Rais Kikwete ataka wataalamu wazawa sekta za uzalishaji
Rais Jakaya Kikwete amesema Tanzania imeanza kukimbia kwa kasi kuelekea kwenye mafanikio makubwa ya kimaendeleo yanayotarajiwa katika muda wa miaka 10 ijayo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-LgE5zAUbpHA/XrhLm0oXLoI/AAAAAAAEG-A/dedvN8dhBFQABEgQrufbniLwqtPka_fEQCLcBGAsYHQ/s72-c/5c3c9519-a526-4283-b6de-9b97dd6b8755.jpg)
Wataalamu wa Sekta ya Rasilimali Watu na Wadau wa Sekta ya Uchumi Kukutana Mtandaoni
![](https://1.bp.blogspot.com/-LgE5zAUbpHA/XrhLm0oXLoI/AAAAAAAEG-A/dedvN8dhBFQABEgQrufbniLwqtPka_fEQCLcBGAsYHQ/s640/5c3c9519-a526-4283-b6de-9b97dd6b8755.jpg)
Semina hiyo itafanyika Jumanne, Mei 12, 2020 kwa njia...
10 years ago
Habarileo15 May
Mkapa ‘awapigia debe’ wataalamu wazawa
RAIS mstaafu wa Awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa ameitaka Wizara ya Ujenzi kuweka mazingira mazuri ya kuwawezesha wataalamu wa ndani kuweza kupata fursa za kushiriki katika ujenzi wa miradi mikubwa ili kuiongezea nchi mapato.
11 years ago
Mwananchi12 Jun
Uzalishaji wa mbegu bora tatizo - Rais Kikwete
9 years ago
StarTV14 Sep
Rais Kikwete asisitiza kutumia wataalamu wa ndani
Rais Jakaya Mrisho Kikwete imesisitiza matumizi ya wataalamu kutoka kwa taasisi na mashirika yaliyopo hapa nchini katika kusimamia na kuendeleza miradi mbalimbali kwa lengo la kupunguza gharama zinazotumika kuwalipa wataalamu kutoka nje ya nchi.
Rais Kikwete amesema ikiwa idara nyingi zitatumia ubunifu na maarifa ya wataalam wetu wa ndani tutakuwa na miradi mingi itakayojengwa na nguvu za watanzania wenyewe.
Rais Kikwete ameyasema hayo wakati akizindua awamu ya kwanza ya ujenzi wa chuo...
10 years ago
Habarileo24 Nov
China kuendelea kusaidia uzalishaji wataalamu
SERIKALI ya Jamhuri ya Watu wa China, imesema itaendelea kuongeza ufadhili na kutoa utaalamu kwa Tanzania katika nyanja mbalimbali za maendeleo ikiwemo ya kilimo ili kuongeza kasi ya uzalishaji wa mazao yatakayosaidia kuinua pato kwa mkulima mdogo na kukuza uchumi wa Taifa.
9 years ago
StarTV26 Nov
Wataalamu wa mifugo Afrika wakutana jijini Tanga kujadili uzalishaji wa maziwa
Wataalamu wa mifugo kutoka nchi mbalimbali za Afrika wamekutana jijini Tanga kujadili namna watakavyoweza kuongeza uzalishaji wa maziwa na bidhaa zinazotokana na maziwa kati ya nchi hizo.
Wataalamu hao wanatoka Misri, Ghana, Zimbabwe, Uganda, Kenya na wenyeji Tanzania.
Tanzania ina ngombe wa maziwa laki 750, licha ya kuwa na ngombe hao lakini jamii bado imekuwa na mwitikio mdogo wa unywaji wa maziwa.
Kwa mujibu wa Shirika la Chakula Duniani FAO, mahitaji ya mtu mmoja kwa mwaka ni lita 200...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-TwQnOJQnGU4/VazoQ5u1vyI/AAAAAAAD0CY/qp2W2pKOUds/s72-c/mi1.jpg)
RAIS KIKWETE AZINDUA MPANGO WA MODENAIZESHENI YA SEKTA YA MIFUGO
![](http://3.bp.blogspot.com/-TwQnOJQnGU4/VazoQ5u1vyI/AAAAAAAD0CY/qp2W2pKOUds/s640/mi1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-_LEYuISnuZo/VazoQ-huiLI/AAAAAAAD0CU/GjgNlecxnew/s640/mi2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-1s7KNhT6pBY/VazoRqkMSvI/AAAAAAAD0Ck/wszqQPeIWaM/s640/mi3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-f9ZRrtJZmh8/VazoSQ5pANI/AAAAAAAD0Cs/9HZ-ZaVyw1c/s640/mi4.jpg)
11 years ago
Dewji Blog28 Jun
Rais Kikwete akutana na Wataalamu watatu wa utafiti wa chanjo ya Malaria kutoka Ifakara Health Institute mjini Malabo, Equatorial Guinea
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Dr. Ally Olot, mtafiti wa chanjo ya malaria na kiongozi wa watafiti wa Ifakara Health Institute (IHI) Malabo, Equatorial Guinea) walipomtembelea kwenye makazi yake mjini Malabo ambako Rais alikuwa anahudhuria mkutano wa kawaida wa Umoja wa Afrika. Wengine ni Dr. Mwajuma Chemba ambaye ni Mtalaamu mratibu wa tafiti za chanjo ya malaria, na Elizabeth Nyakarungu, Mtaalamu wa maabara, utambuzi wadudu wa Malaria).
Rais Kikwete aliwapongeza sana...
11 years ago
GPL23 Apr
RAIS KIKWETE AZUNGUMZIA SEKTA YA ELIMU ALIPOKUTANA NA WATANZANIA WAISHIO UK