Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Profesa Kitila: Lowassa kubali yaishe

Mhadhiri Mwandamizi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Profesa Kitila Mkumbo amesema aliyekuwa mgombea wa urais wa Chadema, Edward Lowassa, hana budi kukubali matokeo licha ya kupoteza nafasi hiyo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

AUNTY LULU: WASTARA KUBALI YAISHE

Gladness Mallya
BAADA ya hivi karibuni wasanii wa filamu waliokuwa wapenzi, Wastara Juma na Bond Suleiman kutengana, Lulu Semagongo ‘Aunty Lulu’ ameibuka na kumshauri staa huyo kukubaliana na matokeo.  Lulu Semagongo ‘Aunty Lulu’. Aunty Lulu aliyewahi kuwa mpenzi wa Bond, alimtaka mwenzake kukubaliana na matokeo kwani huenda muda ndiyo umefika na katika mapenzi, hilo ni jambo la kawaida.… ...

 

5 years ago

CCM Blog

HOJA MTAMBUKA: MEMBE ACHANA NA NDOTO KUBALI YAISHE, MUDA SI RAFIKI KWAKO TENA NA HUNA UBAVU WA KUMNYANYUA DK. MAGUFILI KWENYE KITI CHA URAIS

KUNA nyakati lazima ukubali kushindwa na kuendelea na mambo mengine. Ndicho anachotakiwa kukifanya aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernad Membe hasa kutokana na namna anavyozicheza siasa zake mara kwa mara.

Kwa uwezo na maarifa ya Membe kwa taifa alipaswa kuwa mstari wa mbele kueneza mambo mazuri yanayofanywa na serikali na si kuwa sehemu ya kuanzisha taharuki zisizokuwa na mantiki kwa taifa na hasa sisi vijana, ambao tunaamini wao ndio wakutuongoza vyema na si...

 

9 years ago

Mwananchi

Profesa Kitila auponda mdahalo wa amani

Mhadhiri mwandamizi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Profesa Kitila Mkumbo amesema mdahalo wa amani ulioandaliwa na Taasisi ya Mwalimu Nyerere (MNF) ulikuwa ni mazungumzo ya kawaida kwa kuwa haukuwa na mawazo mbadala.

 

10 years ago

Mwananchi

UCHAGUZI UPINZANI 2015: Profesa Kitila Mkumbo

>Profesa Kitila Mkumbo ni Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na mwanaharakati wa masuala ya kisiasa. Alizaliwa Juni 21, 1971 katika Kijiji cha Mgela wilayani Iramba, Singida. (Atatimiza miaka 44 Juni 2015). Profesa Mkumbo hakuwa na bahati ya kulelewa na wazazi, hivyo alisomeshwa kwa misaada ya ndugu na wasamaria wema.

 

10 years ago

Habarileo

Bado tupo na Profesa Kitila, Mwigamba — ACT

Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Alliance for Change and Transparency (ACTTanzania), Shabani Mambo Shabani akizungumza na vyombo vya habari wakati wa Mkutano wa Halmashauri kuu ya chama ilipokutana Dar es Salaam jana. Kushoto ni Katibu Mkuu wa Chama hicho, Samson Mwigamba. (Picha na Mroki Mroki).CHAMA cha Siasa cha Mabadiliko na Uwazi (ACT-Tanzania) kimesema mkutano wa iliyojiita Kamati Kuu ya chama hicho na kutengua uongozi na uanachama wa Katibu Mkuu, Samson Mwigamba na Mshauri wa chama hicho, Profesa Kitila Mkumbo, haukuwa na uhalali.

 

5 years ago

Bongo5

Profesa Kitila awamwagia sifa Dawasco na kutoa agizo hili….

Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji na Umwagiliaji, Profesa Kitila Mkumbo amewamwagia sifa Kampuni ya Usambazaji wa Maji Dar es Salaam (DAWASCO) pamoja na Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka Dar es Salaam, huku akitaka mamlaka hiyo kuongeza kasi ya usambazaji na upatikanaji wa huduma hiyo kwa wananchi.


Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji na Umwagiliaji, Profesa Kitila Mkumbo

Profesa Kitila Mkumbo, wakati akiongea na Menejimenti ya Mamlaka hizo Jijini Dar es Salaam alisema, “Nawapongeza sana Dawasco kwani...

 

10 years ago

Habarileo

Lowassa akubali yaishe Urais CCM

Aliyekuwa Waziri Mkuu, Edward LowassaSIKU moja baada ya Chama cha Mapinduzi (CCM), kumuonya aliyekuwa Waziri Mkuu Edward Lowassa, kwa tuhuma za kukiuka Katiba na kuanza kampeni za Urais kabla ya muda, kiongozi huyo ameibuka na kudai kuwa hana njia ya kuwazuia watu wasimuombe agombee Urais.

 

10 years ago

Vijimambo

Lowassa amponza profesa wa Udom


Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa akiwasalimia wanafunzi kutoka vyuo mbalimbali vya mjini Dodoma na waendesha bodaboda walioandamana kwenda nyumbani kwake mjini humo jana kwa ajili ya kumshawishi achukue fomu ya kuwania Urais katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu. Picha na Anthony Siame
Dar es Salaam. Profesa wa Chuo Kikuu cha Dodoma (Udom), Peter Kopoka amebanwa na uongozi wa chuo hicho kutokana na kushiriki maandamano ya kwenda nyumbani kwa Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa kumshawishi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani