Pinda akutana na uongozi wa kampuni ya China Merchant Group
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akimwonyesha Mwenyekiti wa Kampuni ya China Merchants, Group, Bw. Li Xiaopeng jarida linaloonyesha fursa za uwekezaji nchi lililotolewa na Kituo cha Uwekezaji Tanzania katika mazungumzo yao yaliyofanyika Ofisini kwa Wazri Mkuu jijini Dar es salaam Machi 2015. Kampuni hiyo Inatarajiwa kuanza ujenzi wa bandari ya Bagamoyo hivi karibuni. (Picha bna Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Rais wa Burundi Pierr Nkurunzinza katika chakula cha...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-nnsbzwZ6dyM/UvzEmwBTRrI/AAAAAAAFM6k/7kLfxA-xx7I/s72-c/unnamed+(9).jpg)
pinda akutana na viongozi wa kampuni ya AVIC Group China Civil Aviation inayotaka kuwekeza ATCL
![](http://4.bp.blogspot.com/-nnsbzwZ6dyM/UvzEmwBTRrI/AAAAAAAFM6k/7kLfxA-xx7I/s1600/unnamed+(9).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-xEz29Tl7NhI/UvzEpgxIQ7I/AAAAAAAFM6s/P5C5wRvljrw/s1600/unnamed+(8).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-3HP3JF8HoSQ/VN4ANxctzXI/AAAAAAAHDiM/MmwsQdw9RVA/s72-c/2.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AKUTANA NA UONGOZI WA KAMPUNI YA NARI YA CHINA
![](http://4.bp.blogspot.com/-3HP3JF8HoSQ/VN4ANxctzXI/AAAAAAAHDiM/MmwsQdw9RVA/s1600/2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-_WBoAkp9RIQ/VN4AN0EgmFI/AAAAAAAHDiQ/3T1Dy1C5kyY/s1600/3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-fEOiv5rZMeA/VN4AN3I4kbI/AAAAAAAHDiU/OGshjVrT6Fo/s1600/4.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-9N-UvlcSCPs/U7F9C_xIfLI/AAAAAAAFtqs/Smnucll6C14/s72-c/unnamed+(33).jpg)
JK akutana na makamu wa Rais wa Kampuni ya Viettel group ya Vietnam
![](http://2.bp.blogspot.com/-9N-UvlcSCPs/U7F9C_xIfLI/AAAAAAAFtqs/Smnucll6C14/s1600/unnamed+(33).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-KH09UlywMuo/U7F9DzntDcI/AAAAAAAFtq0/_WjoF7WOrVE/s1600/unnamed+(34).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-zve9j4goPDQ/VN37anbeU6I/AAAAAAADYEk/ev2r2865BFE/s72-c/01.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AKUTANA NA UONGOZI WA KAMPUNI YA MWANANCHI COMMUNICATION
![](http://1.bp.blogspot.com/-zve9j4goPDQ/VN37anbeU6I/AAAAAAADYEk/ev2r2865BFE/s1600/01.jpg)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Mwananchi Communication, Francis Nanai, wakati alipofika Ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam, leo Feb 13, 2015 kwa mazungumzo na kujitambulisha rasmi baada ya kuteuliwa kushika nafasi hiyo. Kushoto ni Mhariri Mtendaji wa Kampuni hiyo, Bakari Machumu.
![](http://3.bp.blogspot.com/-XuxuhqBYcus/VN37ZqGHEdI/AAAAAAADYEQ/u3qhbd61Gos/s1600/002.jpg)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Teddy Mapunda...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-Rw5ComqIH4g/VJVJaFZDh3I/AAAAAAACUlY/ShYVw1z-cwk/s72-c/731.jpg)
BALOZI IDDI AKUTANA NA UONGOZI WA KAMPUNI YA MITATANDAO YA VIETNAM TAWI LA DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-Rw5ComqIH4g/VJVJaFZDh3I/AAAAAAACUlY/ShYVw1z-cwk/s640/731.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-S3WrsbxSq7E/VJVJaK9zZQI/AAAAAAACUlI/TDjRmsApqzs/s640/749.jpg)
10 years ago
Dewji Blog15 Sep
Pinda akutana na ujumbe wa kampuni ya SUMITOMO
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwa katika picha ya pamoja na ujumbe wa wa Kampuni ya Japani ya SUMITOMO baada ya kuzungumza nao ofisini kwake jijini Dar es salaam Septemba 15, 2014.Kulia kwake ni Rais wa kampuni hiyo, Nakamura Kumharu. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania