Rais Kikwete akutana na Wataalamu watatu wa utafiti wa chanjo ya Malaria kutoka Ifakara Health Institute mjini Malabo, Equatorial Guinea
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Dr. Ally Olot, mtafiti wa chanjo ya malaria na kiongozi wa watafiti wa Ifakara Health Institute (IHI) Malabo, Equatorial Guinea) walipomtembelea kwenye makazi yake mjini Malabo ambako Rais alikuwa anahudhuria mkutano wa kawaida wa Umoja wa Afrika. Wengine ni Dr. Mwajuma Chemba ambaye ni Mtalaamu mratibu wa tafiti za chanjo ya malaria, na Elizabeth Nyakarungu, Mtaalamu wa maabara, utambuzi wadudu wa Malaria).
Rais Kikwete aliwapongeza sana...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog27 Jun
Rais Kikwete ashiriki mkutano wa wakuu wa nchi na Serikali za Umoja wa Afrika, Mjini Malabo, Equatorial Guinea
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mh. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiambatana na ujumbe wa Tanzania kwenye ufunguzi wa Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Umoja wa Afrika Mjini Malabo, Equatorial Guinea. Miongoni mwa masuala muhimu yanayotarajiwa kujadiliwa kwenye mkutano huu ni bajeti ya umoja huo na mkakati wa kukusanya maoni kutoka nchi wanachama kuhusu Afrika ifikapo mwaka 2063, ambapo umajo huu utafikisha miaka mia moja.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mh. Dkt. Jakaya Mrisho...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-X99SgdkXXCU/U6wv7srw99I/AAAAAAAFtEU/wsqr7aNAEVg/s72-c/AU+SUMMIT+2.jpg)
Rais Kikwete ashiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali za Umoja wa Afrika,Mjini Malabo, Equatorial Guinea
![](http://4.bp.blogspot.com/-X99SgdkXXCU/U6wv7srw99I/AAAAAAAFtEU/wsqr7aNAEVg/s1600/AU+SUMMIT+2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ddvI5RjXmKE/U6wv-QQF5nI/AAAAAAAFtEg/uqR8xEfMtvg/s1600/jk2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-zLJ-WRhB_-0/U6wwBIhbYSI/AAAAAAAFtEo/HbcUUEcf8O0/s1600/jk3.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-EAA0ly3Igp8/U96ji935WVI/AAAAAAAF8oY/9wdU29XldAg/s72-c/d1.jpg)
President Kikwete visits INSTITUTE OF HEALTH IN USA (NATIONAL INSTITUTE OF HEALTH)
![](http://2.bp.blogspot.com/-EAA0ly3Igp8/U96ji935WVI/AAAAAAAF8oY/9wdU29XldAg/s1600/d1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-6zynzC_t8HA/U96jitSqAZI/AAAAAAAF8oU/d83aOEgzDHE/s1600/d2.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-DwjkWZQ2bzs/U6nU-g91D0I/AAAAAAACkN0/iuqrzHecm8k/s72-c/ma5.jpg)
RAIS KIKWETE ATUA MALABO, EQUTORIAL GUINEA, KUHUDHURIA MKUTANO WA 23 WA UMOJA WA AFRIKA
![](http://4.bp.blogspot.com/-DwjkWZQ2bzs/U6nU-g91D0I/AAAAAAACkN0/iuqrzHecm8k/s1600/ma5.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-GjtTox154TQ/U6nU_vCwP0I/AAAAAAACkOE/nr20nkCcglQ/s1600/ma6.jpg)
Akiwa Malabo, Mheshimiwa Rais Kikwete pia atakuwa Mwenyekiti wa kikao cha wakuu wa nchi wanachama wa AU kitakachojadili mazingira. Rais Kikwete na ujumbe wake anatarajiwa kurejea nchini mwishoni mwa wiki.
![](http://4.bp.blogspot.com/--KxOenSdRao/U6nU9efYvVI/AAAAAAACkNw/VK1ZhQ1jMvY/s1600/ma2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-chWwJZ_jneo/VM0AYOHRvVI/AAAAAAAHAkU/gxCAs-i58AM/s72-c/unnamed%2B(6).jpg)
charles hilary ana kwa ana na kipa wa cameroun joseph-antoine bell jijini Malabo, equatorial guinea
![](http://3.bp.blogspot.com/-chWwJZ_jneo/VM0AYOHRvVI/AAAAAAAHAkU/gxCAs-i58AM/s1600/unnamed%2B(6).jpg)
11 years ago
Dewji Blog04 Aug
Rais Kikwete atembelea taasisi ya afya ya Marekani (National Institute Of Health)
President Jakaya Mrisho Kikwete with Reasearch fellow and Senior Lecturer at the Muhimbili University of Health Sciences, Dr Julie Makani (left) and Prof. Mwaikambo during his familiarisationtour of the National Institutes of Health (NIH) in Washington DC July 2, 2014.
President Jakaya Mrisho Kikwete speaks with members of the National Institutes of Health (NIH) in Washington DC during a familiarisation tour of the NIH, reputedly the largest hospital and research facility in the world July...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-wSMUYEHEXSQ/U693N5-xjnI/AAAAAAAFtZw/gq4xVBBts1c/s72-c/unnamed+(31).jpg)
JK arejea nchini baada ya kuhudhuria mkutano wa wakuu wa nchi za Umoja wa Afrika mjini Malabo Equtorial Guinea
![](http://4.bp.blogspot.com/-wSMUYEHEXSQ/U693N5-xjnI/AAAAAAAFtZw/gq4xVBBts1c/s1600/unnamed+(31).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-cra3smLrxF8/VQ66_nz5wRI/AAAAAAAHMLg/sSM1SlTy3Ys/s72-c/unnamed%2B(54).jpg)
Rais Kikwete akutana na Rais Uhuru Kenyatta mjini Windhoek, Alhaj Mwinyi na Mzee Mkapa waungana naye sherehe za kuapishwa rais mpya wa namibia
![](http://3.bp.blogspot.com/-cra3smLrxF8/VQ66_nz5wRI/AAAAAAAHMLg/sSM1SlTy3Ys/s1600/unnamed%2B(54).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-a0pRN5HFuA0/VQ66_UT049I/AAAAAAAHMLc/khLtmIT_i0g/s1600/unnamed%2B(56).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-X422Ur7jOR4/VQ67A4qaJQI/AAAAAAAHMLs/dr0qghe3iko/s1600/unnamed%2B(55).jpg)
11 years ago
Dewji Blog09 Aug
Rais Kikwete akutana na Rais Bush mjini Dallas
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salma Kikwete wakitembelea Maktaba ya Kirais ya Rais Bush (Bush Presidential Library) sehemu ambayo imejengwa kwa mfano wa Ikulu ya Marekani, White House, hususan katika bustani ya Waziri (Rose Garden) pamoja na ofisi ya Rais wa Marekani, Oval office.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salma Kikwete wakitembelea Maktaba ya Kirais ya Rais Bush (Bush Presidential Library) na kujionea nafasi kubwa iliyotolewa kwa Tanzania na zawadi ambazo Rais Bush...