Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HUNA SABABU YA KUUWEKA MOYO WAKO REHANI!

MAPENZI ni sanaa yenye wigo mpana sana. Unahitajika uwe mbunifu sana ili uweze kuendelea kuwa bora kwa mpenzi wako kila siku. Lazima uwe mtafutaji wa kitu kipya ili uweze kuwa wa tofauti kwa mwenzako. Huwezi kuwa yuleyule, ikiwa hivyo maana yake utakinaiwa. Naam! All About Love ni safu nzuri kwako kwa ajili ya kuongeza maarifa na kukufanya uendelee kuwa bora zaidi kwa mpenzi wako. Ndugu zangu, mapenzi ni furaha. Huna sababu ya...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Kama unapata hela huna budi kuwekeza kwenye muziki wako – Master J

MasterJ

Mtayarishaji mkongwe wa muziki na mwanzilishi wa MJ Records, Master J, amesema muziki wa Tanzania ulipofika ni wakati wa wasanii kujitambua na kwendana na wakati kuanzia kazi zao hadi muonekano kwa watu.

MasterJ

Akizungumza katika kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio wiki iliyopita, Master J alisema ni vizuri msanii awe na timu itakayomsaidia kuboresha muziki wake.

“Unajua kama msanii ukishafika level fulani kwenye jamii au soko lolote, kwenye macho ya watu umekuwa kama brand tuseme,...

 

10 years ago

GPL

OYA MWANA, NGUVU HUNA MKWANJA HUNA..HATA MKWARA?

Saluti kwa wanangu wote tunaochekiana kwa mafoni deile kupeana madini ya kuwalisha masela. Inakuwaje kwa kitaa hiyo ya bee machalii? Ni mpango mzima? Selaa huku kwa fasi ya tauni Bongo tambarare watu tunakabana makoo ileile. Ilimradi tu mwisho wa dei vichwa visomeke. Ama nini? Kaa humu wewe uwe mjanja wangu. Ebana tudei no mboyoyo mingi kozi laifu liko resi hatare. Kuna mwanangu Chuma au Benz ana bonge la talenti kwenye gemu la...

 

11 years ago

GPL

USIRUHUSU MAPENZI YAUTESE MOYO WAKO - 2

DARASA linaendelea hapa kwenye Let’s Talk About Love. Bila shaka unajifunza mambo mengi ya msingi yanayokufanya uzidi kuwa bora katika uhusiano wako.Inawezekana bado kuna mtu anakusumbua, umejaribu kumbembeleza lakini hataki kukubaliana nawe, huyo hakufai. Mapenzi hayapo ili yatutese,  badala yake mapenzi yapo kwa ajili ya kutupa faraja.
Muondoe akilini mwako mtu wa aina hiyo, kwani atakufanya uyaone maisha kwa...

 

11 years ago

GPL

USIRUHUSU MAPENZI YAUTESE MOYO WAKO!

NATUMAINI hamjambo wasomaji wangu na kama unasumbuliwa na jambo lolote, iwe kiafya au kiuchumi naomba usikate tamaa kwani matatizo ni sehemu ya maisha, jambo la muhimu ni kumuomba Mungu na kujaribu kutafuta suluhu ya tatizo hilo. Baada ya kusema hayo, basi tuingie moja kwa moja kwenye mada yetu kama inavyojieleza hapo juu. Ni wazi kwamba mapenzi yanachukua nafasi kubwa sana katika maisha ya binadamu, na ipo dhahiri kwamba...

 

10 years ago

Michuzi

UFAHAMU VYEMA MOYO WAKO "CARDIAC ARRHYTHMIA"

‘Cardiac Arrhythmia’ ni pale mtu anapokuwa na mapigo ya moyo yasiyo ya kawaida au yanayodunda sana. 

Mwili una mfumo asili wa umeme unaosaidia moyo kufanya kazi. Mfumo huu husababisha moyo kutanuka na kusinyaa ambapo husababisha damu kuingia na kutoka kwenye moyo; umeme kwa kawaida hufuata mkondo na mapigo ya moyo kwa kasi ya kawaida. 

Ingawa, kama mkondo wa kawaida wa umeme huu ukivurugwa moyo hushindwa kufanya kazi na kusababisha mapigo ya moyo ama kwenda taratibu sana, haraka sana au...

 

11 years ago

GPL

UTENDEE HAKI MOYO WAKO UNGANA NA UNAYEMPENDA KWA DHATI! - 2

TUNAENDELEA kujifunza kuhusu hisia, kupenda na kuutendea haki moyo. Marafiki zangu, moyo ndiyo wenye ukweli wa wapi unapenda lakini akili huongoza na wakati mwingine kulazimisha. Wakati mwingine wapo watu ambao wamejikuta wakiingia kwenye uhusiano kwa kujilazimisha tu; kuangalia matamanio ya kawaida ya kibinadamu ambayo kimsingi huongozwa na akili na utashi.
Hilo ni jambo baya ambalo, mwisho wake husababisha matatizo makubwa....

 

11 years ago

GPL

UTENDEE HAKI MOYO WAKO, UNGANA NA UNAYEMPENDA KWA DHATI!

HEBU jiulize kwa nafasi yako hapo ulipo, unautendea haki moyo wako? Mpenzi uliyenaye unampenda au unajilazimisha kuwa naye?
Somo la leo litakupa mwanga wa kujua haki ya moyo na tamaa za mwili wako ni kipi sahihi kutendewa haki. Elewa kuwa mapenzi ni sehemu ya maisha yetu na kwa hakika maisha yetu hayawezi kukamilika bila kuwepo mapenzi.Ninapozungumza juu ya mapenzi namaanisha yale yanayotoka moyoni mwa mtu mmoja kwenda kwa...

 

10 years ago

GPL

UMEMPA MOYO WAKO WOTE HALAFU AKAKUTENDA? SOMA HAPA!

JUMAMOSI nyingine Mungu ametujalia mimi na wewe msomaji wangu tunakutana katika safu yetu na kuweza kubadilishana yahusuyo ulingo wa uhusiano. Kama ilivyo kawaida hapa tunajadili mada mbalimbali ambazo hakika zinakupa elimu kubwa. Mada iliyopo hapo juu inajieleza. Ni dhahiri kwamba wapo watu wengi ambao walianzisha uhusiano, wakajitoa kwa moyo na akili zote kwa wapendwa wao kisha wakaambulia maumivu ya moyo. Wameachika katika...

 

11 years ago

GPL

UVIVU WAKO NI SABABU YA MWENZIO KUCHEPUKA-3

Kwa mwanamke ni hatari zaidi, kwani kwa wanaume wasio na uvumilivu, mwisho wa siku huishia kubakwa. Hata hivyo, mara nyingi hiyo haiishii hapo, tatizo hukua zaidi na zaidi kulingana na jinsi mgogoro wa kuwekeana ‘kauzibe’ unavyoshamiri ndani ya nyumba. Ukiweza kumudu kumfurahisha mwenzi wako, anachokihitaji ukimpa kwa wakati. Maana yake atazidi kukuona lulu. Kila akiwa na wewe atajiona yupo huru kuomba huduma wakati...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani