Jela kwa mapenzi ya jinsia moja Misri
Watu wanne nchini Misri ,wamehukumiwa kifungo jela kwa kosa la kushiriki mapenzi ya jinsia moja
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/li0jpfi0h9l78bHwtu1uonHzbQM0U-w927W6m*HLq9KMnqqROl5tNp5AoXs*0H*UTw750cUXLTiMjXwNYq9WqpNLGjKDY5bF/FrontUWAZI.jpg)
MBARONI KWA MAPENZI YA JINSIA MOJA
Makongoro Oging’ na Haruni Sanchawa/Uwazi DUNIA imekwisha! Wasichana wawili warembo, Maua Sadick (24), mkazi wa Stakishari, Ukonga wilayani Ilala na Lucy Fred (23), mkazi wa Karakata jijini Dar es Salaam, wanashikiliwa katika Kituo cha Polisi Stakishari, Ukonga, Dar kwa kesi yenye jalada STK/RB/463/2015 wakidaiwa kufanya mapenzi ya jinsia moja.… ...
9 years ago
BBCSwahili22 Aug
Miezi 6 jela kwa wapenzi wa jinsia moja
Watu 7 wamehukumiwa kifungo cha miezi sita jela nchini Senegal kwa kuenda kinyume na madili
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/FXkXptW89jIq*xulSdcLSxnqYpYn*GlIwUzCFnUh*PqDvsaklnx2l4bFyje*l6N9UD4tPAT93pHxUo9j97YRaOmlsDvx9qOU/lucy.jpg)
WALIONASWA KWA MAPENZI YA JINSIA MOJA KUMBE WALIOANA
Na Haruni Sanchawa/Uwazi SAKATA la wasichana wawili warembo, Maua Sadick (24) mkazi wa Stakishari, Ukonga, Dar es Salaam na Lucy Fred (23) mkazi wa Karakata, Dar ambao walishikiliwa katika Kituo cha Polisi Stakishari, Ukonga jijini kwa madai ya kufanya mapenzi ya jinsia moja limechukua sura mpya. Habari za kipolisi zinasema wasichana hao ambao walifunguliwa jalada kituoni hapo namba SKT/RB/463/2015 baada ya kukamatwa Januari 12,...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/f*E8U3rGFXq4EAU-ngOaq-tqug27kNG3RVVOxXZ0hKP44qtQpCrSJ7ADLl9gFnCCDamkeRoEvHwACEaTaHV6Wvj3Shkkou7h/150624160702_gays_624x351_afp.jpg?width=650)
MSUMBIJI YAHALALISHA MAPENZI YA JINSIA MOJA
Wapenzi wa jinsia moja, wakitembea pamoja barabarani baada ya kuhalalishwa kwa sheria hiyo. Wakipita barabarani huku wakishangilia kupitishwa kwa sheria hiyo. Wapenzi wa jinsia moja…
10 years ago
BBCSwahili15 Apr
Balozi wa mapenzi ya jinsia moja Vatican
Ufaransa imesema kuwa inangojea jibu kutoka kanisa Katoliki kuhusu uajiri wa balozi wa mapenzi ya jinsia moja huko Vatican
10 years ago
BBCSwahili02 Jul
Msumbiji yakubali mapenzi ya jinsia moja
Msumbiji sasa inajiunga na nchi chache Afrika zinazokubalia mapenzi ya jinsia moja
11 years ago
BBCSwahili24 Feb
Mapenzi ya jinsia moja haramu Uganda
Rais wa Uganda Yoweri Museveni ametia saini mswada unaotoa adhabu kali kwa watakaoshiriki mapenzi ya jinsia moja
10 years ago
BBCSwahili10 Feb
Mapenzi ya jinsia moja yamponza Anwar
Hatima ya kiongozi wa upinzani nchini Malaysia Anwar Ibrahim ni mwezi march mwaka huu iwapo atafungwa jela ama la.
9 years ago
Vijimambo04 Sep
ATUPWA JELA KWA KUTOSAINI CHETI CHA NDOA CHA JINSIA MOJA
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/09/03/150903182206_kim_davis_estados_unidos_matimonio_gay_640x360_getty_nocredit.jpg)
Jaji mmoja nchini Marekani, ameagiza afisa mmoja wa serikali katika jimbo la Kentucky, kufungwa jela, baada ya kukataa kutekeleza agizo la mahakama la kutoa cheti rasmi cha ndoa, kwa wapenzi wawili wa jinsia moja.
Kim Davies amesema imani yake kama Mkristo, haimruhusu kusaini cheti kama hicho. Ndoa ya jinsia moja ilihalalishwa nchini Marekani Juni mwaka huu.
Umauzi huo wa Davis, wa kutosaini cheti hicho...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania