Kagera wachachamalia maabara shule za kata
WANANCHI mkoani Kagera kwa kushirikiana na uongozi wa wilaya zao wameelezwa kuwa hakuna nchi yoyote duniani inayoweza kupata maendeleo bila kuzalisha wanasayansi, hivyo Serikali ya Mkoa imetoa agizo ifikapo Juni mwaka kesho shule zote za kata ziwe na maabara mbili.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi07 Nov
Maabara 78 kukamilika shule za kata jijini Dar
10 years ago
Habarileo17 Aug
Koica yaipa shule ya kata vitabu 500, maabara
SHIRIKA la Kimataifa la Kujitolea la Korea (KOICA) limekabidhi vitabu 500 pamoja na maabara ya kufundishia masomo ya sayansi kwa uongozi wa sekondari ya kata ya Msambweni, mradi uliogharimu Dola za Marekani 16,725 (Sh milioni 27).
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-yQKc-iaIG9k/U-tAenNRMLI/AAAAAAACnSI/5vF7j2bXWO4/s72-c/1.jpg)
KIKAO CHA MKAKATI WA UJENZI WA MAABARA ZA SHULE ZA SEKONDARI ZA KUDUMU KATA CHAFANYIKA DAR ES SALAAM
![](http://1.bp.blogspot.com/-yQKc-iaIG9k/U-tAenNRMLI/AAAAAAACnSI/5vF7j2bXWO4/s1600/1.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Vxs7wdjNQwE/VN4KbxTm3gI/AAAAAAAHDjM/NjujbpkOFjs/s72-c/unnamed%2B(34).jpg)
Rais Kikiwete azindua Sera ya Elimu,Afungua maabara Shule ya Sekondari ya kata,Kipawa jijini Dar
![](http://2.bp.blogspot.com/-Vxs7wdjNQwE/VN4KbxTm3gI/AAAAAAAHDjM/NjujbpkOFjs/s1600/unnamed%2B(34).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-eiEybF_-O7A/VN4Kn1pkFOI/AAAAAAAHDjU/UDOlZZo9uJg/s1600/unnamed%2B(32).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Iy654veaghI/VN4KpLireaI/AAAAAAAHDjc/K-NCtVfAN1s/s1600/unnamed%2B(33).jpg)
11 years ago
Habarileo20 May
Shule ya Kilakala yapewa maabara ya kompyuta
BENKI ya Exim Tanzania imekabidhi maabara ya kompyuta kwa Shule ya Msingi Kilakala iliyopo wilayani Temeke, Dar es Salaam, ikiwa ni sehemu ya shughuli zake za kijamii katika kukuza uwezo wa maendeleo miongoni mwa vijana nchini.
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Pxoan8odKh0/Vf-xjOxRQYI/AAAAAAAH6cs/eZ-FnUYcFwU/s72-c/_MG_8365.jpg)
MAGUFULI AHANI MSIBA WA ALIYEKUWA MGOMBEA UDIWANI KATA YA MULEBA MKOANI KAGERA
![](http://2.bp.blogspot.com/-Pxoan8odKh0/Vf-xjOxRQYI/AAAAAAAH6cs/eZ-FnUYcFwU/s640/_MG_8365.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-5lwNq7wTZ14/Vf-xkbveSFI/AAAAAAAH6c0/qyDG2kG2VSM/s640/_MG_8375.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-GJR15TzOjjw/Vf-xeN7RViI/AAAAAAAH6cQ/zdSXrgCPWWg/s640/_MG_8336.jpg)
10 years ago
Habarileo08 Sep
Walimu kuhamishiwa kwenye shule zilizokamilisha maabara
SERIKALI mkoani Singida inakusudia kumwomba Waziri Mkuu Mizengo Pinda ruhusa ya kuhamisha walimu wa sayansi walioko kwenye kata zisizo na maabara na kuwapeleka kwenye kata zilizokamilisha ujenzi wa maabara.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-L7lJvZUDZyc/Xs5GXOw9gZI/AAAAAAALrsk/fT7QjckRzqMpIprG4oYY_3AvV5xDqEuyACLcBGAsYHQ/s72-c/1..jpeg)
RC KAGERA AKABITHI BOTI KWA WATENDAJI KATA, ATOA MAAGIZO MAZITO KUHUSU MATUMIZI.
![](https://1.bp.blogspot.com/-L7lJvZUDZyc/Xs5GXOw9gZI/AAAAAAALrsk/fT7QjckRzqMpIprG4oYY_3AvV5xDqEuyACLcBGAsYHQ/s640/1..jpeg)
Mkuu wa mkoa Kagera Bri.Gen Marco Gaguti aliyeshika ufunguo wenye kamba nyekundu akikabidhi boti kwa watendaji wa kata.
![](https://1.bp.blogspot.com/-0VD9AbMVj5o/Xs5GXZUTtlI/AAAAAAALrso/6suT3X98SH0jeRm5NkJliZ1WpBdCASlcgCLcBGAsYHQ/s640/2..jpeg)
Mkuu wa mkoa Kagera akiwahuitubia wavuvi pamoja na wananchi katika kijiji cha katembe Kata Nyakabango wilayani Muleba wakati wa hafla ya kukabithi Boti.
![](https://1.bp.blogspot.com/-UX3I2C95dPU/Xs5GXfNVdaI/AAAAAAALrss/svcuGEtFTx8_9AGCLEyEHlZg_vCMJ2oFgCLcBGAsYHQ/s640/3..jpeg)
Wananchi pamoja na viongozi wa wilaya Muleba wakimsikiliza Mkuu wa mkoa alipokuwa akiwahutubia.
Na Allawi Kaboyo,Muleba
Kufatia kuwepo kwa vitendo vya uvuvi Haramu katika ziwa Victoria,Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Brigedia...
10 years ago
Mwananchi03 Nov
‘Ujenzi maabara za shule bila vifaa hauna tija’