Waziri Membe aanzisha Mfuko Maalum kusaidia Wanafunzi Elimu ya Juu
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb.) akitoa hotuba wakati wa Mahafali ya Pili ya Chuo Kikuu cha Bagamoyo yaliyofanyika katika Viwanja vya Hoteli ya Kiromo iliyopo Bagamoyo. Wahitimu 99 katika fani mbalimbali walitunukiwa shahada zao. Pembeni yake ni Profesa Costa Mahalu.
Sehemu ya Wahitimu hao wakifuatilia hotuba ya Mhe. Membe (hayupo pichani)
Baadhi ya wahitimu wa fani mbalimbali wa Chuo Kikuu cha Bagamoyo wakiwa wamekaa kwa utulivu huku...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-KpP6UOlLcGA/UwuWeczkRMI/AAAAAAAFPTA/Ah0uRv8o32k/s72-c/se1.jpg)
Wananchama wa Chama cha Wafanyakazi wa Taasisi za Elimu ya Juu, Sayansi, Teknolojia, Habari na Utafiti nchini (RAAWU), Tawi la Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) wakutana
10 years ago
Tanzania Daima08 Dec
MEMBE azindua mfuko wa elimu UB
WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Bernad Membe, amezindua mfuko wake wa elimu katika Chuo Kikuu Cha Bagamoyo (UB), uitwao ‘Bernad Membe Scholarship’ kwa ajili ya kusaidia...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-QahIX3juL54/UvpzZ-5CgTI/AAAAAAAFMbo/6THt2meYwOg/s72-c/unnamed+(100).jpg)
WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI AFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA OMAN KUHUSU ELIMU YA JUU
![](http://4.bp.blogspot.com/-QahIX3juL54/UvpzZ-5CgTI/AAAAAAAFMbo/6THt2meYwOg/s1600/unnamed+(100).jpg)
10 years ago
Mwananchi07 Oct
‘Idadi ya wanafunzi elimu ya juu yapungua’
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-tRXgGHTUdOvS1NzLFSU3ltvxarEkBD*hSWZRDpkPZxeM-mtbjaqO7cfxUFykS-DINGxK8W8AttWsFIQItK4OxvW5SmIsaH-/1.jpg?width=650)
WANAFUNZI 20 WAPATIWA UDHAMINI WA MASOMO YA ELIMU YA JUU
10 years ago
MichuziMAAFISA UTUMISHI KUTOKA MIKOA YA LINDI NA MTWARA WAPATA ELIMU JUU YA MAENDELEO YA MFUKO WA PENSHENI WA GEPF
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-CJo1-N2jozc/U-NjpJT5BjI/AAAAAAABEwM/-tgyyrpjLz8/s72-c/IMG-20140807-WA0004.jpg)
MFUKO WA UTT WATOA ELIMU KWA WATUMISHI WA SERIKALI NA WAKULIMA JUU YA MIFUKO YA UWEKEZAJI MKOANI LINDI
![](http://4.bp.blogspot.com/-CJo1-N2jozc/U-NjpJT5BjI/AAAAAAABEwM/-tgyyrpjLz8/s1600/IMG-20140807-WA0004.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-RKJzGwASGYE/U-Njm6XN1MI/AAAAAAABEwA/DR6_lOyy4T8/s1600/IMG-20140807-WA0001.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-voBvpqgtPPI/U-NjomXu6cI/AAAAAAABEwI/OgdQ-GLUmOs/s1600/IMG-20140807-WA0002.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-1-ylHwrf5TU/U-Njp1ZWT9I/AAAAAAABEwY/-sNvwLpFVLQ/s1600/IMG-20140807-WA0005.jpg)
10 years ago
Michuzi23 Oct
10 years ago
Dewji Blog08 Mar
Kinana akutana na wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu Dodoma
![](http://4.bp.blogspot.com/-tKCtwqBu-ug/VPqyUBcgFZI/AAAAAAAAXoc/XbLMiu6HT4Y/s1600/01.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akipokelewa nje ya ukumbi wa NEC maarufu kama white house mjini Dodoma tayari kwa kukutana na wanafunzi wa Shirikisho la vyuo vya elimu ya juu mkoani Dodoma.
![](http://4.bp.blogspot.com/-2w7yDlX-CxE/VPqyTtCMxwI/AAAAAAAAXoU/TJJTK4chPNg/s1600/02.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na baadhi ya wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu mkoani Dodoma kabla ya kuingia kwenye mkutano kwenye ukumbi wa mikutano wa NEC maarufu kama White House,CCM makao makuu Dodoma.
![](http://3.bp.blogspot.com/-nf8GXGUwSUc/VPqyYzqkY9I/AAAAAAAAXpc/6lHKe9NTNCM/s1600/4.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana...