Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Je unatambua jinsi ya kuepuka mifarakano katika ndoa?(2)

Wiki iliyopita tuliona sehemu ya kwanza ya maelezo haya, leo tunaendelea.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Je unatambua jinsi ya kuepuka mifarakano katika ndoa?(1)

Je, kuna dalili zozote zinazoashiria kutokea mfarakano katika ndoa yako? Kama hakuna, unafanya nini kudumisha maelewano mema baina yako na mwenzako. Kama kuna dalili za mfarakano, unafanya nini kuinusuru ndoa yako? Kwa hakika hakuna jibu rahisi la swali hili.

 

9 years ago

StarTV

Viongozi BAKWATA Arusha watakiwa kufuata Katiba ili kuepuka mifarakano

Baraza la Waislamu nchini Mkoa wa Arusha limewataka viongozi wa baraza hilo kuhakikisha wanafuata katiba katika kusimamia na kutimiza majukumu yaliyoainishwa ili kuepuka mifarakano ya mara kwa mara miongoni mwa waumini na viongozi.

Baraza hilo limesema liko tayari kushirikiana na taasisi nyingine zilizo rasmi pasipo kuharibu lengo la kuwepo kwa taasisi hizo.

Haya yamezungumzwa na viongozi wa BAKWATA mkoa wa Arusha baada ya kufanyika kwa uchaguzi wa viongozi wapya uchaguzi uliofanyika kwa...

 

11 years ago

Mwananchi

unatambua jinsi ya kujijengea au kujiongezea ujasiri?

Ukikutana na mtu akakuuliza; baada ya kumcha Mungu ni jambo gani jingine muhimu unafikiri binadamu anapaswa kulifanya katika maisha yake? Hapana shaka hutaweza kutoa jibu mara moja kwa sababu utajikuta ukifikiria mambo kadhaa, wala hutaweza mara moja kutambua lipi ni muhimu kuliko yote.

 

9 years ago

Mwananchi

SAIKOLOJIA : Je, unaweza kuepuka jazba katika ndoa?

Siku moja nilishuhudia tukio la kushangaza kwenye kituo cha daladala. Daladala moja ilisimama kituoni. Mara nikamuona mwanaume mmoja akitoka haraka kwenye daladala hiyo. Nyuma yake akatokea mwanamke aliyekuwa na hasira.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Maharusi wafunga ndoa mtandaoni kuepuka maambukizi

Maharusi Zoe Davies na Tom Jackson ni baadhi ya wanandoa ambao harusi zao hazikufanyika kufuatia janga la corona

 

10 years ago

Habarileo

Tanzania yapinga ndoa za jinsi moja

SERIKALI ya Tanzania imekataa rasmi kutambua ndoa za jinsia moja (ushoga) kama moja ya ajenda za maendeleo katika malengo ya milenia 2015 mpaka 2030 katika mkutano wa Umoja wa Mataifa. Hayo yalisemwa juzi jijini Dar es Salaam na Mkurugenzi wa Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Celestine Mushy kwenye mkutano wa majadiliano ya malengo ya milenia yanayotazamiwa kumalizika mwakani na kuanza malengo mapya, akisema Serikali ya Tanzania imekataa kutambua ushoga kama moja ya ajenda za...

 

5 years ago

BBCSwahili

Jinsi ndoa ya ''karaha 'ilivyomsaidia kuyaokoa maisha ya maelfu ya watu

Uma alimtunza mume wake mgonjwa hadi alipokufa. Na sasa anawasaidia Wahindi wenzake kupata matibabu

 

10 years ago

Bongo Movies

JB Aweka Wazi Jinsi Anavyompenda Mke Wake na Kuithamini Ndoa Yake

Mwigizaji na mwogozaji wa filamu za hapa bongo, Jacob Stephen ‘JB’ amefunguka ya moyoni  juu ya upendo wake kwa mke wake na kuendelea kudumisha ndoa yao.

JB tofauti na mastaa wengi wa hapa bongo, amemuweka na kumwambia waziwazi mke wake wa ndoa maneno  ya upendo ambayo huwafanya mashabiki wake wote kkujua na kumtambua shemeji yao au wifi yao.

JB leo hii ameweka picha hiyo mtandaoni akiwa na mke wake na kuandika maneno haya;

“Mke wangu,rafiki yangu, nampenda sanaa. Siku kama ya leo...

 

10 years ago

Vijimambo

DJ GULU RAMADHANI NANJI ATIMIZA MIAKA 19 YA NDOA YAKE, VIJIMAMBO BLOG INAKUTAKIA MIAKA AMANI NAFURAHA ZAIDI KATIKA NDOA YAKO.

· 
Oooh Allah Naona Kama Naota Vile Kama Siamini Vile...Asante Sana Mungu Kwa Pumzi Unayotupa Hadi Leo Tarehe 10 May Twafikisha Miaka 19 Ya Ndoa Yetu Mimi Na Mke Wangu Kipenzi Bi Khadija Gulu...Asante Sana Bi Wife Kwa Kustahmili Mengi Kutwa Nipo Katika Mihangaiko,Safarini Kikazi Lakini Mungu Amekujaalia Upendo,Subra,imani Na Moyo Wa Kipekee Wa Kijasiri Sijapata Kuona Wa Kuweza Kukaa Na Familia Kama Mume Nipo Nyumbani Wakati Wote,Wewe Kweli Ni Mke Bora...Wakati Twafunga Ndoa Wengi Walidiriki...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani