Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tanzania yapinga ndoa za jinsi moja

SERIKALI ya Tanzania imekataa rasmi kutambua ndoa za jinsia moja (ushoga) kama moja ya ajenda za maendeleo katika malengo ya milenia 2015 mpaka 2030 katika mkutano wa Umoja wa Mataifa. Hayo yalisemwa juzi jijini Dar es Salaam na Mkurugenzi wa Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Celestine Mushy kwenye mkutano wa majadiliano ya malengo ya milenia yanayotazamiwa kumalizika mwakani na kuanza malengo mapya, akisema Serikali ya Tanzania imekataa kutambua ushoga kama moja ya ajenda za...

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

India yapinga wapenzi wa jinsia moja

Mahakama ya juu kabisa nchini India imepinga uhusiano wa wapenzi wa jinsia moja.

 

10 years ago

Dewji Blog

Tanzania yakataa rasmi ndoa za jinsia moja kwenye agenda za maendeleo ya milenia

001

Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa, Wanawake, Anna Collins akitoa hotuba yake wakati akifungua warsha ya siku moja kuhusu Malengo ya Milenia kwa washiriki mbalimbali na kwa kiasi ngani Tanzania imeweza kufikia malengo hayo.iliofanyika Makao Makuu ya Taasisi ya Uchumi na Utafiti wa Kijamii nchini (ESRF) Oktoba 27, 2014 jijini Dar es Salaam.

Na Mwandishi wetu

SERIKALI ya Tanzania imekataa rasmi kutambua ndoa za jinsia moja (ushoga) kama moja ya agenda za maendeleo katika malengo ya...

 

10 years ago

GPL

TANZANIA YAKATAA RASMI NDOA ZA JINSIA MOJA KWENYE AGENDA ZA MAENDELEO YA MILENIA‏

Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa, Wanawake, Anna Collins akitoa hotuba yake wakati akifungua warsha ya siku moja kuhusu Malengo ya Milenia kwa washiriki mbalimbali na kwa kiasi ngani Tanzania imeweza kufikia malengo hayo.iliofanyika Makao Makuu ya Taasisi ya Uchumi na Utafiti wa Kijamii nchini (ESRF) Oktoba 27, 2014 jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi wa Programu kutoka Taasisi ya… ...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mapenzi ya jinsi moja Misri marufuku

Viongozi wa juu nchini Misri wametoa tamko baada ya uvamizi wakati wa usiku katika nyumba ya ubatizo mjini Cairo.

 

11 years ago

Mwananchi

Je unatambua jinsi ya kuepuka mifarakano katika ndoa?(1)

Je, kuna dalili zozote zinazoashiria kutokea mfarakano katika ndoa yako? Kama hakuna, unafanya nini kudumisha maelewano mema baina yako na mwenzako. Kama kuna dalili za mfarakano, unafanya nini kuinusuru ndoa yako? Kwa hakika hakuna jibu rahisi la swali hili.

 

11 years ago

Mwananchi

Je unatambua jinsi ya kuepuka mifarakano katika ndoa?(2)

Wiki iliyopita tuliona sehemu ya kwanza ya maelezo haya, leo tunaendelea.

 

5 years ago

BBCSwahili

Jinsi ndoa ya ''karaha 'ilivyomsaidia kuyaokoa maisha ya maelfu ya watu

Uma alimtunza mume wake mgonjwa hadi alipokufa. Na sasa anawasaidia Wahindi wenzake kupata matibabu

 

10 years ago

Bongo Movies

JB Aweka Wazi Jinsi Anavyompenda Mke Wake na Kuithamini Ndoa Yake

Mwigizaji na mwogozaji wa filamu za hapa bongo, Jacob Stephen ‘JB’ amefunguka ya moyoni  juu ya upendo wake kwa mke wake na kuendelea kudumisha ndoa yao.

JB tofauti na mastaa wengi wa hapa bongo, amemuweka na kumwambia waziwazi mke wake wa ndoa maneno  ya upendo ambayo huwafanya mashabiki wake wote kkujua na kumtambua shemeji yao au wifi yao.

JB leo hii ameweka picha hiyo mtandaoni akiwa na mke wake na kuandika maneno haya;

“Mke wangu,rafiki yangu, nampenda sanaa. Siku kama ya leo...

 

11 years ago

BBCSwahili

Ndoa za jinsia moja zapingwa Uingereza

Maaskofu katika kanisa moja nchini Uingereza wawaambia viongozi wa dini kwamba hawataruhusiwa kuingia katika ndoa za jinsia moja

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani