OYA MWANA, NGUVU HUNA MKWANJA HUNA..HATA MKWARA?
![](http://api.ning.com:80/files/BM3*tIQqFL92Z-E7SGpqh*gJBDxh42E3Gyp-g3sW9lGWAC7RLZRSBQNIwXX*c65n68osH7FI9ceiJjwmjXmybsP-Nha7Ox1U/pppppek.jpg)
Saluti kwa wanangu wote tunaochekiana kwa mafoni deile kupeana madini ya kuwalisha masela. Inakuwaje kwa kitaa hiyo ya bee machalii? Ni mpango mzima? Selaa huku kwa fasi ya tauni Bongo tambarare watu tunakabana makoo ileile. Ilimradi tu mwisho wa dei vichwa visomeke. Ama nini? Kaa humu wewe uwe mjanja wangu. Ebana tudei no mboyoyo mingi kozi laifu liko resi hatare. Kuna mwanangu Chuma au Benz ana bonge la talenti kwenye gemu la...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LDRZ*VdxUTF*O3NKbKeRfmKJrc9IsyEELF0D5Wz2Qg5BpzpU5Oxp3QvkMNIELb7uGTPDpkKLwGqKVEqCG*lzGpIBcQs2VCu4/mpekkeppekkke.jpg?width=650)
OYA MWANA, MWENYE MKWANJA HANUNIWI!
10 years ago
Bongo517 Oct
Kama huna ujuzi unaohitajika na mwajiri, Unafanyaje?
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Vf77AmMaeXsiVk1nrwCqmYOE2wGQ5J2S4-yM0HnvEDcnIznWNFuLG3-DmNCsLjt0QTuQHpKr5-GjA6AN1fKC-G5EmkFhx0uO/mahaba.jpg?width=650)
HUNA SABABU YA KUUWEKA MOYO WAKO REHANI!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/p9piKYn1mVI768TIb6Y8bh7fl3KWhcUBQlOujnZHvh-teEMPlUJj*GaDAeoo4J9NVkm-yVXFQdc-vIplJ5OkHeP9c3MDS-qn/Love.jpg)
KAMA HUNA BAHATI YA KUPENDWA, TATIZO LIKO WAPI?
9 years ago
Habarileo17 Dec
Mtoto hajui KKK mwalimu mkuu kazi huna -Manyanya
NAIBU Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi, Stella Manyanya amesema kuanzia mwakani serikali itawafukuza kazi walimu wakuu wa shule zote za msingi ambazo wanafunzi wake wa Darasa la Tatu watashindwa Kusoma, Kuandika na Kuhesabu (KKK).
9 years ago
Bongo514 Dec
Kama unapata hela huna budi kuwekeza kwenye muziki wako – Master J
![MasterJ](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/09/MasterJ-300x194.jpg)
Mtayarishaji mkongwe wa muziki na mwanzilishi wa MJ Records, Master J, amesema muziki wa Tanzania ulipofika ni wakati wa wasanii kujitambua na kwendana na wakati kuanzia kazi zao hadi muonekano kwa watu.
Akizungumza katika kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio wiki iliyopita, Master J alisema ni vizuri msanii awe na timu itakayomsaidia kuboresha muziki wake.
“Unajua kama msanii ukishafika level fulani kwenye jamii au soko lolote, kwenye macho ya watu umekuwa kama brand tuseme,...
9 years ago
Bongo502 Oct
Tekno kwa Diva: Wewe ni msichana mrembo kwanini huna mpenzi?” Sikiliza mahojiano yao ya kuvutia hapa (Audio)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-O5-YbPMRe24/Xu-NcOK7KSI/AAAAAAACOEw/GbcYspEzT7YvxJhaqbQnPtBZU73UKDv_ACLcBGAsYHQ/s72-c/HS.jpg)
HOJA MTAMBUKA: MEMBE ACHANA NA NDOTO KUBALI YAISHE, MUDA SI RAFIKI KWAKO TENA NA HUNA UBAVU WA KUMNYANYUA DK. MAGUFILI KWENYE KITI CHA URAIS
![](https://1.bp.blogspot.com/-O5-YbPMRe24/Xu-NcOK7KSI/AAAAAAACOEw/GbcYspEzT7YvxJhaqbQnPtBZU73UKDv_ACLcBGAsYHQ/s200/HS.jpg)
Kwa uwezo na maarifa ya Membe kwa taifa alipaswa kuwa mstari wa mbele kueneza mambo mazuri yanayofanywa na serikali na si kuwa sehemu ya kuanzisha taharuki zisizokuwa na mantiki kwa taifa na hasa sisi vijana, ambao tunaamini wao ndio wakutuongoza vyema na si...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JUluVB-wEZRoN9ZlHFY*RzkN9m8eKafHtqsqKa8YxSUU18Ll8kG8FFyDmVNf6AihuXyNLxqG7Mvi*ae6ZJwfRYqDktG93DCj/mpekepekecopy.jpg)
OYA MWANA KAMWE MKAA HAUOSHWI!