Ireland yahalalisha ndoa za jinsia moja
Waziri mkuu nchini Ireland amesema Ireland imetoa ujumbe mkubwa baada ya kupiga kura kwa wingi kuhalalisha ndoa za jinsia moja.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili22 May
Ireland yaamua kuhusu ndoa za jinsia moja
Shughuli ya upigaji kura inaendelea huko Ireland katika kura ya maoni ya kubadilisha katiba ili kuruhusu ndoa za mapenzi ya jinsia moja.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/f*E8U3rGFXq4EAU-ngOaq-tqug27kNG3RVVOxXZ0hKP44qtQpCrSJ7ADLl9gFnCCDamkeRoEvHwACEaTaHV6Wvj3Shkkou7h/150624160702_gays_624x351_afp.jpg?width=650)
MSUMBIJI YAHALALISHA MAPENZI YA JINSIA MOJA
Wapenzi wa jinsia moja, wakitembea pamoja barabarani baada ya kuhalalishwa kwa sheria hiyo. Wakipita barabarani huku wakishangilia kupitishwa kwa sheria hiyo. Wapenzi wa jinsia moja…
10 years ago
BBCSwahili28 Apr
Kesi ya ndoa za jinsia moja kusikizwa US
Mahakama kuu nchini Marekani hii leo itasikiliza kesi kuamua ikiwa wapenzi wa jinsia moja wana haki ya kufunga ndoa.
11 years ago
BBCSwahili15 Feb
Ndoa za jinsia moja zapingwa Uingereza
Maaskofu katika kanisa moja nchini Uingereza wawaambia viongozi wa dini kwamba hawataruhusiwa kuingia katika ndoa za jinsia moja
10 years ago
BBCSwahili23 May
Wanaopinga ndoa za jinsia moja wasalimu
Kiongozi anayeongoza kampeni za kupinga ndoa za jinsia moja nchini Ireland amekubali kushindwa,huku kura zikiendelea kuhesabiwa
10 years ago
BBCSwahili23 May
Ndoa za jinsia moja zaungwa mkono
Ishara za mapema nchini Ireland zinaonyesha kuwa wanaounga mkono ndoa hizo wanaelekea kupata ushindi mkubwa.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/afJNJUtdOc6xsvNlwwa-1*LxJ4Ddg8zmVb02nOympBLxf5AS7Fm-ZoqLK7WoQDTdi8*oFqbnT9EatKvW7r*0xlfI42ytkBKP/mashoga.jpg?width=650)
KANISA: NDOA YA JINSIA MOJA RUKSA
Wapenzi wa jinsia moja. KANISA la Presbyterian nchini Marekani ambalo lina wanachama milioni mbili, limebadilisha sheria yake ya ndoa na kuwajumuisha watu wa jinsia moja. Kanisa hilo ambalo linashirikisha idadi kubwa ya wanachama wake duniani lilitoa tangazo hilo baada ya idadi kubwa ya magavana wa majimbo yake 171 kuidhinisha mabadiliko hayo. Sheria yake mpya sasa itasoma kwamba ndoa ni makubaliano ya kipekee kati ya watu...
10 years ago
BBCSwahili18 Mar
Kanisa laidhinisha ndoa za jinsia moja
Kanisa la Presbyterian nchini Marekani ,limebadilisha sheria yake ya ndoa na kuwajumuisha watu wa jinsia moja.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania