UNAMPENDA, UNATAKA NDOA LAKINI HUJUI PA KUANZIA?-2
![](http://api.ning.com:80/files/BPpJiWHQYV1AUDkv9LzgivOCffRLyEwwRv1E1PLmNgg-Ut2w8Dp-aAQT2ApULCzno8M35y6oovVXrQ1AKncARZeLgzIIeeGJ/xxlove.jpg)
Asalaam aleikum msomaji wa safu hii nzuri, ni matumaini yangu kwamba uko poa, nakukaribisha tena kwenye uwanja huu mzuri tujadili kuhusu mambo mbalimbali yahusuyo mapenzi. Wiki iliyopita tulianza kujadili mbinu zinazoweza kumvuta mwanamke au mwanaume unayempenda na hatimaye mkafikia hatua ya kuishi pamoja mkiwa kama mume na mke. Nakushukuru wewe uliyetuma ujumbe nakueleza jinsi ulivyoguswa na mada hiyo au kutoa ushauri. Leo...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/FkLMylrJqnUvpS6-g7MUUOr-nOKfvG55Ikc*E6rDoy71eEDggHkxff6yET--HzPpIOvc8-5bNISaP3vwtvK9A6U292PnOSdV/youngcoupletalkinginsuranceplanfinance001.jpg)
UNAMPENDA, UNATAKA NDOA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HRXB3pTHxIq9NZmNQq7EJK7NE74q4NTk9yUvRHAe1BMj2cBqP4AJI6tYpyySCg7PKfBb3FWL7BkG26PhiqvkBl888vGgdr4j/lOVE.gif?width=650)
KOSA DOGO UNATAKA MUACHANE, UNAMPENDA KWELI AU UNAZUGA?
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/4Ejr0qlHpqKDmqH4kb3JWCSXV514zpypF*tgR0F9Z1b7MnHPNOzI6KJ9aGxniMcsdThSpIuH-I0NBnL11fTZ0x6miGQoYmim/mahaba.jpg?width=650)
AMEKUSALITI, LAKINI BADO UNAMPENDA?-2
10 years ago
Vijimambo03 Oct
AMEKUSALITI, LAKINI BADO UNAMPENDA?
![](http://uptownmagazine.com/files/2012/09/black-couple-technology-fight.jpg)
Mada yetu ya leo, kama inavyojieleza kwenye kichwa cha habari, ni mambo unayopaswa kuyafanya unapogundua mpenzi wako amekusaliti wakati bado unampenda na unahitaji kuendelea kuwa naye katika uhusiano wa kimapenzi.
Vitabu vya dini zote vinaeleza kuwa kosa pekee linaloweza kuivunja ndoa, hata ile...
9 years ago
Global Publishers16 Dec
Hujui? Wee mwenyewe ndo’ unamchepua mwenzio!
Leo shoga nina hasira na akina mama wanaodorora kwenye mahanjamu, ambao hawajui muda wa mume kupata chakula cha usiku au hawawapi nafasi waume zao pale wanapowahitaji.
Kutokana na hasira hizi hata salamu naona ngumu kuwapa kwani pointi zangu zitayeyuka, hivi mashosti hamjui mwanaume akishakuwa na stimu ya kula chakula hutakiwi kumkatisha?
Ndiyo maana wengi wenu mnalalamika kutoridhika, mara ooh mume wangu hana hamu siku zote.
Atakuwaje na hamu wakati akiwa nayo unamdengulia? Naamua kuwapa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bdG71GPfFwF8PVZcVClKuzaKbYqZoe6oRQbCVHEIDZg-urHsk0J-Fn7NyrZ*HAO0nr5eKG3Qwc9KEbsFWfxjdCk8O8y5iFuV/mahaba.jpg)
LEOLEO HAPANA, LAKINI UNATAKA VOCHA?
9 years ago
BBCSwahili23 Aug
Je unataka ndoa yako iwe na mvuto?
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/kpD37olj0H15oPKOFxx0C57ujRN-2WXz4A2eLhZ-rzGBTlkv*LHfLkgHqucj9LaBimuFqrMDklAblV1vbezmsIikOJguII1W/MenCantResistAboutAWoman.jpg?width=650)
UNAINGILIA NDOA YA MWANAO UNATAKA AKUOE WEWE?-2
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ccv79ba4KWDfBYFF9CYSpAFARmBTHJasQ7Ap-2OZ1G75MHyEQLbNwSD1qdBM8QT2BXF2j71ytjeLTaaJ52rL9KQq8qf3GlGp/couple85620250.jpg?width=650)
UNAINGILIA NDOA YA MWANAO UNATAKA AKUOE WEWE?