wawakilishiSMZ kuendelea kusomesha wataalamu
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema itaendelea na kazi ya kusomesha wataalamu katika Sekta ya Kilimo nchini kwa lengo la kuhakikisha kwamba kilimo kinapiga hatua kubwa na kuwa ndio tegemeo la taifa.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima28 Feb
Tanzania yasaidiwa kusomesha wataalamu wa gesi
UMOJA wa Ulaya umeisaidia Serikali ya Tanzania katika sekta ya elimu kwa lengo la kupata wataalamu katika sekta ya gesi na petroli ambao kwa sasa wapo wachache. Waziri wa Nishati...
11 years ago
Tanzania Daima21 Dec
Mzumbe Dar kusomesha wataalamu gesi, mafuta
CHUO Kikuu Mzumbe, Kampasi ya Dar es Salaam, kwa kushirikiana na Chuo Kikuu cha Stellenbosch, Afrika ya Kusini, kinaandaa mitaala ya programu ya shahada ya uzamili katika menejimenti ya miradi...
10 years ago
Habarileo24 Nov
China kuendelea kusaidia uzalishaji wataalamu
SERIKALI ya Jamhuri ya Watu wa China, imesema itaendelea kuongeza ufadhili na kutoa utaalamu kwa Tanzania katika nyanja mbalimbali za maendeleo ikiwemo ya kilimo ili kuongeza kasi ya uzalishaji wa mazao yatakayosaidia kuinua pato kwa mkulima mdogo na kukuza uchumi wa Taifa.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-k3cBIFaWRtk/XrmRF6RIO2I/AAAAAAALp1U/ZSFE1fd_lF4pWYDRRlKLk_aHxlSmFU45QCLcBGAsYHQ/s72-c/Liquid-Telecom-Gen-Z-report.jpg)
KAMPUNI YA LIQUID TELECOM'S KUENDELEA KUZIUNGANISHA KIDIGITAL NCHI ZA JUMUIYA YA AFRIKA ILI KUENDELEA NA SHUGHULI ZAO
![](https://1.bp.blogspot.com/-k3cBIFaWRtk/XrmRF6RIO2I/AAAAAAALp1U/ZSFE1fd_lF4pWYDRRlKLk_aHxlSmFU45QCLcBGAsYHQ/s320/Liquid-Telecom-Gen-Z-report.jpg)
KAMPUNI ya Liquid Telecom's Afrika Mashariki imezihakikishia nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki kuendelea kufanya kazi zake kwa ukaribu na kawaida kupitia mgongo wake wa jumuiya ya nchi hizo katika mabadiliko yake ya kidigitali chini ya mwezi wa mmoja kutokana na janga la COVID- 19
Kwa mujibu wa kampuni imeeleza kuwa ndiyo inayoongoza katika mawasiliano na imewezesha wanachama wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki kufanya kazi kwa ukaribu na kawaida licha ya...
11 years ago
Tanzania Daima04 Mar
WAJA kusomesha wanafunzi 20
TAASISI ya WAJA imeahidi kuwasomesha bure kuanzia kidato cha tano hadi cha sita wanafunzi 20 wanaotoka kwenye familia duni na yatima waliofaulu katika mitihani ya kuhitimu kidato cha nne mwaka...
11 years ago
Mwananchi25 Feb
Raha ya kusomesha mtoto wa kike
11 years ago
Tanzania Daima18 Dec
AMREF kusomesha wanafunzi wa uuguzi
WANAFUNZI 100 wa fani za uuguzi na ukunga, wanatarajia kupata ufadhili wa masomo kutoka Shirika la Utafiti wa Tiba na Afya barani Afrika (AMREF) kuanzia mwaka ujao wa masomo. Ufadhili...
11 years ago
Tanzania Daima27 May
Compassion kusomesha wanafunzi 70,000
SHIRIKA la kimataifa la Compassion linatarajia kutumia zaidi ya sh bilioni 41 hadi Juni mwaka huu katika kutekeleza miradi yake ikiwemo kuwasomesha wanafunzi 70,087 katika shule na vyuo mbalimbali ndani...
10 years ago
Dewji Blog25 Oct
Mkombozi Benki kusomesha yatima
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki Mkombozi Commercial, Edwina Lupembe.
Na Mwandishi wetu
Benki ya Mkombozi nchini imesema kuwa mchango wa kifedha wanazopata katika shughuli za kijamii umekuwa wakimafanikio makubwa hasa kupitia uwekezaji wa sekta ya elimu Nchini, kwani hali hiyo inachangia kwa kasi maendeleo ya Taifa kwa kuwa na wataalamu wa Nyanja mbalimbali wenye uwezo mkubwa.
Taasisi za kifeda kama mabenki wamekuwa ni wadau wakubwa wa mchango huo, hivi ...