Profesa Kitila: Lowassa kubali yaishe
Mhadhiri Mwandamizi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Profesa Kitila Mkumbo amesema aliyekuwa mgombea wa urais wa Chadema, Edward Lowassa, hana budi kukubali matokeo licha ya kupoteza nafasi hiyo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/13SlHjEdb8PSRoN6GPV4o-F9YnZYxAyPbprSWoOFOYBBLJXPCmWplWn-I3UiUK0G4B6Er4vyZAkCjxwhRsk*4aH3C-*fxIwg/unnamed1.jpg?width=650)
AUNTY LULU: WASTARA KUBALI YAISHE
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-O5-YbPMRe24/Xu-NcOK7KSI/AAAAAAACOEw/GbcYspEzT7YvxJhaqbQnPtBZU73UKDv_ACLcBGAsYHQ/s72-c/HS.jpg)
HOJA MTAMBUKA: MEMBE ACHANA NA NDOTO KUBALI YAISHE, MUDA SI RAFIKI KWAKO TENA NA HUNA UBAVU WA KUMNYANYUA DK. MAGUFILI KWENYE KITI CHA URAIS
![](https://1.bp.blogspot.com/-O5-YbPMRe24/Xu-NcOK7KSI/AAAAAAACOEw/GbcYspEzT7YvxJhaqbQnPtBZU73UKDv_ACLcBGAsYHQ/s200/HS.jpg)
Kwa uwezo na maarifa ya Membe kwa taifa alipaswa kuwa mstari wa mbele kueneza mambo mazuri yanayofanywa na serikali na si kuwa sehemu ya kuanzisha taharuki zisizokuwa na mantiki kwa taifa na hasa sisi vijana, ambao tunaamini wao ndio wakutuongoza vyema na si...
9 years ago
Mwananchi14 Oct
Profesa Kitila auponda mdahalo wa amani
10 years ago
Mwananchi25 May
UCHAGUZI UPINZANI 2015: Profesa Kitila Mkumbo
10 years ago
Habarileo06 Jan
Bado tupo na Profesa Kitila, Mwigamba — ACT
CHAMA cha Siasa cha Mabadiliko na Uwazi (ACT-Tanzania) kimesema mkutano wa iliyojiita Kamati Kuu ya chama hicho na kutengua uongozi na uanachama wa Katibu Mkuu, Samson Mwigamba na Mshauri wa chama hicho, Profesa Kitila Mkumbo, haukuwa na uhalali.
5 years ago
Bongo514 Feb
Profesa Kitila awamwagia sifa Dawasco na kutoa agizo hili….
Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji na Umwagiliaji, Profesa Kitila Mkumbo amewamwagia sifa Kampuni ya Usambazaji wa Maji Dar es Salaam (DAWASCO) pamoja na Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka Dar es Salaam, huku akitaka mamlaka hiyo kuongeza kasi ya usambazaji na upatikanaji wa huduma hiyo kwa wananchi.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji na Umwagiliaji, Profesa Kitila Mkumbo
Profesa Kitila Mkumbo, wakati akiongea na Menejimenti ya Mamlaka hizo Jijini Dar es Salaam alisema, “Nawapongeza sana Dawasco kwani...
10 years ago
Habarileo26 Mar
Lowassa akubali yaishe Urais CCM
SIKU moja baada ya Chama cha Mapinduzi (CCM), kumuonya aliyekuwa Waziri Mkuu Edward Lowassa, kwa tuhuma za kukiuka Katiba na kuanza kampeni za Urais kabla ya muda, kiongozi huyo ameibuka na kudai kuwa hana njia ya kuwazuia watu wasimuombe agombee Urais.
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/PjtcdmWVDDA/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo28 Mar
Lowassa amponza profesa wa Udom
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2662590/highRes/973857/-/maxw/600/-/142ys6bz/-/lowassa.jpg)
Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa akiwasalimia wanafunzi kutoka vyuo mbalimbali vya mjini Dodoma na waendesha bodaboda walioandamana kwenda nyumbani kwake mjini humo jana kwa ajili ya kumshawishi achukue fomu ya kuwania Urais katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu. Picha na Anthony Siame
Dar es Salaam. Profesa wa Chuo Kikuu cha Dodoma (Udom), Peter Kopoka amebanwa na uongozi wa chuo hicho kutokana na kushiriki maandamano ya kwenda nyumbani kwa Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa kumshawishi...