Hujui? Wee mwenyewe ndo’ unamchepua mwenzio!
Leo shoga nina hasira na akina mama wanaodorora kwenye mahanjamu, ambao hawajui muda wa mume kupata chakula cha usiku au hawawapi nafasi waume zao pale wanapowahitaji.
Kutokana na hasira hizi hata salamu naona ngumu kuwapa kwani pointi zangu zitayeyuka, hivi mashosti hamjui mwanaume akishakuwa na stimu ya kula chakula hutakiwi kumkatisha?
Ndiyo maana wengi wenu mnalalamika kutoridhika, mara ooh mume wangu hana hamu siku zote.
Atakuwaje na hamu wakati akiwa nayo unamdengulia? Naamua kuwapa...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BPpJiWHQYV1AUDkv9LzgivOCffRLyEwwRv1E1PLmNgg-Ut2w8Dp-aAQT2ApULCzno8M35y6oovVXrQ1AKncARZeLgzIIeeGJ/xxlove.jpg)
UNAMPENDA, UNATAKA NDOA LAKINI HUJUI PA KUANZIA?-2
10 years ago
Vijimambo07 Oct
USIJE UKAMTAFUTA MCHAWI KWENYE NDOA YAKO HABARI NDIYO HII JITIRIRSHE MWENYEWE LIVE BILA KING'AMUZI
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/590/amz/worldservice/live/assets/images/2014/10/07/141007141807_short_men_1.jpg)
Wanaume ambao ni wafupi kwa kimo mara nyingi wanasifika kuwa waume bora kuliko wanaume warefu.
Pia inaarifiwa huwa na busara zaidi kufidia kimo chao, amekiri Adam Gopnik, mwanamme mmoja wenye umbo dogo.Wiki kadhaa zilizopita, wana soshologia wawili kutoka Chuo Kikuu cha New York, walichapisha waraka mrefu ulioangalizia maisha ya watu wafupi.
Utafiti wao ulizua mjadala mkali kutoka kwa kile kinachoweza kusemekana kuwa...
10 years ago
Mwananchi30 Aug
Busara ni kukubali kuwa hujui kila kitu
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/oJI0y6HlVvTALdHvSNvSIm-Xn8s7UfRivp0DIWlOp-tFqgA6Id3oy4oRgvzFyBMtRkWNqQSwnqozzQIoI6TIqb31DdtgrHXI/Loves.jpg)
UNAJIAMINI NINI KUMPENDA MTU AMBAYE HUJUI HISTORIA YAKE?
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eGJdezr2p4VCpdnaUHLaibGmjjWbKgZtg2NuBeR8xNguojquVlcPHcEnSR8OMKTzT9uGIvq8p-y3GNmJr94s9pGqEjCq32Ua/CHEKANAKITIME.jpg?width=650)
SINDANO WEE ZISIKIE TU!
10 years ago
TheCitizen11 Jul
CC meets until the wee hours
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/QgF49CmXFSaRm-qFBUuITTVR9OeNGi-QrFB8YTzFFtRbgpJ*ovwsVGGk9CAjr6NeHiuKvVaR9hYl5S*YauAo37*R8tPdyI5K/MAHABA.jpg)
UVIVU WAKO NI SABABU YA MWENZIO KUCHEPUKA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xtBPm6ISfdCdneNmJR0dtfuRgvStX7wfvfMKo1PGXtpTqh794YPFF7DHDfgrHhcXvF7zG*DC9zMwecchw6ehgJssNwFWvGLI/mahaba.jpg)
UVIVU WAKO NI SABABU YA MWENZIO KUCHEPUKA-3
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3BUwwLuJMnQc6CP8qG91kxWVNUqc92Xo5qRyUw355GyVe*IptNnTnxUZal0xZbb-FdVSVnyLjFswQk00WBAaVWMqNHu8Psp0/CHEKANAKITIME.jpg)
UNAVUKA ZEBRA CROSSING WEE PUNDAMILIA?