Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UVIVU WAKO NI SABABU YA MWENZIO KUCHEPUKA-3

Kwa mwanamke ni hatari zaidi, kwani kwa wanaume wasio na uvumilivu, mwisho wa siku huishia kubakwa. Hata hivyo, mara nyingi hiyo haiishii hapo, tatizo hukua zaidi na zaidi kulingana na jinsi mgogoro wa kuwekeana ‘kauzibe’ unavyoshamiri ndani ya nyumba. Ukiweza kumudu kumfurahisha mwenzi wako, anachokihitaji ukimpa kwa wakati. Maana yake atazidi kukuona lulu. Kila akiwa na wewe atajiona yupo huru kuomba huduma wakati...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

UVIVU WAKO NI SABABU YA MWENZIO KUCHEPUKA

Kuna watu ambao wamekuwa hodari kujisifu kuwa wao hutoa unyumba kwa ‘kibaba’. Yaani huwapimia wenzi wao. Kwa mitazamo yao, hujiona wapo sahihi. Tabia hii ipo kwa wanawake zaidi, japo kuna wanaume ambao nao ni wagumu kutekeleza mahitaji ya wapenzi wao. Hata hivyo, kuna kitu cha kuweka sawa hapa; Wakati mwanamke anapobana ‘staftahi’ kwa mwenzake, huhesabika ni mchoyo! Kwa mwanaume yeye huonekana ni goigoi....

 

10 years ago

GPL

ZIJUE SABABU ZA WANAUME KUCHEPUKA!-2

NI matumaini yangu wapenzi wasomaji wa safu hii mko poa. Leo tunamalizia vipengele vilivyosalia wiki iliyopita, ungana nami. 6.Karaha
Hili pia ni tatizo la wanawake ambalo hawapendi kulikubali. Karaha nyumbani dhidi ya mwanaume huweza kumfanya ajisikie kuhitaji faraja nje ya nyumba. Na wanawake wengi wakimuona mwanaume yupo peke yake baa, hujua kuwa atakuwa amekimbia maudhi ya mkewe na anahitaji faraja. 7.Huruma ya wanawake
...

 

10 years ago

GPL

ZIJUE SABABU ZA WANAUME KUCHEPUKA!

Mambo vipi msomaji wa safu hii. Bila shaka unaendelea vizuri na harakati zako za kimapenzi na kwa mara nyingine upo tena katika safu hii ili kufuatilia nini kimejiri. Moja ya tatizo kubwa kabisa linalowasumbua wapenzi wengi ni tabia ya kutoaminiana baina yao. Kila mmoja hudhani mwenzake anakwenda kinyume na hili, mara nyingi lawama huenda zaidi kwa wanaume kwani ni wepesi kuchepuka.
Zifuatazo ni baadhi ya sababu...

 

10 years ago

GPL

SABABU ZA MWANAMKE KUCHEPUKA HIZI HAPA!

Wapenzi wasomaji kumekuwa na manenomaneno kwamba, baadhi ya wanawake wamekuwa na mwanaume zaidi ya mmoja, lakini nimefanya utafiti na kubaini wanaosababisha tabia hiyo ya michepuko ni wanaume ambao wameingia nao kwenye uhusiano. KWA NINI NASEMA HIVI?
Utakuta mwanamke alimpenda mwanaume fulani kwa sababu ya kufuata huduma na jinsi anavyomjali na kumheshimu ikiwa ni pamoja na kumjaza katika nafsi yake, pengine ndiyo anavyopenda au...

 

11 years ago

GPL

SABABU ZA BAADHI YA WANANDOA KULAZIMIKA KUCHEPUKA!

Kiukweli kabisa mchepuko siyo dili kwa kuwa wengi waliochepuka wamejikuta kwenye matatizo makubwa sana. Ndiyo maana tunashauriwa kubaki njia kuu kwa kujenga uaminifu kwa wale tuliotokea kuwapenda na kutodiriki kuwasaliti. Lakini wakati ukweli ukiwa hivyo, kasi ya kusalitiana kwa wapenzi imekuwa ikiongezeka kila kukicha. Utulivu umekuwa sifuri, unayedhani katulia kesho utasikia kafumaniwa. Unaweza kuwa na mpenzi ambaye kila mara...

 

11 years ago

GPL

HUNA SABABU YA KUUWEKA MOYO WAKO REHANI!

MAPENZI ni sanaa yenye wigo mpana sana. Unahitajika uwe mbunifu sana ili uweze kuendelea kuwa bora kwa mpenzi wako kila siku. Lazima uwe mtafutaji wa kitu kipya ili uweze kuwa wa tofauti kwa mwenzako. Huwezi kuwa yuleyule, ikiwa hivyo maana yake utakinaiwa. Naam! All About Love ni safu nzuri kwako kwa ajili ya kuongeza maarifa na kukufanya uendelee kuwa bora zaidi kwa mpenzi wako. Ndugu zangu, mapenzi ni furaha. Huna sababu ya...

 

10 years ago

Raia Tanzania

Kijana ni wajibu wako, sababu ndiyo kesho yako

Ukiuliza watu mtaani Siasa ni nini? bila kusita watakuambia, Siasa ni wongo, ushirikina, utapeli, ni lugha ya mficho yenye maana ya uovu, uongo na laana. Tafsiri hii ya neno siasa imesababisha kutokea kwa makundi mawili, kundi la kwanza ni la watu ambalo ndio kundi kubwa wanaichukia na kujitenga na siasa na kundi dogo la watu wanaipenda na kuikumbatia.

Mjadala huu utajikita zaidi katika kuangalia kundi hili kubwa la watu ambao wanaichukia na kujitenga na siasa. Takwimu zinaonyesha kuwa...

 

9 years ago

Global Publishers

Hujui? Wee mwenyewe ndo’ unamchepua mwenzio!

julianadidone3Leo shoga nina hasira na akina mama wanaodorora kwenye mahanjamu, ambao hawajui muda wa mume kupata chakula cha usiku au hawawapi nafasi waume zao pale wanapowahitaji.

Kutokana na hasira hizi hata salamu naona ngumu kuwapa kwani pointi zangu zitayeyuka, hivi mashosti hamjui mwanaume akishakuwa na stimu ya kula chakula hutakiwi kumkatisha?

Ndiyo maana wengi wenu mnalalamika kutoridhika, mara ooh mume wangu hana hamu siku zote.

Atakuwaje na hamu wakati akiwa nayo unamdengulia? Naamua kuwapa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani