Koica yaipa shule ya kata vitabu 500, maabara
SHIRIKA la Kimataifa la Kujitolea la Korea (KOICA) limekabidhi vitabu 500 pamoja na maabara ya kufundishia masomo ya sayansi kwa uongozi wa sekondari ya kata ya Msambweni, mradi uliogharimu Dola za Marekani 16,725 (Sh milioni 27).
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo29 Dec
Kagera wachachamalia maabara shule za kata
WANANCHI mkoani Kagera kwa kushirikiana na uongozi wa wilaya zao wameelezwa kuwa hakuna nchi yoyote duniani inayoweza kupata maendeleo bila kuzalisha wanasayansi, hivyo Serikali ya Mkoa imetoa agizo ifikapo Juni mwaka kesho shule zote za kata ziwe na maabara mbili.
10 years ago
Mwananchi07 Nov
Maabara 78 kukamilika shule za kata jijini Dar
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-yQKc-iaIG9k/U-tAenNRMLI/AAAAAAACnSI/5vF7j2bXWO4/s72-c/1.jpg)
KIKAO CHA MKAKATI WA UJENZI WA MAABARA ZA SHULE ZA SEKONDARI ZA KUDUMU KATA CHAFANYIKA DAR ES SALAAM
![](http://1.bp.blogspot.com/-yQKc-iaIG9k/U-tAenNRMLI/AAAAAAACnSI/5vF7j2bXWO4/s1600/1.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Vxs7wdjNQwE/VN4KbxTm3gI/AAAAAAAHDjM/NjujbpkOFjs/s72-c/unnamed%2B(34).jpg)
Rais Kikiwete azindua Sera ya Elimu,Afungua maabara Shule ya Sekondari ya kata,Kipawa jijini Dar
![](http://2.bp.blogspot.com/-Vxs7wdjNQwE/VN4KbxTm3gI/AAAAAAAHDjM/NjujbpkOFjs/s1600/unnamed%2B(34).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-eiEybF_-O7A/VN4Kn1pkFOI/AAAAAAAHDjU/UDOlZZo9uJg/s1600/unnamed%2B(32).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Iy654veaghI/VN4KpLireaI/AAAAAAAHDjc/K-NCtVfAN1s/s1600/unnamed%2B(33).jpg)
10 years ago
Dewji Blog26 Aug
Shule za sekondari zaidi ya 30 kufaidika na mradi wa vitabu wa Airtel Shule Yetu
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa mradi wa “Airtel Shule Yetu” kwa mwaka 2014/15, katika hafla iliyofanyika jijini Dar es Salaam. Mradi huu wa vitabu umeweza kufikia shule zaidi ya 1,000 toka ulipoanza miaka kumi iliyopita. Wanaoshuhudia ni Mkurugenzi Mkuu wa Airtel Tanzania, Sunil Colaso (katikati), na Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Airtel, Beatrice Singano Mallya.
Mkurugenzi Mkuu wa Airtel Tanzania,...
9 years ago
VijimamboTEA YAIPA TET MKOPO WA SHILINGI BILIONI TATU KUANDAA MITAALA NA KUCHAPISHA VITABU VYA ELIMU YA MSINGI
10 years ago
Habarileo10 Dec
Tiper kuipatia shule vitabu 200
KAMPUNI ya kuhifadhi mafuta ya Tanzania, Tanzania International Petroleum Reserves Limited (TIPER), imesaini makubaliano ya ununuzi wa vitabu 200 vya masomo ya sayansi katika shule ya Sekondari ya Vijibweni iliyopo eneo la Kigamboni, jijini Dar es Salaam ikiwa ni mpango wa kampuni hiyo katika kusaidia jamii.
11 years ago
MichuziSHULE 22 ZAPATIWA MSAADA WA VITABU WILAYA YA KILOLO
11 years ago
Habarileo20 May
Shule ya Kilakala yapewa maabara ya kompyuta
BENKI ya Exim Tanzania imekabidhi maabara ya kompyuta kwa Shule ya Msingi Kilakala iliyopo wilayani Temeke, Dar es Salaam, ikiwa ni sehemu ya shughuli zake za kijamii katika kukuza uwezo wa maendeleo miongoni mwa vijana nchini.