UNATAKA WACHEZE FILAMU YAKO? ANDAA MKWANJA HUU
![](http://api.ning.com:80/files/eoZ5qo4qa6pmofIU0X1syrZtoStJ9pO-hgDqQbgcyQw6xCn4yj2YZekSc7Jnuka7hhHS5P2DNWHduKIFDPvShdMyNV1-TLTB/10570231_500727066740183_808236221_n.jpg)
Staa mrembo kutoka Bongo Movies, Wema Sepetu. LUCY MGINA KILA mwanamichezo au mwanamuziki hulipwa mshahara kulingana na kiwango chake, hali hii ipo hivyo pia kwa waigizaji na watu wengine wa kawaida. Hali hii imekuwa ikiwapa morali zaidi wale wanaofanya kazi kujituma ili wapate mshahara mkubwa zaidi au kupewa kazi ya ziada tofauti na pale ulipozoea. Staa wa filamu za Kibongo, Kajala… ...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili23 Aug
Je unataka ndoa yako iwe na mvuto?
9 years ago
Bongo Movies21 Oct
Je Unataka kwenda kuishi kufanya kazi Marekani? Nafasi ni Yako
Hauitajika kulipa hata senti tano ni buree! Jaribu bahati yako, muda uliobakia ni mchache sana. Mwisho wa kutuma maombi ni November 3, 2015.
Kila mwaka Serikali ya Marekani kupitia Ubalozi wa Marekani imekuwa ikitoa nafasi ya kutuma maombi ya watu kwenda kuishi Marekani kupitia mpango ujulikano kama “Diversity Visa program (DV-2017)”. Ni kama vile bahati nasibu na hapa hautakiwi kutoa au kulipa chochote zaidi ya kuwa na picha yako ya digitali na kujaza maelezo machache kupitia mtandao wao...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/RnVdzGQ*fcKpEu76Aegtjq2b29AimP7uVPcIS81BZa00lMZprsTjtaRtgAulxeBlnWHGAjGCaxJSKbbe9yFheFLy6aCCRmNO/lv.jpg?width=650)
UNATAKA KUISHI KIMAPENZI? CHUKUA MUONGOZO HUU!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wxWEJX1q6dYjajCWodmiJbsq7eeXmqiyRikmqenCK3JIEJHgmBb6HUxST05ZnjczVdNqFvYCEeXdJ08amRGc7d-VADsOKcG5/lv.jpg?width=650)
UNATAKA KUISHI KIMAPENZI? CHUKUA MUONGOZO HUU!- 2
10 years ago
Michuzi03 Feb
MAKALA YA SHERIA: WE NI MJASIRIAMALI, UNATAKA KUFUNGUA SHULE, UTARATIBU MWEPESI NI HUU.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-bYSKMi_bzjY/VMXk9D9rHxI/AAAAAAAG_dg/rAORO3gzyQg/s72-c/images.jpg)
MAKALA YA SHERIA: JE UMEFUNGUA/UNATAKA KUFUNGUA KAMPUNI, JIFUNZE KAMPUNI YAKO INAVYOTAKIWA KULIPA KODI KISHERIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-bYSKMi_bzjY/VMXk9D9rHxI/AAAAAAAG_dg/rAORO3gzyQg/s1600/images.jpg)
Vijana wengi wajasiriamali wadogo wamefungua makampuni. Hakika wote waliofanya hivi wamefanya jambo jema linaloendana na wakati. Niliwahi kuandika wakati nikielekeza namna nyepesi kabisa ya kufungua kampuni kuwa, ni vigumu kwa leo kufanya biashara na ukawa na mafanikio nje ya kampuni. Nikasema hata kama unauza maziwa, mama ntilie, unauza mayai, kibanda cha huduma ya fedha kupitia simu,unauza mihogo, haizuiwi kufungua kampuni.
Kuna kampuni hata za mtaji...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-o_XNlmWrGZY/VOGCY0R-sdI/AAAAAAAHD5I/HzLPXtsupf4/s72-c/images.jpeg)
MAKALA YA SHERIA: UNATAKA KUFANYA TRANSFER (KUBADILI JINA) LA KIWANJA/NYUMBA, UTARATIBU WA HARAKA NI HUU
![](http://4.bp.blogspot.com/-o_XNlmWrGZY/VOGCY0R-sdI/AAAAAAAHD5I/HzLPXtsupf4/s1600/images.jpeg)
Watu wengi wamenunua viwanja/nyumba lakini mali hizo zimeendelea kubaki katika majina ya waliowauzia. Wapo ambao imepita hata miaka kumi tangu wanunue maeneo lakini bado hawajabadili jina kuingia jina lake. Zipo sababu nyingi zinazosababisha hali hiyo lakini moja ni watu kutokujua umuhimu wa kubadili jina kwa haraka.
Hapa sizungumzii tu kubadili jina isipokuwa nazungumzia kubadili jina kwa haraka. Kupitia makala haya napenda kuwaamsha...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-F9hpq0MjsrQ/VQpUd2WBhnI/AAAAAAAHLYA/hFkYVbsZLaM/s72-c/unnamed%2B(55).jpg)
TANGAZO TANGAZO TANGAZO Je Unataka kujifunza jinsi ya kuanzisha,kuendesha na kusimamia biashara yako?