Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Je unataka ndoa yako iwe na mvuto?

Je ungependa kuwa na ndoa thabiti na yenye huba ? Jifunze kugawanya majukumu na mumeo ama mkeo hapo nyumbani.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

SHOGA; MAMA YAKO ASIKUINGILIE KWENYE NDOA YAKO

Shoga, awali ya yote napenda kuwapongeza wote waliojitokeza katika zoezi la kupiga kura juzi kwani wameitumia vyema haki yao ya kidemokrasia kikubwa sasa kusubiri Tume ya Taifa ya Uchaguzi kumtangaza mshindi wa kiti cha urais ili tuendelee na maisha yetu ya kawaida. Leo shoga yangu nimeona nizungumze nawe mwenzangu uliyeolewa kuhusiana na mama zetu ambao wametuzaa, kutulea, kutusomesha na hatimaye kutuozesha kwa waume zetu....

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Amani iwe juu yako Zanzibar

Na Rashid Abdallah Ilikuwa ni Jioni ya maombi ya Ijumaa tarehe 6 mwezi huu, Wazanzibari walikusanyika katika viwanja mbali mbali ndani ya Zanzibar kuiyombea nchi yao amani na utulivu kuelekea katika uchaguzi wa October 25. Hata […]

The post Amani iwe juu yako Zanzibar appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

GPL

UNATAKA WACHEZE FILAMU YAKO? ANDAA MKWANJA HUU

Staa mrembo kutoka Bongo Movies, Wema Sepetu. LUCY MGINA
KILA mwanamichezo au mwanamuziki hulipwa mshahara kulingana na kiwango chake, hali hii ipo hivyo pia kwa waigizaji na watu wengine wa kawaida.
Hali hii imekuwa ikiwapa morali zaidi wale wanaofanya kazi kujituma ili wapate mshahara mkubwa zaidi au kupewa kazi ya ziada tofauti na pale ulipozoea. Staa wa filamu za Kibongo, Kajala… ...

 

10 years ago

GPL

UNAMPENDA, UNATAKA NDOA

Ni wiki nyingine ambapo Mwenyezi Mungu ametujaalia kukutana katika busati letu la mahaba kujadiliana mambo mbalimbali yanayohusu uhusiano wa kimapenzi. Ni matumaini yangu kuwa mada ya wiki iliyopita ilikuingia vizuri na sasa unayafanyia kazi yale tuliyojadiliana. Karibu tena tujadiliane kuhusu mada ya leo kama inavyojieleza; unampenda na unataka kumuoa lakini hujui pa kuanzia, unapaswa kufanya nini? Maendeleo ya teknolojia...

 

9 years ago

Bongo Movies

Je Unataka kwenda kuishi kufanya kazi Marekani? Nafasi ni Yako

Hauitajika kulipa hata senti tano ni buree! Jaribu bahati yako, muda uliobakia ni mchache sana. Mwisho wa kutuma maombi ni November 3, 2015.

Kila mwaka Serikali ya Marekani kupitia Ubalozi wa Marekani imekuwa ikitoa nafasi ya kutuma maombi ya watu kwenda kuishi Marekani kupitia mpango ujulikano kama “Diversity Visa program (DV-2017)”. Ni kama vile bahati nasibu na hapa  hautakiwi kutoa au kulipa chochote zaidi ya kuwa na picha yako ya digitali na kujaza maelezo machache kupitia mtandao wao...

 

9 years ago

GPL

MAMBO YATAKAYOSABABISHA KURA YAKO IWE IMEHARIBIKA AU SAHIHI


Kura halali zitakazopigwa siku ya Jumapili kwa ajili ya kuwachagua viongozi kwenye Uchaguzi Mkuu zinaweza kuharibika ikiwa hazitapigwa kwa usahihi na kuondoa utata.. Kura iliyoharibika ni ile ambayo: Haina alama yoyote Imepigwa kwa wagombea zaidi ya mmoja Imeandikwa jina la mpiga kura Alama imewekwa nje ya kisanduku cha picha ya mgombea Haina muhuri wenye alama rasmi Kura sahihi;
Yenye alama ya...

 

9 years ago

GPL

UNAINGILIA NDOA YA MWANAO UNATAKA AKUOE WEWE?-2

Bila shaka yoyote mmeamka mkiwa na afya njema na mnaendelea vizuri sana katika ujenzi wa taifa letu. Baada ya hayo, tuendelee na mada yetu ambapo wiki hii tutaendelea na sehemu ya pili inayowahusu wakwe wanaopenda kuingilia ndoa za watoto wao ambapo wiki iliyopita tuliishia katika kipengele kinachohusiana na mtoto wako akishindwa kuoa si utamaliza waganga? Moja kwa moja utakuwa una maana kuwa hutaki mkwe, wamama wakwe wenye gubu...

 

9 years ago

GPL

UNAINGILIA NDOA YA MWANAO UNATAKA AKUOE WEWE?

Habari zenu wasomaji wa makala haya, mimi nimeamka salama, bila shaka wasomaji wangu ni wazima na mnaendelea vema na ujenzi wa taifa hili, kwa wagonjwa nawaombea heri mtapona. Tunaelekea uchaguzi mkuu siyo vema nikaanza mada bila kuwakumbusha kupiga kura ili kumchagua yule unayeona anafaa na kumbuka kupiga kura ili usije kujutia kuchaguliwa kiongozi na mtu.Wiki hii nimekuja na mada hii ya mama wakwe wanaopenda kuingilia ndoa za...

 

10 years ago

GPL

UNAMPENDA, UNATAKA NDOA LAKINI HUJUI PA KUANZIA?-2

Asalaam aleikum msomaji wa safu hii nzuri, ni matumaini yangu kwamba uko poa, nakukaribisha tena kwenye uwanja huu mzuri tujadili kuhusu mambo mbalimbali yahusuyo mapenzi.
Wiki iliyopita tulianza kujadili mbinu zinazoweza kumvuta mwanamke au mwanaume unayempenda na hatimaye mkafikia hatua ya kuishi pamoja mkiwa kama mume na mke. Nakushukuru wewe uliyetuma ujumbe nakueleza jinsi ulivyoguswa na mada hiyo au kutoa ushauri. Leo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani