UVIVU WAKO NI SABABU YA MWENZIO KUCHEPUKA-3
![](http://api.ning.com:80/files/xtBPm6ISfdCdneNmJR0dtfuRgvStX7wfvfMKo1PGXtpTqh794YPFF7DHDfgrHhcXvF7zG*DC9zMwecchw6ehgJssNwFWvGLI/mahaba.jpg)
Kwa mwanamke ni hatari zaidi, kwani kwa wanaume wasio na uvumilivu, mwisho wa siku huishia kubakwa. Hata hivyo, mara nyingi hiyo haiishii hapo, tatizo hukua zaidi na zaidi kulingana na jinsi mgogoro wa kuwekeana ‘kauzibe’ unavyoshamiri ndani ya nyumba. Ukiweza kumudu kumfurahisha mwenzi wako, anachokihitaji ukimpa kwa wakati. Maana yake atazidi kukuona lulu. Kila akiwa na wewe atajiona yupo huru kuomba huduma wakati...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/QgF49CmXFSaRm-qFBUuITTVR9OeNGi-QrFB8YTzFFtRbgpJ*ovwsVGGk9CAjr6NeHiuKvVaR9hYl5S*YauAo37*R8tPdyI5K/MAHABA.jpg)
UVIVU WAKO NI SABABU YA MWENZIO KUCHEPUKA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vMQ5RJcyKDCD3K00oF-QriowL1jD2ejrYhhvdjTVNq6AsJ9VbBjlQ7LGHimcIcJddTRRKIxMRQIsjvYQzCceTISo33QJkB8L/GUFUUD.jpg?width=650)
ZIJUE SABABU ZA WANAUME KUCHEPUKA!-2
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ltz8IQUQkiLIFsOdU5KFMlZqYt9dnf-37D0p4A7T1vAEvFdjrhktDR1NWvDlzjjxAA8jgvpVGDNvUwmA4Ef88O9L2tpf5E9G/mahaba.jpg?width=650)
ZIJUE SABABU ZA WANAUME KUCHEPUKA!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NQs0dYxvfMX1So1uRqz*MY4f6-Hls5Qsb4CiAZ2ak*CFaYLOBzi8MHr9Z8UxRI7qeRjQESpflhbjaSrOsrOnodhUs8V8WabT/cheatingboyfriendhusband.jpg?width=650)
SABABU ZA MWANAMKE KUCHEPUKA HIZI HAPA!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*tHd*uipNJBfuMZS9ygOnYGh-POofUNp1Jdse-43Dx7O1AcM-hcqxKL161-Qc5lcbpAzvwDJrpaenSOIVw61NaO0LsCLxXZw/mahaba.jpg?width=650)
SABABU ZA BAADHI YA WANANDOA KULAZIMIKA KUCHEPUKA!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Vf77AmMaeXsiVk1nrwCqmYOE2wGQ5J2S4-yM0HnvEDcnIznWNFuLG3-DmNCsLjt0QTuQHpKr5-GjA6AN1fKC-G5EmkFhx0uO/mahaba.jpg?width=650)
HUNA SABABU YA KUUWEKA MOYO WAKO REHANI!
10 years ago
Raia Tanzania16 Jul
Kijana ni wajibu wako, sababu ndiyo kesho yako
Ukiuliza watu mtaani Siasa ni nini? bila kusita watakuambia, Siasa ni wongo, ushirikina, utapeli, ni lugha ya mficho yenye maana ya uovu, uongo na laana. Tafsiri hii ya neno siasa imesababisha kutokea kwa makundi mawili, kundi la kwanza ni la watu ambalo ndio kundi kubwa wanaichukia na kujitenga na siasa na kundi dogo la watu wanaipenda na kuikumbatia.
Mjadala huu utajikita zaidi katika kuangalia kundi hili kubwa la watu ambao wanaichukia na kujitenga na siasa. Takwimu zinaonyesha kuwa...
9 years ago
Global Publishers16 Dec
Hujui? Wee mwenyewe ndo’ unamchepua mwenzio!
Leo shoga nina hasira na akina mama wanaodorora kwenye mahanjamu, ambao hawajui muda wa mume kupata chakula cha usiku au hawawapi nafasi waume zao pale wanapowahitaji.
Kutokana na hasira hizi hata salamu naona ngumu kuwapa kwani pointi zangu zitayeyuka, hivi mashosti hamjui mwanaume akishakuwa na stimu ya kula chakula hutakiwi kumkatisha?
Ndiyo maana wengi wenu mnalalamika kutoridhika, mara ooh mume wangu hana hamu siku zote.
Atakuwaje na hamu wakati akiwa nayo unamdengulia? Naamua kuwapa...