Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kausta waomba kuungwa mkono shule za kata

UMOJA wa wanafunzi wa vyuo vikuu Tanzania kutoka mkoani Kagera (Kausta), umewaomba wadau wa sekta mbalimbali kujitokeza kuwaunga mkono ili waweze kwenda kujitolea katika shule za kata. Ombi hilo lilitolewa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

VIJANA WAOMBA KUUNGWA MKONO KATIKA VIKUNDI WANAVYOUNDA HAPA NCHINI

Mwanzilishi wa kikundi cha Tanzania Talents Organisation, Isaya  Msabila akizungumza na mwandishi wetu leo jijini Dar es Salaam katika eneo wanalofanyia mazoezi kata ya Kwembe jimbo la Kibamba. Kikundi hicho cha sanaa za maigizo na ngoma asilia hapa nchini ambapo wameungana vijana 26 ili kupunguza idadi ya vijana wasio na ajira wameona kujikusanya na kufanya maigizo na ngoma asilia ili kujikwamua kiuchumi.Vijana wa kikundi cha maigizo na ngoma asilia cha Tanzania Talents Organisation wakiwa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Klabu za Ukimwi zaomba kuungwa mkono

SERIKALI imetakiwa kuvisaidia vikundi mbalimbali vinavyojitolea katika mapambano dhidi ya maambukizi ya virusi vya Ukimwi (VVU), ili viweze kutoa elimu katika jamii dhidi ya ugonjwa huo. Akizungumza jijini Dar es...

 

11 years ago

Mwananchi

Ukawa wataka kuungwa mkono Katiba Mpya

Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) nje ya Bunge wamewaomba wananchi kuwaunga mkono katika harakati za kudai Katiba Mpya yenye kujali masilahi ya Watanzania wote.

 

9 years ago

Michuzi

MCHAKAMCHAKA WA MWIGULU NCHEMBA WATUA SIMANJIRO,KONDOA NA KITETO,CCM YAENDELEA KUUNGWA MKONO KWA KISHINDO

Mjumbe wa timu ya Ushindi ya Chama cha Mapinduzi Ndg.Mwigulu Nchemba akiwasili Jimbo la Simanjiro na kupokelewa na Mbunge mtarajiwa wa Jimbo hilo Ndg.Ole Sendeka mapema hii leo.Mwigulu Nchemba akimnadi Ole sendeka kwa wananchi wake,Kubwa ni Ujasiri wa Ole sendeka kwenye kutetea maslahi ya taifa,Ufuatiliaji wa Miradi ya maendeleo kama barabara zinazokwenda kujengwa kwa kiwango cha rami kuunganisha na mikoa inayopakana na SImanjiro.Ole Sendeka akizungumza na Wananchi wake wa kata ya Engesbert...

 

9 years ago

Vijimambo

MAGUFULI AENDELEA KUUNGWA MKONO KWA KASI NA WATANZANIA,HII NI SONGEA MJINI HII LEO

Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM Mh.J.P.Magufuli akimnadi Mgombea Ubunge jimbo la Songea Mjini hii leo wakati wa mkutano wa kampeni Uliofanyika Uwanja wa Majimaji -Songea Mjini.Mbali na kuomba kura kwaajili ya Mbunge huto wa CCM,Mh;magufuli pia amewasisitiza Wananchi wa Songea na Mkoa wa Ruvuma kuwa anataka kuunda serikali ya "KAZI TU" ,Hivyo anaomba kura za kutosha kwa Madiwani,Wabunge na za Urais za kutosha ili aweze kuwa na serikali Imara ya Chama cha Mapinduzi itakayofanya kazi kwa niaba...

 

10 years ago

Mtanzania

JK awabeza waliodharau shule za kata

Rais Jakaya KikweteNA RAMADHAN HASSAN, DODOMA

RAIS Jakaya Kikwete amewabeza wale walioziita shule za kata kwa jina la yebo yebo kwa kuwa sasa ndizo zinazofanya vizuri katika ufaulu kwa shule za Serikali.

Kauli hiyo aliitoa mjini hapa jana, wakati akifunga Maadhimisho ya Wiki ya Elimu yaliyofanyika kitaifa mkoani Dodoma.

Alizitolea mfano shule tatu za Mkoa wa Kilimanjaro zilizofanya vizuri katika ufaulu wa mtihani wa kidato cha nne kitaifa.

“Tulikosea wakati tunajenga madarasa, niliwaagiza wajenge madarasa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Watakiwa wasizidharau shule za kata

WITO umetolewa kwa watanzania kuacha kuzibeza shule za sekondari za kata badala yake waziamini na kuziunga mkono hasa kwa kuwa kipindi hiki ambapo shule hizo zinafanya vizuri katika mitihani ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali iboreshe shule za kata

SUALA la elimu hapa nchini linapaswa kutazamwa kiundani ili kuwa na elimu bora nchini. Elimu ipewe kipaumbele kwa kuweka miundombinu rafiki na hatimaye kuwa mkombozi kwa maisha ya Watanzania wote....

 

11 years ago

Habarileo

Kagera wachachamalia maabara shule za kata

WANANCHI mkoani Kagera kwa kushirikiana na uongozi wa wilaya zao wameelezwa kuwa hakuna nchi yoyote duniani inayoweza kupata maendeleo bila kuzalisha wanasayansi, hivyo Serikali ya Mkoa imetoa agizo ifikapo Juni mwaka kesho shule zote za kata ziwe na maabara mbili.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani