Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jela kwa mapenzi ya jinsia moja Misri

Watu wanne nchini Misri ,wamehukumiwa kifungo jela kwa kosa la kushiriki mapenzi ya jinsia moja

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MBARONI KWA MAPENZI YA JINSIA MOJA

Makongoro Oging’ na Haruni Sanchawa/Uwazi DUNIA imekwisha! Wasichana wawili warembo, Maua Sadick (24), mkazi wa Stakishari, Ukonga wilayani Ilala na Lucy Fred (23), mkazi wa Karakata jijini Dar es Salaam, wanashikiliwa katika Kituo cha Polisi Stakishari, Ukonga, Dar kwa kesi yenye jalada STK/RB/463/2015  wakidaiwa kufanya mapenzi ya jinsia moja.… ...

 

9 years ago

BBCSwahili

Miezi 6 jela kwa wapenzi wa jinsia moja

Watu 7 wamehukumiwa kifungo cha miezi sita jela nchini Senegal kwa kuenda kinyume na madili

 

10 years ago

GPL

WALIONASWA KWA MAPENZI YA JINSIA MOJA KUMBE WALIOANA

Na Haruni Sanchawa/Uwazi SAKATA la wasichana wawili warembo, Maua Sadick (24) mkazi wa Stakishari, Ukonga, Dar es Salaam na Lucy Fred (23) mkazi wa Karakata, Dar ambao walishikiliwa katika Kituo cha Polisi Stakishari, Ukonga jijini kwa madai ya kufanya mapenzi ya jinsia moja limechukua sura mpya. Habari za kipolisi zinasema wasichana hao ambao walifunguliwa jalada kituoni hapo namba SKT/RB/463/2015 baada ya kukamatwa Januari 12,...

 

10 years ago

GPL

MSUMBIJI YAHALALISHA MAPENZI YA JINSIA MOJA

Wapenzi wa jinsia moja, wakitembea pamoja barabarani baada ya kuhalalishwa kwa sheria hiyo. Wakipita barabarani huku wakishangilia kupitishwa kwa sheria hiyo. Wapenzi wa jinsia moja…

 

10 years ago

BBCSwahili

Balozi wa mapenzi ya jinsia moja Vatican

Ufaransa imesema kuwa inangojea jibu kutoka kanisa Katoliki kuhusu uajiri wa balozi wa mapenzi ya jinsia moja huko Vatican

 

10 years ago

BBCSwahili

Msumbiji yakubali mapenzi ya jinsia moja

Msumbiji sasa inajiunga na nchi chache Afrika zinazokubalia mapenzi ya jinsia moja

 

11 years ago

BBCSwahili

Mapenzi ya jinsia moja haramu Uganda

Rais wa Uganda Yoweri Museveni ametia saini mswada unaotoa adhabu kali kwa watakaoshiriki mapenzi ya jinsia moja

 

10 years ago

BBCSwahili

Mapenzi ya jinsia moja yamponza Anwar

Hatima ya kiongozi wa upinzani nchini Malaysia Anwar Ibrahim ni mwezi march mwaka huu iwapo atafungwa jela ama la.

 

9 years ago

Vijimambo

ATUPWA JELA KWA KUTOSAINI CHETI CHA NDOA CHA JINSIA MOJA

Image copyrightGettyImage captionKim Davies aliyekataa kusaini cheti cha ndoa Kentucky
Jaji mmoja nchini Marekani, ameagiza afisa mmoja wa serikali katika jimbo la Kentucky, kufungwa jela, baada ya kukataa kutekeleza agizo la mahakama la kutoa cheti rasmi cha ndoa, kwa wapenzi wawili wa jinsia moja.

Kim Davies amesema imani yake kama Mkristo, haimruhusu kusaini cheti kama hicho. Ndoa ya jinsia moja ilihalalishwa nchini Marekani Juni mwaka huu.

Umauzi huo wa Davis, wa kutosaini cheti hicho...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani