China kuendelea kusaidia uzalishaji wataalamu
SERIKALI ya Jamhuri ya Watu wa China, imesema itaendelea kuongeza ufadhili na kutoa utaalamu kwa Tanzania katika nyanja mbalimbali za maendeleo ikiwemo ya kilimo ili kuongeza kasi ya uzalishaji wa mazao yatakayosaidia kuinua pato kwa mkulima mdogo na kukuza uchumi wa Taifa.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi23 Nov
China sasa kuendelea kusaidia sekta ya kilimo
10 years ago
Mwananchi13 Feb
Rais Kikwete ataka wataalamu wazawa sekta za uzalishaji
9 years ago
StarTV26 Nov
Wataalamu wa mifugo Afrika wakutana jijini Tanga kujadili uzalishaji wa maziwa
Wataalamu wa mifugo kutoka nchi mbalimbali za Afrika wamekutana jijini Tanga kujadili namna watakavyoweza kuongeza uzalishaji wa maziwa na bidhaa zinazotokana na maziwa kati ya nchi hizo.
Wataalamu hao wanatoka Misri, Ghana, Zimbabwe, Uganda, Kenya na wenyeji Tanzania.
Tanzania ina ngombe wa maziwa laki 750, licha ya kuwa na ngombe hao lakini jamii bado imekuwa na mwitikio mdogo wa unywaji wa maziwa.
Kwa mujibu wa Shirika la Chakula Duniani FAO, mahitaji ya mtu mmoja kwa mwaka ni lita 200...
10 years ago
BBCSwahili28 Nov
Uzalishaji wa mafuta kuendelea-OPEC
10 years ago
Habarileo13 Jun
wawakilishiSMZ kuendelea kusomesha wataalamu
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema itaendelea na kazi ya kusomesha wataalamu katika Sekta ya Kilimo nchini kwa lengo la kuhakikisha kwamba kilimo kinapiga hatua kubwa na kuwa ndio tegemeo la taifa.
11 years ago
Habarileo09 Aug
Ataka wataalamu wa kilimo kusaidia wananchi
KATIBU Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue amewataka wataalamu wa kilimo katika halmashauri kuwa karibu na wananchi ili kuwasaidia kuboresha kilimo na mifugo yao.
11 years ago
Habarileo13 May
TIC kuendelea kusaidia wajasiriamali
KITUO cha Uwekezaji (TIC) kitaendelea kusaidia wajasiriamali wadogo, kujenga uwezo katika biashara zao, ili wakue na kukuza uchumi wao na wa nchi kwa ujumla.
10 years ago
Tanzania Daima25 Nov
UDA kuendelea kusaidia miradi ya kijamii, kiuchumi
SHIRIKA la Usafiri Dar es Salaam (UDA) limethibitisha kuwa litaendelea kusaidia miradi ya uwezeshaji ya kiuchumi nchini, ili kusaidia kuinua ukuaji wa maendeleo ya kiuchumi nchini. Akizungumza wakati wa uzinduzi...
9 years ago
Habarileo11 Nov
Waziri aliyeanguka kuendelea kusaidia Jimbo la Mbozi
ALIYEKUWA Naibu Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Godfrey Zambi amesema pamoja na kuanguka kwenye Uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 25, bado anayo nafasi ya kushiriki kuleta maendeleo ya Jimbo la Mbozi.