950e7c50f6&oe=56A004C4)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-situcg5PG4c/XvODa1XTiII/AAAAAAALvS0/QKaKdqekTvosbaJjjEBNJZKwC4dwQMc2QCLcBGAsYHQ/s72-c/Picha-no.-1-768x512.jpg)
WANANCHI WATAKIWA KUIUNGA MKONO SERIKALI KWA KUBORESHA HUDUMA ZA MATIBABU YA KIBINGWA HAPA NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-situcg5PG4c/XvODa1XTiII/AAAAAAALvS0/QKaKdqekTvosbaJjjEBNJZKwC4dwQMc2QCLcBGAsYHQ/s640/Picha-no.-1-768x512.jpg)
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Godwin Mollel akiwajulia hali wagonjwa wanaotibiwa katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakati wa ziara yake ya kikazi aliyofanya katika Taasisi hiyo leo jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuangalia huduma za matibu ya moyo zinazotolewa.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/Picha-no.-2-1024x806.jpg)
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Godwin Mollel akimsikiliza Msimamizi wa wodi ya watoto Afisa Muuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI)...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-K9hO7wVjFwk/VcNL4ePXoVI/AAAAAAAHuko/ZynudJvddmA/s72-c/unnamed%2B%252849%2529.jpg)
Vijana nchini watakiwa kujitokeza katika maadhimisho ya Siku ya Vijana Dunia
Vijana watakiwa kujitokeza katika maadhimisho ya Siku ya Vijana Duniani ambayo kitaifa yatafanyika tarehe 12 Agosti jijini Dar es Salaam huku kauli mbiu ya mwaka huu ikiwa ni “Ushiriki wa Vijana katika masuala ya Kiraia”
Wito huo umetolewa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bibi. Sihaba Nkinga alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam.
Bibi Sihaba amesema kuwa maadhimisho hayo yamekuwa yakifanyika kila mwaka...
9 years ago
MichuziAIRTEL FURSA YAENDELEA KUKWAMUA VIJANA HAPA NCHINI: Vijana wa Tanga wanufaika na mafunzo ya ujasiriamali kupitia Airtel Fursa
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-G3UQTFvzaYk/Vea4zckWo6I/AAAAAAAH1vM/-EMd8qHVybg/s72-c/1.jpg)
AIRTEL FURSA YAENDELA KUINUA VIJANA HAPA NCHINI
![](http://3.bp.blogspot.com/-G3UQTFvzaYk/Vea4zckWo6I/AAAAAAAH1vM/-EMd8qHVybg/s640/1.jpg)