MSUMBIJI YAHALALISHA MAPENZI YA JINSIA MOJA
![](http://api.ning.com:80/files/f*E8U3rGFXq4EAU-ngOaq-tqug27kNG3RVVOxXZ0hKP44qtQpCrSJ7ADLl9gFnCCDamkeRoEvHwACEaTaHV6Wvj3Shkkou7h/150624160702_gays_624x351_afp.jpg?width=650)
Wapenzi wa jinsia moja, wakitembea pamoja barabarani baada ya kuhalalishwa kwa sheria hiyo. Wakipita barabarani huku wakishangilia kupitishwa kwa sheria hiyo. Wapenzi wa jinsia moja…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili02 Jul
Msumbiji yakubali mapenzi ya jinsia moja
Msumbiji sasa inajiunga na nchi chache Afrika zinazokubalia mapenzi ya jinsia moja
10 years ago
BBCSwahili24 May
Ireland yahalalisha ndoa za jinsia moja
Waziri mkuu nchini Ireland amesema Ireland imetoa ujumbe mkubwa baada ya kupiga kura kwa wingi kuhalalisha ndoa za jinsia moja.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/li0jpfi0h9l78bHwtu1uonHzbQM0U-w927W6m*HLq9KMnqqROl5tNp5AoXs*0H*UTw750cUXLTiMjXwNYq9WqpNLGjKDY5bF/FrontUWAZI.jpg)
MBARONI KWA MAPENZI YA JINSIA MOJA
Makongoro Oging’ na Haruni Sanchawa/Uwazi DUNIA imekwisha! Wasichana wawili warembo, Maua Sadick (24), mkazi wa Stakishari, Ukonga wilayani Ilala na Lucy Fred (23), mkazi wa Karakata jijini Dar es Salaam, wanashikiliwa katika Kituo cha Polisi Stakishari, Ukonga, Dar kwa kesi yenye jalada STK/RB/463/2015 wakidaiwa kufanya mapenzi ya jinsia moja.… ...
11 years ago
BBCSwahili24 Feb
Mapenzi ya jinsia moja haramu Uganda
Rais wa Uganda Yoweri Museveni ametia saini mswada unaotoa adhabu kali kwa watakaoshiriki mapenzi ya jinsia moja
10 years ago
BBCSwahili15 Apr
Balozi wa mapenzi ya jinsia moja Vatican
Ufaransa imesema kuwa inangojea jibu kutoka kanisa Katoliki kuhusu uajiri wa balozi wa mapenzi ya jinsia moja huko Vatican
10 years ago
BBCSwahili10 Feb
Mapenzi ya jinsia moja yamponza Anwar
Hatima ya kiongozi wa upinzani nchini Malaysia Anwar Ibrahim ni mwezi march mwaka huu iwapo atafungwa jela ama la.
11 years ago
BBCSwahili08 Apr
Jela kwa mapenzi ya jinsia moja Misri
Watu wanne nchini Misri ,wamehukumiwa kifungo jela kwa kosa la kushiriki mapenzi ya jinsia moja
10 years ago
Vijimambo10 Feb
MAPENZI YA JINSIA MOJA ANWAR, KIONGOZI WA UPINZANI MALAYSIA
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/02/08/150208104633_anwar_ibrahim_512x288_bbc.jpg)
Hatima ya kiongozi wa upinzani nchini Malaysia Anwar Ibrahim ni mwezi march mwaka huu iwapo atafungwa jela ama kuwa huru dhidi ya mashtaka yake ya kufanya mapenzi ya jinsia moja.
Mahakama kuu ya Malaysia inatarajiwa kupitia rufani ya Anwar aliyekutwa na makosa ya kufanya mapenzi na msaidizi wake wa kiume mwaka 2008.
Hata hivyo Anwar mwenyewe anasema kuwa mashtaka haya dhidi yake ni sehemu ya kampeni za kisiasa kutaka kumpunguzia hadi yake zinazofanywa na chama tawala cha...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/FXkXptW89jIq*xulSdcLSxnqYpYn*GlIwUzCFnUh*PqDvsaklnx2l4bFyje*l6N9UD4tPAT93pHxUo9j97YRaOmlsDvx9qOU/lucy.jpg)
WALIONASWA KWA MAPENZI YA JINSIA MOJA KUMBE WALIOANA
Na Haruni Sanchawa/Uwazi SAKATA la wasichana wawili warembo, Maua Sadick (24) mkazi wa Stakishari, Ukonga, Dar es Salaam na Lucy Fred (23) mkazi wa Karakata, Dar ambao walishikiliwa katika Kituo cha Polisi Stakishari, Ukonga jijini kwa madai ya kufanya mapenzi ya jinsia moja limechukua sura mpya. Habari za kipolisi zinasema wasichana hao ambao walifunguliwa jalada kituoni hapo namba SKT/RB/463/2015 baada ya kukamatwa Januari 12,...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania