Membe aomba China kusaidia kiti cha Afrika UN
NCHI za bara la Afrika zimeendelea kulilia kiti cha uwakilishi katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa (UN) ili ziweze kujiwakilisha vyema katika kuzungumzia matatizo yao kuliko ilivyo sasa ambapo nchi hizo zinasemewa pasipo uwakilishi wake.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-O5-YbPMRe24/Xu-NcOK7KSI/AAAAAAACOEw/GbcYspEzT7YvxJhaqbQnPtBZU73UKDv_ACLcBGAsYHQ/s72-c/HS.jpg)
HOJA MTAMBUKA: MEMBE ACHANA NA NDOTO KUBALI YAISHE, MUDA SI RAFIKI KWAKO TENA NA HUNA UBAVU WA KUMNYANYUA DK. MAGUFILI KWENYE KITI CHA URAIS
![](https://1.bp.blogspot.com/-O5-YbPMRe24/Xu-NcOK7KSI/AAAAAAACOEw/GbcYspEzT7YvxJhaqbQnPtBZU73UKDv_ACLcBGAsYHQ/s200/HS.jpg)
Kwa uwezo na maarifa ya Membe kwa taifa alipaswa kuwa mstari wa mbele kueneza mambo mazuri yanayofanywa na serikali na si kuwa sehemu ya kuanzisha taharuki zisizokuwa na mantiki kwa taifa na hasa sisi vijana, ambao tunaamini wao ndio wakutuongoza vyema na si...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-goH0lq5j2Fc/VLjwSjWFF_I/AAAAAAABCq4/hEJNk-vuecI/s72-c/DSC_0025.jpg)
MWEYEKITI WA CHUO CHA KARATE NCHINI TANZANIA AOMBA MASHIRIKA MBALIMBALI KUSAIDIA MCHEZO WA KARATE
Akizungumza jijini Dar es Salaam,Rwezaula ameitaka Serikali pamoja na Makampuni yeyote kuusaidia mchezo huo wa Karate,pia ameitaka Serikali kuacha kudhamini michezo mingine kama mpira wa miguu na mashindano ya urembo.
Kwa upande wake, Bingwa wa Dunia katika mchezo wa Karate, Rutashobya Ringo amewataka Watanzania kuwa na nidhamu...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-yRzRf_C6IV0/XktnUMF85XI/AAAAAAALd1A/QrzLL4K0YrIec2T1FpptPv-SXWyjvvyqgCLcBGAsYHQ/s72-c/4bv6e88039ef681lnbc_800C450.jpg)
Chama kikuu cha upinzani cha CNL kimemuidhinisha Agathon Rwasa kuwa mgombea wake wa kiti cha urais
![](https://1.bp.blogspot.com/-yRzRf_C6IV0/XktnUMF85XI/AAAAAAALd1A/QrzLL4K0YrIec2T1FpptPv-SXWyjvvyqgCLcBGAsYHQ/s640/4bv6e88039ef681lnbc_800C450.jpg)
Wajumbe wa chama cha National Congres for Liberty jana walimuidhinisha Rwasa aliye na umri wa miaka 56 kama mgombea wao katika uchaguzi wa Rais wa mwezi Mei.
Agathon Rwasa atachuana katika uchaguzi huo na Jenerali wa jeshi Evariste Ndayishimiye ambaye ni muitifaki wa Nkurunzia. Mwezi uliopita chama tawala Burundi CNDD-FDD kilimchagua jenerali huyo wa jeshi...
10 years ago
Habarileo27 Oct
Kikwete aomba madaktari China
TANZANIA imeiomba Jamhuri ya Watu wa China kuongeza idadi ya madaktari wake, inaowatuma Tanzania kama msaada kutoa huduma ya tiba kama njia ya kuzidi kusaidia kukabiliana na upungufu wa madaktari nchini.
10 years ago
MichuziWaziri Membe aanzisha Mfuko Maalum kusaidia Wanafunzi Elimu ya Juu
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-FjC7WipaEHU/VRHO6Iiy0jI/AAAAAAAHM94/8wlGNw6wTVA/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-03-24%2Bat%2B11.51.44%2BPM.png)
BALOZI WA CHINA NCHINI NA MHE. MASELE WAZUNGUMZA JUU YA MKUTANO WA JUKWAA LA VIONGOZI VIJANA AFRIKA NA CHINA
![](http://2.bp.blogspot.com/-FjC7WipaEHU/VRHO6Iiy0jI/AAAAAAAHM94/8wlGNw6wTVA/s1600/Screen%2BShot%2B2015-03-24%2Bat%2B11.51.44%2BPM.png)
![](http://1.bp.blogspot.com/-c4wp21XLCpY/VRHOSfkSVoI/AAAAAAAHM9w/jR1P9CARMn8/s1600/unnamedXX.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-SiC7H6vLh-Y/UzSKA02taVI/AAAAAAAFW8I/OULL0h7UsPI/s72-c/unnamed+(25).jpg)
MABALOZI WA AFRIKA, KARIBIANI NA PASIFIKI (ACP) WAIDHINISHA EURO MILIONI 350 MILIONI ZA KUSAIDIA KULINDA AMANI AFRIKA
![](http://3.bp.blogspot.com/-SiC7H6vLh-Y/UzSKA02taVI/AAAAAAAFW8I/OULL0h7UsPI/s1600/unnamed+(25).jpg)
10 years ago
Habarileo24 Nov
China kuendelea kusaidia uzalishaji wataalamu
SERIKALI ya Jamhuri ya Watu wa China, imesema itaendelea kuongeza ufadhili na kutoa utaalamu kwa Tanzania katika nyanja mbalimbali za maendeleo ikiwemo ya kilimo ili kuongeza kasi ya uzalishaji wa mazao yatakayosaidia kuinua pato kwa mkulima mdogo na kukuza uchumi wa Taifa.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-K_CHj5FHHM4/U2_PK1eDYVI/AAAAAAAFg-A/ViJvPgx2MBs/s72-c/unnamed+(5).jpg)
MAMA TUNU PINDA AOMBA WATU NA MASHIRIKA MBALIMBALI KUSAIDIA KUCHANGIA KATIKA KUENDELEZA ELIMU KWA WATOTO NA VIJANA WENYE ULEMAVU WA NGOZI (ALIBINO)
![](http://1.bp.blogspot.com/-K_CHj5FHHM4/U2_PK1eDYVI/AAAAAAAFg-A/ViJvPgx2MBs/s1600/unnamed+(5).jpg)