JK arejea nchini baada ya kuhudhuria mkutano wa wakuu wa nchi za Umoja wa Afrika mjini Malabo Equtorial Guinea
![](http://4.bp.blogspot.com/-wSMUYEHEXSQ/U693N5-xjnI/AAAAAAAFtZw/gq4xVBBts1c/s72-c/unnamed+(31).jpg)
Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam ambaye pia ni mkuu wa wilaya ya Ilala Mhandisi Raymond Mushi akimlaki Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete muda mfupi baada ya Rais kuwasili katika uwanja wa ndege wa Mwalimu Julius Nyerere akitokea Malabo Equtorial Guinea ambapo alikwenda kuhudhuria mkutano wa wakuu wa nchi za Umoja wa Afrika(AU) uliomalizika jana.Kushoto ni Mkuu wa majeshi ya Ulinzi na Usalama Jenerali Davis Mwamunyange Picha na Freddy Maro
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-DwjkWZQ2bzs/U6nU-g91D0I/AAAAAAACkN0/iuqrzHecm8k/s72-c/ma5.jpg)
RAIS KIKWETE ATUA MALABO, EQUTORIAL GUINEA, KUHUDHURIA MKUTANO WA 23 WA UMOJA WA AFRIKA
![](http://4.bp.blogspot.com/-DwjkWZQ2bzs/U6nU-g91D0I/AAAAAAACkN0/iuqrzHecm8k/s1600/ma5.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-GjtTox154TQ/U6nU_vCwP0I/AAAAAAACkOE/nr20nkCcglQ/s1600/ma6.jpg)
Akiwa Malabo, Mheshimiwa Rais Kikwete pia atakuwa Mwenyekiti wa kikao cha wakuu wa nchi wanachama wa AU kitakachojadili mazingira. Rais Kikwete na ujumbe wake anatarajiwa kurejea nchini mwishoni mwa wiki.
![](http://4.bp.blogspot.com/--KxOenSdRao/U6nU9efYvVI/AAAAAAACkNw/VK1ZhQ1jMvY/s1600/ma2.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-X99SgdkXXCU/U6wv7srw99I/AAAAAAAFtEU/wsqr7aNAEVg/s72-c/AU+SUMMIT+2.jpg)
Rais Kikwete ashiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali za Umoja wa Afrika,Mjini Malabo, Equatorial Guinea
![](http://4.bp.blogspot.com/-X99SgdkXXCU/U6wv7srw99I/AAAAAAAFtEU/wsqr7aNAEVg/s1600/AU+SUMMIT+2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ddvI5RjXmKE/U6wv-QQF5nI/AAAAAAAFtEg/uqR8xEfMtvg/s1600/jk2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-zLJ-WRhB_-0/U6wwBIhbYSI/AAAAAAAFtEo/HbcUUEcf8O0/s1600/jk3.jpg)
11 years ago
Dewji Blog27 Jun
Rais Kikwete ashiriki mkutano wa wakuu wa nchi na Serikali za Umoja wa Afrika, Mjini Malabo, Equatorial Guinea
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mh. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiambatana na ujumbe wa Tanzania kwenye ufunguzi wa Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Umoja wa Afrika Mjini Malabo, Equatorial Guinea. Miongoni mwa masuala muhimu yanayotarajiwa kujadiliwa kwenye mkutano huu ni bajeti ya umoja huo na mkakati wa kukusanya maoni kutoka nchi wanachama kuhusu Afrika ifikapo mwaka 2063, ambapo umajo huu utafikisha miaka mia moja.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mh. Dkt. Jakaya Mrisho...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-IW434K84RNg/VUI3u6qsUPI/AAAAAAAHUUc/lrOHpFLarfY/s72-c/05.jpeg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AREJEA NCHINI BAADA YA KUHUDHURIA MKUTANO WA DHARURA WA SADC, JIJINI HARARE, ZIMBABWE
![](http://3.bp.blogspot.com/-IW434K84RNg/VUI3u6qsUPI/AAAAAAAHUUc/lrOHpFLarfY/s1600/05.jpeg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-arq73GJJVj0/VUI3wp8iyTI/AAAAAAAHUUk/gX9kwEd_-PE/s1600/5.jpeg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-FpaHCCBf4d8/VXcXQLG0DwI/AAAAAAAHdZc/85qWohvY9gs/s72-c/4.jpg)
DKT. BILAL AWASILI SHARM EL SHEIKH KUHUDHURIA MKUTANO WA TATU WA WAKUU WA NCHI NA SERIKALI YA UTATU WA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI (EAC).
![](http://3.bp.blogspot.com/-FpaHCCBf4d8/VXcXQLG0DwI/AAAAAAAHdZc/85qWohvY9gs/s640/4.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ldM6gS3b6Gw/VXcXQGGMhyI/AAAAAAAHdZg/9z0IhFFiBik/s640/1.jpg)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Waziri wa Uchukuzi wa...
11 years ago
MichuziWIZARA YA KILIMO CHAKULA NA USHIRIKA YASHIRIKI MKUTANO WA WAKUU WA NCHI ZA UMOJA WA AFRIKA
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-15zEC780sLc/VXfscPFBxFI/AAAAAAADq8g/UK6y37W01iY/s72-c/1.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AWASILI SHARM EL SHEIKH KUHUDHURIA MKUTANO WA TATU WA WAKUU WA NCHI NA SERIKALI YA UTATU WA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI (EAC)
![](http://4.bp.blogspot.com/-15zEC780sLc/VXfscPFBxFI/AAAAAAADq8g/UK6y37W01iY/s640/1.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-XYJbMnZG_Sw/VUKmXNRp_DI/AAAAAAAHUZg/77x3mHPrpZo/s72-c/unnamed%2B(19).jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AREJEA NCHINI BAADA YA KUHUDHURIA MKUTANO WA DHARURA WA SADC, JIJINI HARARE, ZIMBABWE, MUGABE AKABIDHI RASMI CHUO CHA UTUNZAJI AMANI
![](http://2.bp.blogspot.com/-XYJbMnZG_Sw/VUKmXNRp_DI/AAAAAAAHUZg/77x3mHPrpZo/s1600/unnamed%2B(19).jpg)
10 years ago
MichuziMAMA SALMA AHUTUBIA MKUTANO WA WAKE WA MARAIS NA WAKUU WA NCHI ZA AFRIKA (OAFLA) NCHINI AFRIKA KUSINI