Tiper kuipatia shule vitabu 200
KAMPUNI ya kuhifadhi mafuta ya Tanzania, Tanzania International Petroleum Reserves Limited (TIPER), imesaini makubaliano ya ununuzi wa vitabu 200 vya masomo ya sayansi katika shule ya Sekondari ya Vijibweni iliyopo eneo la Kigamboni, jijini Dar es Salaam ikiwa ni mpango wa kampuni hiyo katika kusaidia jamii.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog10 Dec
TIPER yasaini makubaliano kuchangia vitabu vya masomo ya sayansi Shule ya Sekondari Vijibweni
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni inayoifadhi mafuta ya Tanzania, Tanzania International Petroleum Reserves Ltd (TIPER), Bw Daniel Belair, akikabidhi vitabu vya sayansi vikiwemo vya Fizikia, Baolojia na Kemia kwa Mkuu wa Shule ya Sekondari Vijibweni, Bw Itumbo Kinyonyi wakati wa sherehe ya kusaini makubaliano yatakayoiwezesha kampuni hiyo kuchangia vitabu 200 vyenye thamani ya Shilingi milioni nne kwa shule hiyo iliyopo eneo la Kigamboni wilaya ya Temeke. Shughuli hiyo ilifanyika jana katika...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-71NkWc4cIvY/VO2BomCFijI/AAAAAAAHFyk/MUq7tKjkhkk/s72-c/unnamed.jpg)
SHULE ZA MSINGI MKOANI SINGIDA KUPOKEA VITABU 200
Akizungumza wakati wa kukabidhi vitabu hivyo,Afisa Mipango wa Children’s Book Project for Tanzania,Ramadhani Ali alisema kuwa Watoto wanaotakiwa kupata vitabu hivi ni wale walio na uhitaji sana na...
9 years ago
Dewji Blog28 Sep
DORIS MOLLEL FOUNDATION: Yakabidhi vitabu 200 kwa Shule ya Msingi Midamigha Ilongero SINGIDA
Mwalimu wa taaluma wa shule Msingi Midamigha Ilongero, Singida akipokea vitabu hivyo kutoka taasisi ya Dmf wakati wa kukabidhi vitabu hivyo.
[SINGIDA] Taasisi inayoshughulikia na utetezi wa watoto njiti ya Doris Mollel ‘DORIS MOLLEL FOUNDATION’(Dmf) mwishoni mwa wiki imekabidhi vitabu 200 kwa ajili ya kujifunzia katika shule ya msingi Midamigha ilongero, singida.
Vitabu hivyo vitakuwa chachu na changamoto kwa wanafunzi wa shule hiyo ambapo watapata furasa za kujifunza mambo mbalimbali...
10 years ago
Mtanzania15 Jun
Tiper yasaidia vifaa vya maabara Shule ya Msafiri
Na Mwandishi Wetu
KAMPUNI ya kuhifadhi mafuta nchini, Tiper imetoa msaada wa vifaa vya maabara vyenye thamani ya Sh milioni 20 kwa Shule ya Sekondari Msafiri, iliyopo wilayani Rufiji, mkoani Pwani ikiwa ni mwendelezo wa jitihada za kampuni hiyo katika kuboresha kiwango cha elimu nchini.
Akizungumza kwenye hafla fupi ya makabidhiano ya vifaa hivyo iliyofanyika jana wilayani Rufiji, Mkurugenzi Mtendaji wa Tiper, Daniel Belair, alisema msaada huo pia ni sehemu ya mpango endelevu wa kampuni hiyo...
10 years ago
Dewji Blog26 Aug
Shule za sekondari zaidi ya 30 kufaidika na mradi wa vitabu wa Airtel Shule Yetu
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa mradi wa “Airtel Shule Yetu” kwa mwaka 2014/15, katika hafla iliyofanyika jijini Dar es Salaam. Mradi huu wa vitabu umeweza kufikia shule zaidi ya 1,000 toka ulipoanza miaka kumi iliyopita. Wanaoshuhudia ni Mkurugenzi Mkuu wa Airtel Tanzania, Sunil Colaso (katikati), na Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Airtel, Beatrice Singano Mallya.
Mkurugenzi Mkuu wa Airtel Tanzania,...
11 years ago
MichuziSHULE 22 ZAPATIWA MSAADA WA VITABU WILAYA YA KILOLO
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-RInrpizNBvA/VWXSgH5FaUI/AAAAAAAHaI4/2UgyuzNRRSY/s72-c/Waziri-Mkuu-wa-Tanzania-Mizengo-Pinda1.jpg)
WAZIRI MKUU APOKEA VITABU KUCHANGIA SHULE ALIYOSOMA
![](http://3.bp.blogspot.com/-RInrpizNBvA/VWXSgH5FaUI/AAAAAAAHaI4/2UgyuzNRRSY/s320/Waziri-Mkuu-wa-Tanzania-Mizengo-Pinda1.jpg)
WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amepokea msaada wa vitabu 895 vyenye thamani ya sh. milioni 6.5/- ikiwa ni jitihada ya wadau mbalimbali kuchangia shule ya msingi aliyosoma ya Kakuni iliyoko kijiji cha Kibaoni, wilayani Mlele, mkoani Katavi.
Waziri Mkuu amepokea msaada huo jana mchana (Jumanne, Mei 26, 2015) kwenye shule mpya ya msingi Kakuni ambayo bado inaendelea kujengwa kwenye kijiji cha Kibaoni.
Akizungumza katika hafla hiyo fupi mara baada ya kupokea msaada huo, Waziri Mkuu Pinda...
10 years ago
Habarileo17 Aug
Koica yaipa shule ya kata vitabu 500, maabara
SHIRIKA la Kimataifa la Kujitolea la Korea (KOICA) limekabidhi vitabu 500 pamoja na maabara ya kufundishia masomo ya sayansi kwa uongozi wa sekondari ya kata ya Msambweni, mradi uliogharimu Dola za Marekani 16,725 (Sh milioni 27).
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ZqN8oZCgc1I/Uyr9LM44WyI/AAAAAAACdD4/DZh-qvMyAQA/s72-c/furaha+vitabu6.jpg)
AIRTEL YATOA MSAADA WA VITABU SHULE ZA SEKONDARI MBEYA
![](http://1.bp.blogspot.com/-ZqN8oZCgc1I/Uyr9LM44WyI/AAAAAAACdD4/DZh-qvMyAQA/s1600/furaha+vitabu6.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-FY0-XdLW9xs/Uyr9Lq1_diI/AAAAAAACdD8/OnqucfSw5Zg/s1600/mbaga2.jpg)