HOJA MTAMBUKA: MEMBE ACHANA NA NDOTO KUBALI YAISHE, MUDA SI RAFIKI KWAKO TENA NA HUNA UBAVU WA KUMNYANYUA DK. MAGUFILI KWENYE KITI CHA URAIS
![](https://1.bp.blogspot.com/-O5-YbPMRe24/Xu-NcOK7KSI/AAAAAAACOEw/GbcYspEzT7YvxJhaqbQnPtBZU73UKDv_ACLcBGAsYHQ/s72-c/HS.jpg)
KUNA nyakati lazima ukubali kushindwa na kuendelea na mambo mengine. Ndicho anachotakiwa kukifanya aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernad Membe hasa kutokana na namna anavyozicheza siasa zake mara kwa mara.
Kwa uwezo na maarifa ya Membe kwa taifa alipaswa kuwa mstari wa mbele kueneza mambo mazuri yanayofanywa na serikali na si kuwa sehemu ya kuanzisha taharuki zisizokuwa na mantiki kwa taifa na hasa sisi vijana, ambao tunaamini wao ndio wakutuongoza vyema na si...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi30 Oct
Profesa Kitila: Lowassa kubali yaishe
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/13SlHjEdb8PSRoN6GPV4o-F9YnZYxAyPbprSWoOFOYBBLJXPCmWplWn-I3UiUK0G4B6Er4vyZAkCjxwhRsk*4aH3C-*fxIwg/unnamed1.jpg?width=650)
AUNTY LULU: WASTARA KUBALI YAISHE
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-8KzJQw86DUU/XuXiVWEiCmI/AAAAAAACNRU/PnFKIPmOu8cURbKL4_AUhazxQgfAbZujwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200614_112330.jpg)
HOJA MTAMBUKA YA SAID MWINSHEHE
![](https://1.bp.blogspot.com/-8KzJQw86DUU/XuXiVWEiCmI/AAAAAAACNRU/PnFKIPmOu8cURbKL4_AUhazxQgfAbZujwCLcBGAsYHQ/s200/IMG_20200614_112330.jpg)
LAZIMA tukubaliane kabisa na wewe ambaye umeamua kwa hiyari yako kusoma hiki ambacho nakiandika. Tukubaliane tu utasoma kuanzia mwanzo hadi mwisho.Ndio lazima iwe hivyo.
Ujue katika maisha haya kuna watu vichwa ngumu kidogo, yaani hata wewe fikiria unatumia muda mwingi kuandika kitu, alafu anatokea msomaji anasoma hapo juu na kisha anaacha.Sio vizuri jamani...tukubaliane tu leo...
10 years ago
Mwananchi11 Jul
URAIS CCM: Ndoto ya Membe bado ipo upande wake
5 years ago
BBCSwahili04 Mar
Uchaguzi wa Tanzania 2020: Ndoto ya urais ya Membe imeota mbawa?
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-IsjuYXA4MIg/Vfidy64cnfI/AAAAAAAD7oU/IhQ-etKR-KI/s72-c/Trump.jpg)
MJUE MGOMBEA WA KITI CHA URAIS WA MAREKANI NA NINI TUNACHOWEZA KUJIFUNZA KATIKA UCHAGUZI WA URAIS NCHINI TANZANIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-IsjuYXA4MIg/Vfidy64cnfI/AAAAAAAD7oU/IhQ-etKR-KI/s640/Trump.jpg)
Na Mwandishi Maalum
Wakati mdahalo wa pili wa wagombea wa chama cha Republican unasubiriwa kwa hamu usiku wa Jumatano tarehe 16 Septemba, ni vyema kuandika machache kuhusu mgombea Donald Trump ambaye anaendelea kuongoza kura za maoni katika kundi kubwa la wagombea wa chama cha Republican kwenye kinyang’anyiro cha kuwania kuingia Ikulu ya Marekani mwishoni mwa mwaka kesho. Katika kuchambua harakati za Bwana Trump za kuusaka uongozi wa juu wa taifa la Marekani pia tumejaribu...
10 years ago
Habarileo29 Mar
Membe aomba China kusaidia kiti cha Afrika UN
NCHI za bara la Afrika zimeendelea kulilia kiti cha uwakilishi katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa (UN) ili ziweze kujiwakilisha vyema katika kuzungumzia matatizo yao kuliko ilivyo sasa ambapo nchi hizo zinasemewa pasipo uwakilishi wake.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-yRzRf_C6IV0/XktnUMF85XI/AAAAAAALd1A/QrzLL4K0YrIec2T1FpptPv-SXWyjvvyqgCLcBGAsYHQ/s72-c/4bv6e88039ef681lnbc_800C450.jpg)
Chama kikuu cha upinzani cha CNL kimemuidhinisha Agathon Rwasa kuwa mgombea wake wa kiti cha urais
![](https://1.bp.blogspot.com/-yRzRf_C6IV0/XktnUMF85XI/AAAAAAALd1A/QrzLL4K0YrIec2T1FpptPv-SXWyjvvyqgCLcBGAsYHQ/s640/4bv6e88039ef681lnbc_800C450.jpg)
Wajumbe wa chama cha National Congres for Liberty jana walimuidhinisha Rwasa aliye na umri wa miaka 56 kama mgombea wao katika uchaguzi wa Rais wa mwezi Mei.
Agathon Rwasa atachuana katika uchaguzi huo na Jenerali wa jeshi Evariste Ndayishimiye ambaye ni muitifaki wa Nkurunzia. Mwezi uliopita chama tawala Burundi CNDD-FDD kilimchagua jenerali huyo wa jeshi...
9 years ago
BBCSwahili29 Oct
7 kugombea kiti cha urais wa FIFA