Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TANZANIA YAKATAA RASMI NDOA ZA JINSIA MOJA KWENYE AGENDA ZA MAENDELEO YA MILENIA‏

Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa, Wanawake, Anna Collins akitoa hotuba yake wakati akifungua warsha ya siku moja kuhusu Malengo ya Milenia kwa washiriki mbalimbali na kwa kiasi ngani Tanzania imeweza kufikia malengo hayo.iliofanyika Makao Makuu ya Taasisi ya Uchumi na Utafiti wa Kijamii nchini (ESRF) Oktoba 27, 2014 jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi wa Programu kutoka Taasisi ya… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Tanzania yakataa rasmi ndoa za jinsia moja kwenye agenda za maendeleo ya milenia

001

Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa, Wanawake, Anna Collins akitoa hotuba yake wakati akifungua warsha ya siku moja kuhusu Malengo ya Milenia kwa washiriki mbalimbali na kwa kiasi ngani Tanzania imeweza kufikia malengo hayo.iliofanyika Makao Makuu ya Taasisi ya Uchumi na Utafiti wa Kijamii nchini (ESRF) Oktoba 27, 2014 jijini Dar es Salaam.

Na Mwandishi wetu

SERIKALI ya Tanzania imekataa rasmi kutambua ndoa za jinsia moja (ushoga) kama moja ya agenda za maendeleo katika malengo ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ndoa za jinsia moja zafanyika Uskochi

Harusi ya kwanza ya watu wa jinsia moja imefanyika huko Uskochi .

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanaopinga ndoa za jinsia moja wasalimu

Kiongozi anayeongoza kampeni za kupinga ndoa za jinsia moja nchini Ireland amekubali kushindwa,huku kura zikiendelea kuhesabiwa

 

10 years ago

BBCSwahili

Ndoa za jinsia moja zaungwa mkono

Ishara za mapema nchini Ireland zinaonyesha kuwa wanaounga mkono ndoa hizo wanaelekea kupata ushindi mkubwa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ireland yahalalisha ndoa za jinsia moja

Waziri mkuu nchini Ireland amesema Ireland imetoa ujumbe mkubwa baada ya kupiga kura kwa wingi kuhalalisha ndoa za jinsia moja.

 

10 years ago

BBCSwahili

Sheria ya ndoa za jinsia moja yaanzishwa

Kinara mkuu wa chama cha upinzani cha Labour nchini Australia, ameanzisha sheria inayokubalia ndoa ya wapenzi wa jinsia moja,

 

10 years ago

BBCSwahili

Kanisa laidhinisha ndoa za jinsia moja

Kanisa la Presbyterian nchini Marekani ,limebadilisha sheria yake ya ndoa na kuwajumuisha watu wa jinsia moja.

 

11 years ago

BBCSwahili

Ndoa za jinsia moja zapingwa Uingereza

Maaskofu katika kanisa moja nchini Uingereza wawaambia viongozi wa dini kwamba hawataruhusiwa kuingia katika ndoa za jinsia moja

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani